Na tutanunua kesh! hakuna upumbavu wa sheria ya manunuzi wala mavi hapa kazi iendelee tujipigie mpunga!!Kama mlivyosikia.
Waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania amesema hayo leo huko Bungeni Dodoma.
'Ndege tutaendelea kununua na tayari ndege tatu tunatarajia zitawadia mwaka 2021/2022' amesema majaliwa.
Hicho kiasi kikubwa kimelipwa lini? Kimelipwa kwa cash au ni mkopo? Kama ni mkopo ni mkopo wa kiasi gani kutoka wapi? Na mkataba wa mkopo huo ulisainiwa lini, wapi na nani? Orders hata za ndege zinakuwa cancel bila matatizo yoyote.
Boeing monthly aircraft orders outpace cancellations for first time since 2019
Boeing sold 82 new airplanes in February with new sales outpacing cancellations for the first time since November 2019.www.cnbc.com
kabla ya ujio wa korona avarage ya mapato kwa mwaka kwenye utalii ilikuwa biliioni ngapi?zinakusanywa.Faida ya ndege huwezi kuiona moja kwa moja kama unavyofikiria mkuu. Faida ya ndege ni indirect inaimarisha image ya nchi na kuitangaza nchi nje then kwa kufanya hivyo utaona watalii wanaongezeka ndiyo maana KQ imeitangaza sana Kenya kiasi hata mbuga zetu na Mlima Kilimanjaro ikawainatambulika kuwa vipo Kenya. Inahitaji kuwa na ubongo uliotulia kuelewa faida ya ndege kwa Tanzania. Hebu wasikilize wenzako hawa hapa chini.
View attachment 1750857
Hii kitaalamu inaitwa "Sikio la kufa, halisikii dawa".Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema malipo ya ununuzi wa ndege mpya tatu yamekamilika, na zinatarajiwa kuwasili mwaka 2021/22.
Akiwa Bungeni Dodoma leo, Waziri Mkuu amesema ununuzi huo utawezesha Serikali kuwa na jumla ya Ndege 12. Aidha, amesema kuanzishwa kwa safari za Guangzhou (China) kutakuwa chachu ya kuimarisha Biashara, Utalii na Ajira.
Vilevile, Majaliwa amesema ujenzi na upanuzi wa Viwanja vya Ndege vya Shinyanga, Kigoma, Tabora na Sumbawanga vitakavyogharimu Tsh. Bilioni 176 unaendelea.
[emoji16][emoji16][emoji16]inamaana gani hii methaliKweli sikio la kufa halisikii dawa.
Ku cancel order utalipa fidia kubwa ni bora hata uchukue hizo ndege.....Ushamba nao ni mzigo, yaani kujaza ma vitu bado tunaona ni aina ya ufahari hata kama hayana tija
Ni zile akili zetu wasukuma kuwa na mifugo mingi lkn maisha yetu tunayajua wenyewe, kulala kwenye ngozi, mwendo wa ugali wa mtama (ukula) na asubuhi viazi (mandoro/ Manumbu) bila kuwa na mpangilio wa mlo kamili pamoja na utajiri wote tulio nao
Naona hapa ni quantity Vs Quality
Mmeambiwa yanakula hasara hayo subirini mdogo mdogo mpaka yaanze kutengeneza faida pia mkizingatia hiyo biashara kwa sasa ina changamoto za kidunia kutokana na COVID-19 na kuna watu wamebashiri itachukua muda mrefu kwa airlines industry kurudi vizuri labda hata miaka mitatu ijayo
Hivi haiwezekani ku cancel hizo order na pesa ikatumika kwenye madawa na maji plus miundo mbinu na ndege zilizopo zibembelezwe mpaka zikae sawa na pia hata biashara ya utalii inaweza chukua muda kurudi na yote sababu ni COVID-19 kwa hiyo hata usafiri wa anga kuchagiza sekta ya utalii nalo litachukua muda kutokana na mazingira ya kidunia kwa sasa
Litasikia Kwa MunguKweli sikio la kufa halisikii dawa.
kaka mimi naiwakilisha Serikali yako ya CCM inavyokuhukumu kuhusu mafao!! mimi ni mjumbe tu hauawi - nilichokisema ndicho Serikali yako ina ki-implement, Ni muda sasa wa kusimama na kusema Serikali ya CCM uonevu huu sasa basi.Huna upeo wa kuwaza
Wabunge wakistaafu wanapewa zote...
Je Wakulima na wafugaji ..Wana Mafao..? Hawa ndio 85% ...je Serikali inatunza wazee
Serikali inadaiwa Pesa nyingi mno na hii mifuko, mfano PSSSF wanadai Serikali 12 trillion
Kwa hiyo Serikali inakopa Pesa za mafao
Na Wafanyakazi Ni watu wenye uelewe kuliko Wakulima vijijini
Watu wakilipwa mafao yao, watafungua biashara na kupanua wigo wa Kodi kwa Serikali.
Fungua akili, acha kukariri mawazo ya Jenista Mhagama
Unaongoza ukiwa wapi?Tulia ww usiyejua....
kaa kimya tukuongoze
Kenya hiyo habari yako shirika lina backlogs ya ndege zaidi ya 4000 on orders sidhani kama hizo cancellation ni ndege ambazo zimeashingia kwenye production line.
Common sense ndege ambazo zinakuja mwaka huu zipo kwenye final stages kumalizika you can cancel an order at anytime but kuna gharama zake if you are willing to incur and some are more expenses than others depending on the amount of work done in the contract.
Msikilize CAG kuhusu hili shirika then utapata maana yake mkuu[emoji16][emoji16][emoji16]inamaana gani hii methali
Naipongeza serikali yanguWaziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema malipo ya ununuzi wa ndege mpya tatu yamekamilika, na zinatarajiwa kuwasili mwaka 2021/22.
Akiwa Bungeni Dodoma leo, Waziri Mkuu amesema ununuzi huo utawezesha Serikali kuwa na jumla ya Ndege 12. Aidha, amesema kuanzishwa kwa safari za Guangzhou (China) kutakuwa chachu ya kuimarisha Biashara, Utalii na Ajira.
Vilevile, Majaliwa amesema ujenzi na upanuzi wa Viwanja vya Ndege vya Shinyanga, Kigoma, Tabora na Sumbawanga vitakavyogharimu Tsh. Bilioni 176 unaendelea.
Ku cancel order utalipa fidia kubwa ni bora hata uchukue hizo ndege.....
jambo la pili hakuna biashara isiyo na changamoto kwenye biashara hasara ni part of the gem......
au ww kula kulala hujui kitu!!!?
Nisawa kabisa,na labda umejibu vizuri bila kujijua, wakatiwote biashara inaanza na hasara then faida inafuata.Semeni serikali imekamilisha malipo ya hasara nyingine mpya
Actually Magufuli alipata ushauri mmbaya given the recent CAG revelation kwamba ATCL do actually pay their rent on the plane.its a good idea to pay cancellation cost instead of buying more loss making planes. For the last 5 years losses were in billions. Kama si dikteta na dhalimu kugomea ATCL isikaguliwe labda tungeweza kuepuka continuously losses for the last five years. Serikali hii imejaa waongo waweke hadharani namna ndege hizo zilivyolipiwa kama ni mkopo au kwa cash na ni nani aliyesaini mkataba huo lini na wapi.