DOKEZO Waziri Mkuu Majaliwa kunyang'anywa Shamba la Ekari 100. Ni mkakati wa kumtoa relini?

DOKEZO Waziri Mkuu Majaliwa kunyang'anywa Shamba la Ekari 100. Ni mkakati wa kumtoa relini?

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nimetazama list hii nimebaini majina kadhaa ya watu wenye hadi zao Mjini ambao nao wamenyang’anywa mashamba ya Kilimo cha Korosho baada ya kutoyaendeleza, kwanza kabisa namba mmoja ni Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa.

Namba 15, Murtaza Ally ni Mangungu, huyu ni Mwenyekiti wa Klabu ya Simba.

Namba 4, Hassan Mohamed Jarufu, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Lindi.

Itazame listi vizuri kiasha utaangalia umembaini nani mwingine mzito? Na Swali ninalojiuliza jina la Majaliwa limewekwa hapo kuzuga Wananchi au jamaa tayari ameanza kutolewa kwenye mstari mdogomdogo?

===============
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI

TAARIFA KWA UMMA
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi anawatangazia wananchi wote waliopatiwa mashamba kwa ajili ya kilimo cha korosho katika mitaa ya Nandambi, Mkanga, Tandangongoro, Chikonji, Ruaha, Mnali, Sinde, Masasi ya Leo, Mto mkavu, Nanyanje, Likabuku na Jangwani katika kipindi cha mwaka 2017 hadi 2022 kuwa mashamba hayo walipewa kwa masharti ya kuhakikisha kuwa ndani ya kipindi cha mwaka mmoja wanayaendeleza kwa kupanda mikorosho.

Kwa tangazo hili, Wananchi wote ambao majina yao yanaonekana hapa chini wamepoteza sifa ya kuwa wawekezaji wa mashamba hayo ya korosho kwa mujibu wa mkataba.

Mchongo huu 😂😂😂
 
Nimetazama list hii nimebaini majina kadhaa ya watu wenye hadi zao Mjini ambao nao wamenyang’anywa mashamba ya Kilimo cha Korosho baada ya kutoyaendeleza, kwanza kabisa namba mmoja ni Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa.

Namba 15, Murtaza Ally ni Mangungu, huyu ni Mwenyekiti wa Klabu ya Simba.

Namba 4, Hassan Mohamed Jarufu, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Lindi.

Itazame listi vizuri kiasha utaangalia umembaini nani mwingine mzito? Na Swali ninalojiuliza jina la Majaliwa limewekwa hapo kuzuga Wananchi au jamaa tayari ameanza kutolewa kwenye mstari mdogomdogo?

===============
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI

TAARIFA KWA UMMA
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi anawatangazia wananchi wote waliopatiwa mashamba kwa ajili ya kilimo cha korosho katika mitaa ya Nandambi, Mkanga, Tandangongoro, Chikonji, Ruaha, Mnali, Sinde, Masasi ya Leo, Mto mkavu, Nanyanje, Likabuku na Jangwani katika kipindi cha mwaka 2017 hadi 2022 kuwa mashamba hayo walipewa kwa masharti ya kuhakikisha kuwa ndani ya kipindi cha mwaka mmoja wanayaendeleza kwa kupanda mikorosho.

Kwa tangazo hili, Wananchi wote ambao majina yao yanaonekana hapa chini wamepoteza sifa ya kuwa wawekezaji wa mashamba hayo ya korosho kwa mujibu wa mkataba.

Kwani hiyo ni kashfa Hadi tujadili hiyo ni notisi ambayo Bado wanaweza kukaa mezani na kuja mkakati mpya au development bond.Vitu vya kawaida mnavifanya kuwa vikuubwa.
 
Kwanini jina la PM liwe la kwanza?

Pili, ni kwanini tangazo limetolewa/limeandikwa na Kaimu Mkurugenzi badala ya Mkurugenzi mwenyewe?
 
Huu ni uchawi, eka 100! Kwa, nchi yetu ni ardhi ndogo Sana, kwanini umnyangsnye MTU mwenye mtaji na uwezo wa kuwekeza kwenye kilimo kama waziri mkuu? Hapa ni siasa tu, wanaposema eti mashamba hayajaendelezwa, ardhi kubwa nchi hii haijaendelezwa ndiocmaana hata sukari na mafuta ya kula lazima tuagize nje ili kukidhi mahitaji, kama wana nia ya kuendeleza, ardhi, yqpo mapori mengi tena yenye rutuba, unayoweza kuendeleza.
 
Nimetazama list hii nimebaini majina kadhaa ya watu wenye hadi zao Mjini ambao nao wamenyang’anywa mashamba ya Kilimo cha Korosho baada ya kutoyaendeleza, kwanza kabisa namba mmoja ni Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa.

Namba 15, Murtaza Ally ni Mangungu, huyu ni Mwenyekiti wa Klabu ya Simba.

Namba 4, Hassan Mohamed Jarufu, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Lindi.

Itazame listi vizuri kiasha utaangalia umembaini nani mwingine mzito? Na Swali ninalojiuliza jina la Majaliwa limewekwa hapo kuzuga Wananchi au jamaa tayari ameanza kutolewa kwenye mstari mdogomdogo?

===============
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI

TAARIFA KWA UMMA
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi anawatangazia wananchi wote waliopatiwa mashamba kwa ajili ya kilimo cha korosho katika mitaa ya Nandambi, Mkanga, Tandangongoro, Chikonji, Ruaha, Mnali, Sinde, Masasi ya Leo, Mto mkavu, Nanyanje, Likabuku na Jangwani katika kipindi cha mwaka 2017 hadi 2022 kuwa mashamba hayo walipewa kwa masharti ya kuhakikisha kuwa ndani ya kipindi cha mwaka mmoja wanayaendeleza kwa kupanda mikorosho.

Kwa tangazo hili, Wananchi wote ambao majina yao yanaonekana hapa chini wamepoteza sifa ya kuwa wawekezaji wa mashamba hayo ya korosho kwa mujibu wa mkataba.

Danganya toto. Hapo kulikua na walengwa sasa lazima ionekane na wenye nchi pia wamo. Hii nchi tunaijua kuliko mnavofikiria.
 
Back
Top Bottom