Wanasiasa wanawaona watumishi ni bogus tu..
Kura zenu laki 5, hata msipotupigia tutashinda.
Leo wanawaonea huruma kupandishiwa bei. Kweli sukari ianze tu kuwa tshs 4,000 kwa sababu ya mtumishi ameongezewa tshs 8,000?
Hawa viongozi wetu wanaelimu ya wapi?