Waziri Mkuu Majaliwa: Tumsaidie Rais Samia kupata wasaidizi waadilifu


Huyo waziri mkuu aachane na neno uadilifu maana yuko madarakani kwa kufanya siasa za kishenzi. Huyo ndio aliagiza washindani wake watekwe na kuporwa fomu zao za uchaguzi ili apite bila kupingwa.
 
Yeye ni muadilifu? Huyu ndio kashindwa kusimamia Serikali alikuwa anavimbiwa Hadi na Ma ded wa Mwendazake achilia mbali kina Makonda.
 
Si wapo tayari, kama yule mama wa songea hakuna kitu kila siku anabadilishwa wizara, hivi tunaomba Mungu atusaidiaje pale. Mtu anafahamika ni incompetent yet anapewa wizara tena nyeti kama utumishi.
Mama ana kimzizi sio bure,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…