Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo kutekeleza ushauri wenye tija ni kosa?Hizi hatua za kudhibiti bei ya mafuta kwa nini zisifanyike hapo awali
Kw a nini iwe baada ya wananchi kulalama kama wamekula pilipili?
SERIKALI YACHUKUA HATUA KUSHUSHA BEI MAFUTA SERIKALI YACHUKUA HATUA KUSHUSHA BEI MAFUTA - Jamvi La Habari
Kama ambavyo wewe ulivyofeli maishaHii serikali ilishafeli
Kwa hiyo bei ya mafuta duniani imesababishwa na serikalitengeneza tatizo alafu solve tatizo ili kesho useme bila ccm maendeleo hakuna.
alisikika december mikamba
pandisha kwa kiwango kikubwa kisha unashusha kidogo, harafu tunapongeza kwa nguvu watazoea tu! Mfano ikiwa 2000 unapandisha mpaka 3400 wakipiga kelele tunashusha hadi 2800 kisha malengo yakupandisha yanakuwa yametimia toka 2000 hadi 2800,nahivi ndotunavyofanywa watanzania.Hizi hatua za kudhibiti bei ya mafuta kwa nini zisifanyike hapo awali
Kw a nini iwe baada ya wananchi kulalama kama wamekula pilipili?
SERIKALI YACHUKUA HATUA KUSHUSHA BEI MAFUTA SERIKALI YACHUKUA HATUA KUSHUSHA BEI MAFUTA - Jamvi La Habari
hakuna hatua zozote zitachukuliwa watakuja na jibu ya vita ya UkraineHizi hatua za kudhibiti bei ya mafuta kwa nini zisifanyike hapo awali
Kw a nini iwe baada ya wananchi kulalama kama wamekula pilipili?
SERIKALI YACHUKUA HATUA KUSHUSHA BEI MAFUTA SERIKALI YACHUKUA HATUA KUSHUSHA BEI MAFUTA - Jamvi La Habari
Wasambazaji wakubwa wa mafuta ni hao hao wanaotaka kushushapandisha kwa kiwango kikubwa kisha unashusha kidogo, harafu tunapongeza kwa nguvu watazoea tu! Mfano ikiwa 2000 unapandisha mpaka 3400 wakipiga kelele tunashusha hadi 2800 kisha malengo yakupandisha yanakuwa yametimia toka 2000 hadi 2800,nahivi ndotunavyofanywa watanzania.
Nchi hii ukiamua kuua wajinga utakuta umeua mpaka ndugu zako.Kwa hiyo kutekeleza ushauri wenye tija ni kosa?
ThibitishaKama ambavyo wewe ulivyofeli maisha
Hizi hatua za kudhibiti bei ya mafuta kwa nini zisifanyike hapo awali
Kw a nini iwe baada ya wananchi kulalama kama wamekula pilipili?
SERIKALI YACHUKUA HATUA KUSHUSHA BEI MAFUTA SERIKALI YACHUKUA HATUA KUSHUSHA BEI MAFUTA - Jamvi La Habari
Tatizo la Watawala wa CCM ni kuongoza kwa MATUKIO badala ya WELEDI. Shame on CCM Hench men n' Rulers!!!Hizi hatua za kudhibiti bei ya mafuta kwa nini zisifanyike hapo awali
Kw a nini iwe baada ya wananchi kulalama kama wamekula pilipili?
SERIKALI YACHUKUA HATUA KUSHUSHA BEI MAFUTA SERIKALI YACHUKUA HATUA KUSHUSHA BEI MAFUTA - Jamvi La Habari
Mafisadi ndio yananeemeka sasa kupitia haya mafuta maana Samia na serikali yake wamezidiwa akili wamebaki kupiga porojo!!Mafisadi yanatafuta njia nyingine ya kupora
Mkuu kuna mahali sisi sote kama nchi huenda tulimkosea Mungu ndiyo maana ya haya yote. Kwa hiyo zile tozo kandamizi nazo ikitokea zinaondolewa itaonekana kuna nia ovu ndiyo maaana zinaondolewa au???. Hii si akili ya kawaida hata kdg. Kama mtu anaweza kuafford bundle la internet anawazaje kuwa na akili mbovu za kiwango hiki? Iko shida kubwa mahali si bure mkuu.Kwa hiyo kutekeleza ushauri wenye tija ni kosa?
Hatua za ujanja ujanja ni kama vile serikali kutoa kauli za matumaini kuwa itashusha bei za petrol/Diesel huku ikijua wazi kuwa huo uwezo haina!Nchi hii ukiamua kuua wajinga utakuta umeua mpaka ndugu zako.
Ukimuuliza ni hatua gani za ujanja ujanja umeona zimechukuliwa hatakuwa na jibu.
Serikali inayotegemea kodi ni serikali iliyofilisikaKama ambavyo wewe ulivyofeli maisha
Umelogwa peke yako mzee! Usituingize kwenye matatizo yakoWatanzania tumelogwa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kila jitihada zinazofanyika hatuna pongezi ni negativity tuu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hebu kwa hili tupongeze ushauri wa kina shabiby naona umefanyiwa kazi, tusubiri utekelezaji…