DOKEZO Waziri Mkuu Majaliwa kunyang'anywa Shamba la Ekari 100. Ni mkakati wa kumtoa relini?

DOKEZO Waziri Mkuu Majaliwa kunyang'anywa Shamba la Ekari 100. Ni mkakati wa kumtoa relini?

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kwani Sheria inasemaje Tatizo Siasa ni nyingini
  1. Kama kweli anacho na ameshindwa kukiendeleza basi sheria ifuate mkondo wake no matter yeye ni nani
  2. Kama ananyang'anywa sababu kuna watu amekwaruzana nao basi anyang'anywe na wale ambao wanakingiwa kifua sababu hawajakwaruzana na watu, basi na wao pia wanyang'anywe
Hapa issue ingekuwa kwanini yeye muelewa kiasi hiki ameshindwa kufuata sheria na sio kwanini sheria inafuatwa kwa mtu kama yeye...
 
Labda Makonda tena anautaka uPM!

Maana kila figisu kwa sasa tunaambiwa ni yeye,

Ngoja tuone na huko Babati Mjini kama ataepuka uhusika!
Mchawi lazima ahusishwe na kila jambo maana yeye roho yake mbaya anaweza kumloga hata mtoto mdogo asiye na ugomvi naye kisa tuu ana sura ya kupendeza hivyo anamkomoa.
Huyo mama yenu atatajiwa jina la huyo "mpendwa" wake hadi kichefuchefu kitammaliza
 
Umeletewa Mwanamke wa bure ghetto...

Kazi yako wewe ni kusukuma moto tu azae watoto.... (Wakurya wanaita nyumba ntobhu)....

Then wewe unashindwa kupelekea moto!.... Anakipeleka kwa wanaojua kumpelekea moto!!

Mkurugenzi yuko sahihi... Hauna baya Mkurugenzi.... Maana kassimu ameshindwa kupeleka moto!
 
Ni baada ya kushindwa masharti ya uwekezaji yaliyopo kwenye mkataba wake.

IMG-20231129-WA0124.jpg
 
Ni baada ya kushindwa masharti ya uwekezaji yaliyopo kwenye mkataba wake.

View attachment 2829031
Hii habari imeletwa muda mrefu sana
 
Hii habari imeletwa muda mrefu sana
Muda mrefu upi? Hii habari ya Nov 27, mwaka huu 2023.
 
Back
Top Bottom