GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Sasa umeshakiri Mwenyewe hapa kuwa kumbe ameshiriki / alishiriki tu Kuokoa ( ukimaanisha hakuwa peke yake ) huo Ushujaa wa ghafla mliompa hadi Kumchangia Pesa na Magodoro ya GSM mmeutoa wapi?Tuache wivu wakuu, huyo dogo bahati yake tusiilalie mlango wazi kwa hali yeyote hata kama hajafungua yeye basi ameshiriki kuokoa watu hilo linatosha kuutambua msaada wake.
Mimi ninachokisema mtu akifunguliwa njia za mafanikio hakuna atakayeweza kuzifunga ndicho kilichotokea, na hapo juu sijakiri bali nimeleta assumptions tu kulingana na vile mnapenda kusikia.Sasa umeshakiri Mwenyewe hapa kuwa kumbe ameshiriki / alishiriki tu Kuokoa ( ukimaanisha hakuwa peke yake ) huo Ushujaa wa ghafla mliompa hadi Kumchangia Pesa na Magodoro ya GSM mmeutoa wapi?
Halafu GENTAMYCINE nikiwaambia kuwa hamna Akili na Nikiwadharau mnakataa na Kukasirika.
Dogo anazidi kutrend....safi
Mandonga kafa na wema wakeKishamfunika Mandonga tayari
Tutajie hao Wahudumu waliokufa Mkuu.Mhudumu gani alie pona kwenye ajali ya ndege? Ebu punguzeni uongo
Ww unae sema ali sema yeye ndie alie fungua mlango. Mtaje jina na weka picha. Ali hojiwa na media gani? Weka video. Coz majina ya Marehemu na majeruhi wa ajali yote yapo hapa ktk uzi mmoja hapa JF na huyo mhudumu hajawahi jitokeza.Tutajie hao Wahudumu waliokufa Mkuu.
Product za SAUT mnashida sana"Sisi ndiyo tulifungua Mlango wa Ndege kisha tukawaona Wavuvi na Mitumbwi yao wanakuja na kuanza Kushirikiana nao katika Kuokoa Abiria na baadae nasi pia Kuokolewa" Wahudumu wa Ndege ya Precision Air iliyotumbukia tarehe 6 Novemba Ziwa Victoria Bukoba Mkoani Kagera.
"Huyu Kijana tena Wajina wangu Majaliwa Jackson ni Shujaa kweli na lazima tumpe Asante kwani Yeye ndiyo alienda ilipo Ndege na kwa Kutumia Makasia aliyokuwa nayo akafungua Mlango wa Ndege na peke yake Kuokoa Abiria wote" Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa.
Kazi ipo hakyanani.
Hopeless umesema kuwa Wahudumu wote Wawili waliokuwemo Wamekufa hivyo nakuomba ututajie Majina yao na acha blah blah zako sawa?Ww unae sema ali sema yeye ndie alie fungua mlango. Mtaje jina na weka picha. Ali hojiwa na media gani? Weka video.
Dogo wamemkalia kidedea kweli hawafikirii tofauti na hilo! ukifanya jambo lolote la kimaendeleo wapo watu watataka kukuloga ili ufel kwa namna yoyote, lakin haitowezekanaTuache wivu wakuu, huyo dogo bahati yake tusiilalie mlango wazi kwa hali yeyote hata kama hajafungua yeye basi ameshiriki kuokoa watu hilo linatosha kuutambua msaada wake.
Sijui ni kwanini Watanzania ni wepesi sana Kudanganyika na kufanywa Wapumbavu ( Mipan'gang'a ) Mkuu.Inafikirisha sana.
Wamepona wahudumu wawiliMhudumu gani alie pona kwenye ajali ya ndege? Ebu punguzeni uongo
Wewe Mandonga anang'aa kila sikuKishamfunika Mandonga tayari