DOKEZO Waziri Mkuu Majaliwa kunyang'anywa Shamba la Ekari 100. Ni mkakati wa kumtoa relini?

DOKEZO Waziri Mkuu Majaliwa kunyang'anywa Shamba la Ekari 100. Ni mkakati wa kumtoa relini?

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Nimetazama list hii nimebaini majina kadhaa ya watu wenye hadi zao Mjini ambao nao wamenyang’anywa mashamba ya Kilimo cha Korosho baada ya kutoyaendeleza, kwanza kabisa namba mmoja ni Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa.

Namba 15, Murtaza Ally ni Mangungu, huyu ni Mwenyekiti wa Klabu ya Simba.

Namba 4, Hassan Mohamed Jarufu, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Lindi.

Itazame listi vizuri kiasha utaangalia umembaini nani mwingine mzito? Na Swali ninalojiuliza jina la Majaliwa limewekwa hapo kuzuga Wananchi au jamaa tayari ameanza kutolewa kwenye mstari mdogomdogo?

===============
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI

TAARIFA KWA UMMA
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi anawatangazia wananchi wote waliopatiwa mashamba kwa ajili ya kilimo cha korosho katika mitaa ya Nandambi, Mkanga, Tandangongoro, Chikonji, Ruaha, Mnali, Sinde, Masasi ya Leo, Mto mkavu, Nanyanje, Likabuku na Jangwani katika kipindi cha mwaka 2017 hadi 2022 kuwa mashamba hayo walipewa kwa masharti ya kuhakikisha kuwa ndani ya kipindi cha mwaka mmoja wanayaendeleza kwa kupanda mikorosho.

Kwa tangazo hili, Wananchi wote ambao majina yao yanaonekana hapa chini wamepoteza sifa ya kuwa wawekezaji wa mashamba hayo ya korosho kwa mujibu wa mkataba.

photo_2023-11-28_23-26-09.jpg

2.jpg

3.jpg

4.jpg

5.jpg

6.jpg

7.jpg

8.jpg
 
Nimetazama list hii nimebaini majina kadhaa ya watu wenye hadi zao Mjini ambao nao wamenyang’anywa mashamba ya Kilimo cha Korosho baada ya kutoyaendeleza, kwanza kabisa namba mmoja ni Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa.

Namba 15, Murtaza Ally ni Mangungu, huyu ni Mwenyekiti wa Klabu ya Simba.

Namba 4, Hassan Mohamed Jarufu, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Lindi.

Itazame listi vizuri kiasha utaangalia umembaini nani mwingine mzito? Na Swali ninalojiuliza jina la Majaliwa limewekwa hapo kuzuga Wananchi au jamaa tayari ameanza kutolewa kwenye mstari mdogomdogo?

===============
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI

TAARIFA KWA UMMA
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi anawatangazia wananchi wote waliopatiwa mashamba kwa ajili ya kilimo cha korosho katika mitaa ya Nandambi, Mkanga, Tandangongoro, Chikonji, Ruaha, Mnali, Sinde, Masasi ya Leo, Mto mkavu, Nanyanje, Likabuku na Jangwani katika kipindi cha mwaka 2017 hadi 2022 kuwa mashamba hayo walipewa kwa masharti ya kuhakikisha kuwa ndani ya kipindi cha mwaka mmoja wanayaendeleza kwa kupanda mikorosho.

Kwa tangazo hili, Wananchi wote ambao majina yao yanaonekana hapa chini wamepoteza sifa ya kuwa wawekezaji wa mashamba hayo ya korosho kwa mujibu wa mkataba.

Endapo kama Sheria, Kanuni na taratibu zote za Kutengua Milki za Ardhi (Revocation Process) zilifuatwa, hakuna Shida juu ya hilo. Lakini kama Sheria, Kanuni na taratibu za kutengua (kufuta) au Utwaaji wa Ardhi hazikufuatwa basi hapo kunaweza kuwa na tatizo kubwa.
 
Nimetazama list hii nimebaini majina kadhaa ya watu wenye hadi zao Mjini ambao nao wamenyang’anywa mashamba ya Kilimo cha Korosho baada ya kutoyaendeleza, kwanza kabisa namba mmoja ni Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa.

Namba 15, Murtaza Ally ni Mangungu, huyu ni Mwenyekiti wa Klabu ya Simba.

Namba 4, Hassan Mohamed Jarufu, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Lindi.

Itazame listi vizuri kiasha utaangalia umembaini nani mwingine mzito? Na Swali ninalojiuliza jina la Majaliwa limewekwa hapo kuzuga Wananchi au jamaa tayari ameanza kutolewa kwenye mstari mdogomdogo?

===============
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI

TAARIFA KWA UMMA
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi anawatangazia wananchi wote waliopatiwa mashamba kwa ajili ya kilimo cha korosho katika mitaa ya Nandambi, Mkanga, Tandangongoro, Chikonji, Ruaha, Mnali, Sinde, Masasi ya Leo, Mto mkavu, Nanyanje, Likabuku na Jangwani katika kipindi cha mwaka 2017 hadi 2022 kuwa mashamba hayo walipewa kwa masharti ya kuhakikisha kuwa ndani ya kipindi cha mwaka mmoja wanayaendeleza kwa kupanda mikorosho.

Kwa tangazo hili, Wananchi wote ambao majina yao yanaonekana hapa chini wamepoteza sifa ya kuwa wawekezaji wa mashamba hayo ya korosho kwa mujibu wa mkataba.

Acha kuwa mjinga.Kwako unaona kuhodhi shamba bila kuliendeleza unaona ni sawa?
 
Ukitaka kumuua Mbwa kwanza mpe jina baya!

Chongolo tayari, na Huyu ngoja tusubiri hii picha inayochezwa!

Hata kwa mpumbavu anaweza kuona motive ya hii orodha na jina la Majaliwa Kassimu Majaliwa kuwa namba moja!

Kwa nini huyo Kaimu Mkurugenzi hakuorodhesha hiyo orodha yake kwa kufuata Alphabet order?

Na je, kama TAMISEMI ingekuwa chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu, huyo Kaimu Mkurugenzi angekuwa na guts za kuandika jina la Majaliwa Kassimu Majaliwa hapo No.1?

Wananchi tusifanywe mazuzu kwani tunawajua hawa watendaji wetu!
Hawa ni machawa na watu wanaojipendekeza hadi kufikia hata kupongeza viongozi kwa mvua zinazonyesha!

Hayo ni maelekezo mahsusi kutoka mahali.
 
Back
Top Bottom