Waziri Mkuu Majaliwa, Vijijini hatuhitaji taa za barabarani, hii ni kejeli

Waziri Mkuu Majaliwa, Vijijini hatuhitaji taa za barabarani, hii ni kejeli

View attachment 2117287

Ni dhahili serikali hii haijui mahitaji ya wananchi na haina vipaumbele. WM amewaagiza Tarura waweke taa mpaka vijijini. Hivi ni kweli sisi watu wa vijijini tunahitaji taa za barabarani? Hii ni kejeli kubwa sana.

Sisi vijijini tunahitaji madawa na vifaa tiba, tunahitaji maji na umeme wa uhakika. Tunahitaji pembejeo za bei nafuu, Tunataka mabwawa tulime kwa kumwagilia. Tunataka maghala na masoko ya mazao. Leo tunaambiwa tuletewe taa za barabarani.
kaka taa za barabarani nazo ni muhimu sana unaposikia taa za barabarani usidhani ni trafic light kaka bali ni taa za kuwamulikia wananchi kwa ajili ya usalama kwanza, vipo vijiji vingine serikali inapoteza sana nguvu kazi kazi, watu wanakabwa usiku, wengine wanabakwa yaani matukio kibao ya uhalifu yanafanyika gizan, kwaiyo wakisema waweke taa za barabarani ni jambo jema sana kidogo zitapunguza uhalifu
 
View attachment 2117287

Ni dhahili serikali hii haijui mahitaji ya wananchi na haina vipaumbele. WM amewaagiza Tarura waweke taa mpaka vijijini. Hivi ni kweli sisi watu wa vijijini tunahitaji taa za barabarani? Hii ni kejeli kubwa sana.

Sisi vijijini tunahitaji madawa na vifaa tiba, tunahitaji maji na umeme wa uhakika. Tunahitaji pembejeo za bei nafuu, Tunataka mabwawa tulime kwa kumwagilia. Tunataka maghala na masoko ya mazao. Leo tunaambiwa tuletewe taa za barabarani.
Kwahiyo unataka TARURA wawaletee mabwawa ya kumwagilia na madawa?
 
Mkuu unaambiwa TANESCO ndilo shirika pekee la umma linaloingizia serikali matrilioni ya fedha kila mwezi. Huwezi kuikataa fursa hiyo ya kuwekewa taa za barabarani.

Kama ni madawa na maji, basi yatatokana na vyanzo vingine. Ugonjwa wa UVIKO 19 si bado upo, na takwimu tunazipeleka WHO, basi mkopo nafuu ujao unaweza kuelekezwa huko.
Taa za umeme sio recommended tena siku hizi, hivyo hazina uhusiano na TANESCO
 
Ndio maelekezo yametolewa, tusubiri kuona utekelezaji
Mkuu tunayaheshimu sana hayo maelekezo. Ila kwa ukweli vipaumbele ni vingi sana lakini sio taa za barabarani kwa sasa. Vipaumbele vyetu ni pamoja na miundombinu ya umwagiliaji, majosho na madawa yake ya mifugo, kutoa ruzuku katika pendekezo za kilimo e.g mbolea, madawa n.k.
 
View attachment 2117287

Ni dhahili serikali hii haijui mahitaji ya wananchi na haina vipaumbele. WM amewaagiza Tarura waweke taa mpaka vijijini. Hivi ni kweli sisi watu wa vijijini tunahitaji taa za barabarani? Hii ni kejeli kubwa sana.

Sisi vijijini tunahitaji madawa na vifaa tiba, tunahitaji maji na umeme wa uhakika. Tunahitaji pembejeo za bei nafuu, Tunataka mabwawa tulime kwa kumwagilia. Tunataka maghala na masoko ya mazao. Leo tunaambiwa tuletewe taa za barabarani.
Walizoweka mijini zinawak? Ni nani anazisemea hizo zilizochini ya viwango zilizowekwa mijini zikakaa miezi michache zikafa na hakuna mtu anawajibishwa
 
Kijijini kukiwekwa taa kuna kosa gani?
Hakuna kosa lakini kuna mengi ya muhimu zaidi kuliko Tara za barabarani
Mf. Clinics aka zahanati, shule, huduma ya maji, umeme majumbani na vituo vya maendeleo ( mafunzo ya ufundi, kilimo, etc)
 
View attachment 2117287

Ni dhahili serikali hii haijui mahitaji ya wananchi na haina vipaumbele. WM amewaagiza Tarura waweke taa mpaka vijijini. Hivi ni kweli sisi watu wa vijijini tunahitaji taa za barabarani? Hii ni kejeli kubwa sana.

Sisi vijijini tunahitaji madawa na vifaa tiba, tunahitaji maji na umeme wa uhakika. Tunahitaji pembejeo za bei nafuu, Tunataka mabwawa tulime kwa kumwagilia. Tunataka maghala na masoko ya mazao. Leo tunaambiwa tuletewe taa za barabarani.
Taa za barabarani zinakuja na opportunity maybe lets try see it in a bright side mfano nn sijui anyway kama nani ulinzi dhidi ya waporaji, na wadudu au wanyama wabaya kusogea mbali pia pengine wanaweza ekewa lami au sizebarabara za zege maana kwani izo taa zitachimbiwa chini kami miti na wakifanya hivo tutakuwa na idara yenye maboya duniani.......ni mtazamo
 
Watu mnapinga pinga tu,taa zinaleta nuru na nuru inafukuza wizi na vibaka.
 
View attachment 2117287

Ni dhahili serikali hii haijui mahitaji ya wananchi na haina vipaumbele. WM amewaagiza Tarura waweke taa mpaka vijijini. Hivi ni kweli sisi watu wa vijijini tunahitaji taa za barabarani? Hii ni kejeli kubwa sana.

Sisi vijijini tunahitaji madawa na vifaa tiba, tunahitaji maji na umeme wa uhakika. Tunahitaji pembejeo za bei nafuu, Tunataka mabwawa tulime kwa kumwagilia. Tunataka maghala na masoko ya mazao. Leo tunaambiwa tuletewe taa za barabarani.
Eti na huyu majaliwa anauota urais!
 
Sheria ya wapi hiyo? Tutajie inayosema ili kijiji kiwe na sifa ya kuwa hivyo ni kutokuwq na taa????
Mkuu jua kuwa kuna utofati kati ya mji Mkuu, Mji, Mji mdogo na kijiji. Kwa ujumla makazi haya yanapewa majina hayo kutokana na mahitaji ya msingi yatokayo na maendeleo ya sehemu (eneo) husika, na wakati mwingine hata idadi ya watu na uchumi wake. Taa za barabarani ni sehemu ya maendeleo na shughuli za kati na juu za maendeleo. Je kijiji kimeendelea katika sekta zote za kiafya, kielimu, usafirishaji, miundombinu ya barabara, miundombinu ya kilimo pamoja na skimu za umwagiliaji n.k hadi waje kufikiriwa kupewa taa za mitaani, huo ni mtihani kwa kijiji cha Tanzania; ndio maana tunasema taa za barabarani sio hadhi yake labda Mji mdogo.
 
Mkuu jua kuwa kuna utofati kati ya mji Mkuu, Mji, Mji mdogo na kijiji. Kwa ujumla makazi haya yanapewa majina hayo kutokana na mahitaji ya msingi yatokayo na maendeleo ya sehemu (eneo) husika, na wakati mwingine hata idadi ya watu na uchumi wake. Taa za barabarani ni sehemu ya maendeleo na shughuli za kati na juu za maendeleo. Je kijiji kimeendelea katika sekta zote za kiafya, kielimu, usafirishaji, miundombinu ya barabara, miundombinu ya kilimo pamoja na skimu za umwagiliaji n.k hadi waje kufikiriwa kupewa taa za mitaani, huo ni mtihani kwa kijiji cha Tanzania; ndio maana tunasema taa za barabarani sio hadhi yake labda Mji mdogo.
Mkuu, nadhani Dhana nzima ya maendeleo labda haieleweki miongoni mwetu. Hizo taa kama zinatakiwakuwekwa kwenye maendeleo ya sehemu zenye utoshelezi wa sekta za Afya,Elimu n.k. Je sehemu zilizopo mjini zenye taa zimejitosheleza katika nyanja hizo? Hakuna upungufu? Je hizo taa zinahusiana na kutoa tiba au Elimu kwa wananchi? Hoja aliyoisemea Mh. Waziri Mkuu ni kuwa kwenye mikataba ya bara² hata za vijijini kuwepo na components ya taa. Sasa shida hapo ni nini? Je zahanati na vituo vya afya vinavyojengwa vijijini siyo maendeleo? Umeme unaosambazwa kila kijiji basi nao usingepelekwa . Kumbuka teknolojia ya sasa taa ni za solar.. tabu iko wapi? Tuheshimu mawazo ya viongozi wetu ndugu
 
Mkuu, nadhani Dhana nzima ya maendeleo labda haieleweki miongoni mwetu. Hizo taa kama zinatakiwakuwekwa kwenye maendeleo ya sehemu zenye utoshelezi wa sekta za Afya,Elimu n.k. Je sehemu zilizopo mjini zenye taa zimejitosheleza katika nyanja hizo? Hakuna upungufu? Je hizo taa zinahusiana na kutoa tiba au Elimu kwa wananchi? Hoja aliyoisemea Mh. Waziri Mkuu ni kuwa kwenye mikataba ya bara² hata za vijijini kuwepo na components ya taa. Sasa shida hapo ni nini? Je zahanati na vituo vya afya vinavyojengwa vijijini siyo maendeleo? Umeme unaosambazwa kila kijiji basi nao usingepelekwa . Kumbuka teknolojia ya sasa taa ni za solar.. tabu iko wapi? Tuheshimu mawazo ya viongozi wetu ndug

Mkuu hawa ni wataalamu wa barabara, wewe unadhani ni kwa nini kwenye hiyo mikataba ya barabara hawaweki hiyo components ya taa za barabarani? Hudhani kwamba inatokana na ufinyu wa bajeti ya barabara? AU hudhani kwamba inawezekana gharama za taa bajeti yake ni zaidi ama nusu ya bajeti ya barabara? Tunaziona barabara nyingi za vijijini zinapotengenezwa zinakosa componentes muhimu kama mitaro ya kuondoa maji ya mvua, kuweka karavati sehemu husika badala ya tuta n.k
 
View attachment 2117287

Ni dhahili serikali hii haijui mahitaji ya wananchi na haina vipaumbele. WM amewaagiza Tarura waweke taa mpaka vijijini. Hivi ni kweli sisi watu wa vijijini tunahitaji taa za barabarani? Hii ni kejeli kubwa sana.

Sisi vijijini tunahitaji madawa na vifaa tiba, tunahitaji maji na umeme wa uhakika. Tunahitaji pembejeo za bei nafuu, Tunataka mabwawa tulime kwa kumwagilia. Tunataka maghala na masoko ya mazao. Leo tunaambiwa tuletewe taa za barabarani.
Vyote ulivyosema ni vitu muhimu lakini taa za barabarani ni muhimu pia ili kupunguza vitendo vya ujambazi na ukatili uliokithiri vijijini. Hata ivyo izo taa zikiletwa lazima wataleta na umeme.
 
Mk
Vyote ulivyosema ni vitu muhimu lakini taa za barabarani ni muhimu pia ili kupunguza vitendo vya ujambazi na ukatili uliokithiri vijijini. Hata ivyo izo taa zikiletwa lazima wataleta na umeme.
Mkuu hata hapo Dar kuna barabara kibao hazina taa za barabarani tena barabara za TANROAD sembuse hizo za vijijini ambazo hazina hata hadhi ya TAURA. Vijijini hamna vibaka kama vijiji vya Dar
 
Mk
Vyote ulivyosema ni vitu muhimu lakini taa za barabarani ni muhimu pia ili kupunguza vitendo vya ujambazi na ukatili uliokithiri vijijini. Hata ivyo izo taa zikiletwa lazima wataleta na umeme.
Mkuu hata hapo Dar kuna barabara kibao hazina taa za barabarani tena barabara za TANROAD sembuse hizo za vijijini ambazo hazina hata hadhi ya TAURA. Vijijini hamna vibaka kama vijiji vya Dar
 
Back
Top Bottom