Waziri Mkuu Majaliwa: Serikali imekamilisha malipo ya ununuzi wa ndege mpya tatu

Waziri Mkuu Majaliwa: Serikali imekamilisha malipo ya ununuzi wa ndege mpya tatu

Ni Airbus A220-300 mbili na Dash Q-400 De-Havilland moja.

Kwa nini tunanunua ndege kampuni tofauti tofauti ? Boeing, Bombardier, Airbus, De- Havilland.

Hapo tunaingia gharama sana mikataba tofauti, maintenance, mafunzo etc.
Hatuna namna kwasasa maana ndiyo brand au equipment zilizopo kwenye fleet ya ATCL. Kwasasa tuendeleze hizohizo ila tusitafute zingine tofauti tena.
So far tuna marubani na huenda tumetrain wahandisi wa aina hizo za Ndege.
Mm nimeona at least hizo equipment ziko tailored kwa mazingira yetu kidogo, kuliko zingeongezwa Dreamliner tena zine kubanikwa juani..
 
Hatuna namna kwasasa maana ndiyo brand au equipment zilizopo kwenye fleet ya ATCL. Kwasasa tuendeleze hizohizo ila tusitafute zingine tofauti tena.
So far tuna marubani na huenda tumetrain wahandisi wa aina hizo za Ndege.
Mm nimeona at least hizo equipment ziko tailored kwa mazingira yetu kidogo, kuliko zingeongezwa Dreamliner tena zine kubanikwa juani..
Huyo Waziri Mkuu ni bomu tuu, si ndio aliyekuwa anatupa uongo!! Hakuna economic justification ya kuongeza ndege isipokuua ufisadi wakati shirika halina ROUTES!! Ndege zitabidi ziote jua tu kwavile haziwezi kuruka kwenda LONDON wala PRETORIA kwani huko shirika lina daiwa hivyo ndege zinaweza kukamatwa!! Ndege hizo zitaruka humu humu nchini na Comoro tu huko kwa majirani zetu wana ndege zao! IT IS PATHETIC.

Siku si nyingi RAIS itabidi apande EMIRATES / QATAR /KLM/KENYA AIRWAYS kwenda kuhudhuria mikutano kwani ATCL haiwezi kumpeleka!!
 
Akizungumzia maendeleo ya Miradi Mbalimbali inayoendelea kutekelezwa na wakati Bajeti ya ofisi yake Ikipitishwa. Waziri Mkuu Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania amesema Ndege Zingine Tatu ziko mbioni kuja Nchi wakati wowote kutekeleza ahadi ya Serikari katika uboreshaji wa Usafiri wa Anga Nchi.

Una neno gani Mdau juu ya Uamuzi huu mzuri unaoonesha ustawi chanya wa Nchi yetu.

Mbarikiwe sana.
Mapesa mengine yanaenda kutumika kununua hasara endelevu.
CCM hivi hamjui kuwa ndege si kipaumbele chetu?
Kwenye manunuzi makubwa ndiko kwenye ufisadi mkubwa
 
Ni Airbus A220-300 mbili na Dash Q-400 De-Havilland moja.

Kwa nini tunanunua ndege kampuni tofauti tofauti ? Boeing, Bombardier, Airbus, De- Havilland.

Hapo tunaingia gharama sana mikataba tofauti, maintenance, mafunzo etc.
De Havilland ndio Bombardier
 
Ndege zilizopo zimeingiza hasara ya Sh. Billioni 60, wanaona hio hasara haitoshi wameamua kuongeza ndege pengine hasara ifikie hata Sh Billioni 100.

Prof Assad alisema "Shirika la ATCL linadaiwa madeni mengi sana na kushauri lifilisiwe kwanza kimahakama ili madeni yalipwe hela kidogo itakayo patikana ili hayo madeni yafe, au lasivyo wanaodai watakamata ndege, likifilisiwa kimahakama halafu wafungue shirika la ndege jipya ndio wanunue ndege nyingine mypa, na wasinunue kwa hela cash".

Kuchamba kwingi na kujifanya wajuaji, wameamua kununua ndege nyingine, halafu kuna mpuuzi anasema eti kuboresha usafiri wa anga.

SWALI KWA WAZIRI MKUU:

1) Huko ni kuboresha usafiri wa anga au kuboresha hasara ya taifa???

2) Ndio tuseme bado anatuona watanzania "MAJUHA/WAPUMBAVU/WAJINGA" kuendelea kutudanganya kwamba wanaboresha usafiri wa anga???

#WaziriMkuu-AJIUZULU.
 
Ni Airbus A220-300 mbili na Dash Q-400 De-Havilland moja.

Kwa nini tunanunua ndege kampuni tofauti tofauti ? Boeing, Bombardier, Airbus, De- Havilland.

Hapo tunaingia gharama sana mikataba tofauti, maintenance, mafunzo etc.
Ndege zote ni kampuni moja zimeunganishwa kampuni 2 na
 
Ni Airbus A220-300 mbili na Dash Q-400 De-Havilland moja.

Kwa nini tunanunua ndege kampuni tofauti tofauti ? Boeing, Bombardier, Airbus, De- Havilland.

Hapo tunaingia gharama sana mikataba tofauti, maintenance, mafunzo etc.
Retired CAG alishajibu hilo kuwa asilimia 60 ya viongozi wa serikali hawana uwezo.
 
Tushaambiwa bodi ya atcl hakuna mwenye uelewa wa maswala ya anga kazi yao kukaa kwenye vikao na kulipwa bure tu huku hawatupi ushauri wa maana
 
Ni Airbus A220-300 mbili na Dash Q-400 De-Havilland moja.

Kwa nini tunanunua ndege kampuni tofauti tofauti ? Boeing, Bombardier, Airbus, De- Havilland.

Hapo tunaingia gharama sana mikataba tofauti, maintenance, mafunzo etc.
Nimesoma Jana...dehavilland Ni bombardier
 
Serikali inapenda ndege kuliko kuboresha hospitali kwa ajili ya matibabu ya wanyonge.
Hiyo siyo kweli kwani hospitali zetu zimeboreshwa sana na nyingi xins vifaa vya kisasa sana kwa vile hakuna hospitali za vijijini ambavyo havuine umeme leo. Majuzi kuna ndugu yangu amefanyiwa upasuaji huko huko kijijini na amepona. Miiezi michache iliyopita viongozi wetu walifariki wakiwa wanatibiwa hkwenye hospitali zetu tofauti na zamani walikuwa wanafariki wakiwa wanatibiwa hospitali za nje!
 
Shirika liingie ubia na wafanyabiashara....watu wanunue share Kisha atafutwe CEO Anayejielewa Kama yule shirima aliyekiwa precision air

Ila nashauri kabla ya kuongeza ndege nyingine shirika liweke mpango mkakati utakaoshauri Kama ndege zitanunuliwa Ni zipi za aona gani kwa ajili ya route zipi...
 
Nimesoma Jana...dehavilland Ni bombardier
Sawa.

Lakini bado ni kampuni tatu hizo.

Boeing, Airbus, Bombardier.

Unapoongeza makampuni hivyo unaongeza mikataba tofauti, training tofauti, maintenance tofauti. Hata vipuri tofauti.

Kwa nini tumenunua ndege makampuni tofauti hivyo?
 
Back
Top Bottom