tutafikatu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 3,327
- 4,624
Taa si kwa ajili ya vibaka. Taa ziendane na electrification of villages.Mjini kuna vibaka, vijijini hamna.
Mjini usiku kucha watu wanatembea au ulala night kali vijijini saa moja jioni watu wapo vitandani.