daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,127
- 3,062
Washughulikie kwanza bei ya mbolea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kifupi ni kwamba hata makao makuu ya mikoa mingine haina hata hizo taa za solar za barabara, hata hapo Dar na Dom mitaa kibao haina huduma hiyo. Solar nayo inahitaji BAJETITaa za barabarani nyingi zinatumia solar
Ndio maelekezo yametolewa, tusubiri kuona utekelezajiMkuu kifupi ni kwamba hata makao makuu ya mikoa mingine haina hata hizo taa za solar za barabara, hata hapo Dar na Dom mitaa kibao haina huduma hiyo. Solar nayo inahitaji BAJETI
Watanzania ifike mahala tuwe na uelewa na tuache unafiki. Mh. Waziri Mkuu hapo amekejeli nini? Dunia ya leo ndo anayoiongelea. Maendeleo yawe sawasawa. Hakuna kusema hiki ni cha mjini au hiki cha kijijini. Binadamu wote ni sawa. Ifike mahali tuunge mkono juhudi z Serikali chini ya Mh. RAIS Samia Suluhu.View attachment 2117287
Ni dhahili serikali hii haijui mahitaji ya wananchi na haina vipaumbele. WM amewaagiza Tarura waweke taa mpaka vijijini. Hivi ni kweli sisi watu wa vijijini tunahitaji taa za barabarani? Hii ni kejeli kubwa sana.
Sisi vijijini tunahitaji madawa na vifaa tiba, tunahitaji maji na umeme wa uhakika. Tunahitaji pembejeo za bei nafuu, Tunataka mabwawa tulime kwa kumwagilia. Tunataka maghala na masoko ya mazao. Leo tunaambiwa tuletewe taa za barabarani.
Top down decisions, ndio mfumo wa maamuzi unao tumika Tanzania. Mwananchi hahusishwi.View attachment 2117287
Ni dhahili serikali hii haijui mahitaji ya wananchi na haina vipaumbele. WM amewaagiza Tarura waweke taa mpaka vijijini. Hivi ni kweli sisi watu wa vijijini tunahitaji taa za barabarani? Hii ni kejeli kubwa sana.
Sisi vijijini tunahitaji madawa na vifaa tiba, tunahitaji maji na umeme wa uhakika. Tunahitaji pembejeo za bei nafuu, Tunataka mabwawa tulime kwa kumwagilia. Tunataka maghala na masoko ya mazao. Leo tunaambiwa tuletewe taa za barabarani.
as if uko kijijini......hata hivyo mijini kuliko taa za barabarani huduma za kijamii katika afya, shule zimekamilika? Kwa nini kuna taa za barabarani?View attachment 2117287
Ni dhahili serikali hii haijui mahitaji ya wananchi na haina vipaumbele. WM amewaagiza Tarura waweke taa mpaka vijijini. Hivi ni kweli sisi watu wa vijijini tunahitaji taa za barabarani? Hii ni kejeli kubwa sana.
Sisi vijijini tunahitaji madawa na vifaa tiba, tunahitaji maji na umeme wa uhakika. Tunahitaji pembejeo za bei nafuu, Tunataka mabwawa tulime kwa kumwagilia. Tunataka maghala na masoko ya mazao. Leo tunaambiwa tuletewe taa za barabarani.
Vibaka wapo mjini, idadi ndogo ya watu vijijini inarahisisha utambuzi wa waharifu.Taa zikiwepo vibaka watapungua
Ivi wewe bado unawasikiliza hawa jamaa?? Nani ataleta taa za barabarani vijijini kwanza ombeni angalau lije doza lifukie hayo mashimo hizo njia zenu za vumbi vumbi halafu muwekewe japo kifusi kwanza.View attachment 2117287
Ni dhahili serikali hii haijui mahitaji ya wananchi na haina vipaumbele. WM amewaagiza Tarura waweke taa mpaka vijijini. Hivi ni kweli sisi watu wa vijijini tunahitaji taa za barabarani? Hii ni kejeli kubwa sana.
Sisi vijijini tunahitaji madawa na vifaa tiba, tunahitaji maji na umeme wa uhakika. Tunahitaji pembejeo za bei nafuu, Tunataka mabwawa tulime kwa kumwagilia. Tunataka maghala na masoko ya mazao. Leo tunaambiwa tuletewe taa za barabarani.
Comedy za kuchapa hela.Mfumuko wa bei wameushughulikia tayari?Siyo kila siku zinaanzishwa komedi mpyampya tu.
Taa za solar ndio hutumika, lakini ni matumizi mabaya ya raslimali. Kuna mahitaji muhimu ambayo yanahitajika vijijini zaidi ya taa. Maji bado ni tatizo, watoto bado wanatembea umbali mrefu kwenda shule.. nk.Ni vema sana yaani zikiwekwa.
Lakini je, ni nani atalipa bili za umeme wake?
Ndani ya majiji tu huwa wanazima kuogopa bili...uko kijijini je?
Utakuwa mnufaika wa upigaji pesa hizo. Taa ni muhimu kuliko dawa, maji na wahudumu kwenye zahanati? Unajua zahanati nyingi hazina umeme? Unajua zinafanya kazi shift moja kwa kukosa wahudumu? Tunaopinga tunaangalia priority.Watanzania hawana jema
Unasahau kwamba hizo taa ni sehemu ya kuimarisha ulinzi wa eneo. Mnajua kulaumu tu
Mnajua kulalamika tu
Hata hao wachache hatuwatakiVibaka wapo mjini, idadi ndogo ya watu vijijini inarahisisha utambuzi wa waharifu.
Huijui Tanesco! Hizo trilions ulisha ziona kwenye budget? Acha trilions, hata wangekuwa wanaingiza a trilion moja, serikali ingekuwa inatembeza bakuli kwa wafadhili? Trilions za Tanesco zinashindwa kuliendesha shirika mpaka luzuku!Mkuu unaambiwa TANESCO ndilo shirika pekee la umma linaloingizia serikali matrilioni ya fedha kila mwezi. Huwezi kuikataa fursa hiyo ya kuwekewa taa za barabarani.
Kama ni madawa na maji, basi yatatokana na vyanzo vingine. Ugonjwa wa UVIKO 19 si bado upo, na takwimu tunazipeleka WHO, basi mkopo nafuu ujao unaweza kuelekezwa huko.
Vijiji vyote vina barabara? Hata mijini si mitaa yote ina barabara, mbali ya taa.Kuna vijitu vinavyo ishi mijini huko vinajiona vyewewe vinahaki ya kunufaika na keki ya Taifa kuliko waishiyo vijijini, nani kakwambia wa vijijini hawataki taa barabarani? Wamechoka kutumbukia mitaroni.
Ana makampuni ya usafirishaji na ujenzi, usishangae CCM kukaa kimya na miiko yake ya kiongozi kutokuwa na hisa ktk makampuni.Dili la mtu hilo kama ile minyororo na mabomba ya dar
Moshi na kagera kuwa Tanzania ni dunia nyingine, hakuna vijiji, kuna centers. Miji yetu ya wilaya, Ulaya ni centers.Wewe jamaa inaonekana kijijini kwenu hakuna maendeleo... Nenda Moshi na Kagera ujionee maendeleo ya vijijini...Vijijini Kuna centers...Muhimu kuwa na taa... Kwani taa kitu gani??
Vijiji vyenu havihitaji, Sisi wa Vunjo na Kilimanjaro Kwa Ujumla Vijiji Vyetu vinahitaji taaView attachment 2117287
Ni dhahili serikali hii haijui mahitaji ya wananchi na haina vipaumbele. WM amewaagiza Tarura waweke taa mpaka vijijini. Hivi ni kweli sisi watu wa vijijini tunahitaji taa za barabarani? Hii ni kejeli kubwa sana.
Sisi vijijini tunahitaji madawa na vifaa tiba, tunahitaji maji na umeme wa uhakika. Tunahitaji pembejeo za bei nafuu, Tunataka mabwawa tulime kwa kumwagilia. Tunataka maghala na masoko ya mazao. Leo tunaambiwa tuletewe taa za barabarani.
Eti huyu ndio anaonekana kichwa huko jumba jeupe. Mtua hawezi hata tenganisha mchele na chuya.View attachment 2117287
Ni dhahili serikali hii haijui mahitaji ya wananchi na haina vipaumbele. WM amewaagiza Tarura waweke taa mpaka vijijini. Hivi ni kweli sisi watu wa vijijini tunahitaji taa za barabarani? Hii ni kejeli kubwa sana.
Sisi vijijini tunahitaji madawa na vifaa tiba, tunahitaji maji na umeme wa uhakika. Tunahitaji pembejeo za bei nafuu, Tunataka mabwawa tulime kwa kumwagilia. Tunataka maghala na masoko ya mazao. Leo tunaambiwa tuletewe taa za barabarani.