Waziri Mkuu Majaliwa, kweli tangu awamu ya tano iingie madarakani gharama za maisha hazijapanda? Kuwa na huruma kwa Watumishi wa Umma

Ya UDSM mkuu.sema ina viraka vingiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ahaaa, kwamba mimi nilitetea watumishi kutokuongezwa mishahara tena kwa sababu zisizo na mashiko kama hizi? Pitia record zako.
Wala haina shida mkuu, ni swala la muda tu, ukifika utaelewa tu na mada italeta ijadiliwe.
 
Awamu hii inaboa, mtu unajikuta una miaka 9 kazini hujawahi kupanda daraja....ovyoooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…