Wito umetoka mei 5 ya saa ngapi ?

Saa 6 usiku ? Binafsi nakumbuka mwezi uliopita MOF&P alisema wanachakata mipango ya kuondoa baadhi ya tozo ktk kila 1 ltr ya mafuta ..sasa sijui imekuwaje
Udhalimu tu. Unaweza kushangaa bei inapungua kwa tsh20/lita na kuna mazuzu ytashangilia kuupiga mwingi
 
Pm huwa ni muongo muongo sana
Yupo ikulu anachapa kazi. Katika watu waliokuwa team JPM na nimeona wametumia hekima kuliko hata walipokuwa naye, ni Bashiru Kakurwa. Huyu bwana yeye ameamua kukaa kimya kabisa bila hata kutia neno tangu mwajiri wake aage dunia. Hekima ya kiwango cha juu kabisa. Sabaya alijifanya kuhadaa umma bila kujua anawindwa ateleze kidogo tu.
 
Nchi jirani mafuta wanauza bei rahisi kuliko Tanzania na wanapitisha hapa hapa bongo halafu tukaambiwa twende Burundi kwenye vitu vya bei rahisi.
Iko siku watu watachoshwa na dhihaka za viongozi. Huyo ni waziri anawajibu watu kwa kejeli namna hiyo bila kujua kuwa maisha ni duara na inaweza kupinduliwa meza wasiamini
 
Kazi nzuri PM endelea kutupambania...
 
 
Ajabu ya mvita kuota mvinde. Gesi ya hapo kwa uwani kwetu wameshindwa kuifanyia mchakato. Leo mafuta toka bahari ya saba huko wanayafanyia mchakato.
 
 
 
 
Sasa hivi hata wale wachache waliowapigia kura hawana imani tena na utawala wenu. Na yale maneno yenu ya kibehi kuwa tusipokubali ongezeko la tozo tuhamie Burundi.
Your browser is not able to display this video.
 
Pm huwa ni muongo muongo sana
Huyu PM simwamini hata kidogo zile mbwembe nataka siku 14 report ya mauji ya Mtwara iko wapi? leo miezi hizi kauli ndogondogo zinakufanya ngumu kuaminika. Usiseme kitu kama unajuwa huwezi kutekeleza. Hata katika maisha ya kawaida ukiwa na mtu kila siku ahadi fake nakuja sasa hivi haji, nitakupigia simu dakika 10 tu hapigi, nitakutumia pesa yako kesho hatumi, huyu mtu utamchukuliaje? Sasa ukiwa kiongozi ndio kabisa
 
Wito umetoka mei 5 ya saa ngapi ?

Saa 6 usiku ? Binafsi nakumbuka mwezi uliopita MOF&P alisema wanachakata mipango ya kuondoa baadhi ya tozo ktk kila 1 ltr ya mafuta ..sasa sijui imekuwaje
Mapato wapate wapi!!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…