Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna sheria kwa viongoz wa CCM hata cku moja wao always juu sheria, ishu ya mashamba haina impact yoyote bali wanajuana hao!!Sharia ni msumeno yakhe...
Mchawi lazima ahusishwe na kila jambo maana yeye roho yake mbaya anaweza kumloga hata mtoto mdogo asiye na ugomvi naye kisa tuu ana sura ya kupendeza hivyo anamkomoa.Labda Makonda tena anautaka uPM!
Maana kila figisu kwa sasa tunaambiwa ni yeye,
Ngoja tuone na huko Babati Mjini kama ataepuka uhusika!
Sahihi ya barua ya kukanusha ni Forged!!Naona wamekanusha hii kupitia barua rasmi ya DED wa Lindi MCView attachment 2828468View attachment 2828468
Majaliwa nilianza kumdharau nilipomuona anapiga nywele kiwi aendelee kubeba totos nikajua haupo serious hata kidogo
Hii habari imeletwa muda mrefu sana
Hii mbona Manispaa ya Lindi walishaikanusha tayari?
Muda mrefu upi? Hii habari ya Nov 27, mwaka huu 2023.Hii habari imeletwa muda mrefu sana
DOKEZO - Waziri Mkuu Majaliwa kunyang'anywa Shamba la Ekari 100. Ni mkakati wa kumtoa relini?
Nimetazama list hii nimebaini majina kadhaa ya watu wenye hadi zao Mjini ambao nao wamenyang’anywa mashamba ya Kilimo cha Korosho baada ya kutoyaendeleza, kwanza kabisa namba mmoja ni Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa. Namba 15, Murtaza Ally ni Mangungu, huyu ni Mwenyekiti wa Klabu ya...www.jamiiforums.com
SawaMuda mrefu upi? Hii habari ya Nov 27, mwaka huu 2023.
Kwenye vitu visivyo na thamani wanajionesha.....
Yeye si anaitwa Kassim Majaliwa Kassim