Waziri Mkuu Majaliwa, Wahudumu wa Ndege ya Precision Air wanasema Wao ndiyo Walifungua Mlango. Huyu Muokoaji ‘Majaliwa’ aliufungua upi?

Waziri Mkuu Majaliwa, Wahudumu wa Ndege ya Precision Air wanasema Wao ndiyo Walifungua Mlango. Huyu Muokoaji ‘Majaliwa’ aliufungua upi?

Hopeless umesema kuwa Wahudumu wote Wawili waliokuwemo Wamekufa hivyo nakuomba ututajie Majina yao na acha blah blah zako sawa?
Sasa ww huu uzi wako una jina la huyo mhudumu? Majina ya Wahanga wote wa Ajali yapo JF hapa toka kitambo
 
UZI KUHUSU MAJALIWA UMETUCHOSHA AKILI.

HAPA UNAUNGANA NA SYSTEM KUHAMISHWA AKILI NA KUPELEKWA KWA MAJALIWA.

MAJALIWA NI WA KUTENGENEZWA.
YANI NI PICHA LA KIHINDI.
AU KANYABOYA.

JAMII FORUM TUMECHOSWAA NA HABARI ZA MAJALIWA.
 
Hii nchi watu wanaroho mbaya ajabu watu badala ya kushukuru tu tumetoka salama bado wametoka na uhasidi juu huyu kijana kosa lake ni nini? aliomba haya? kwa kawaida ajali yoyote watu wanakuwa hawaoni kila kitu hasa unapokuwa unapigania maisha lakini hawa wametoka salama lakini utadhani humo ndani walikuwa wanajiokoa huku wanacheka, wahudumu wa ndege ni kazi yao na kama wamefungua ni kazi yao huyu kijana sio kazi yake kajitoa kwenda hata kama kafanya 1% lakini kajitoa kufanya wala hakuna shangazi yake kwenye ndege. Hamjui basi hata kusema Ttunashukuru Mungu maana kuna 19 wamekufa mnaanza wivu. Rizki anatoa Mungu na kijana ndio rizki yake. Swali Majaliwa alikwenda kuokoa au hapana? na yule Mama alisema mvuvi aliingia ndani na kumfungua mkanada kumsukuma nje naye alikuwa muhudumu au?
 
Sasa ww huu uzi wako una jina la huyo mhudumu? Majina ya Wahanga wote wa Ajali yapo JF hapa toka kitambo
Mpuuzi mkubwa Wewe nitajie ( tutajie ) Majina ya hawa ( hao ) Wahudumu unaosema kuwa nao Wamekufa wakati wenye Akili Kubwa na Wafuatiliaji wa Mambo ( Masuala Mtambuka ) tunajua kuwa Wamepona na Wako hai.
 
Hii nchi watu wanaroho mbaya ajabu watu badala ya kushukuru tu tumetoka salama bado wametoka na uhasidi juu huyu kijana kosa lake ni nini? aliomba haya? kwa kawaida ajali yoyote watu wanakuwa hawaoni kila kitu hasa unapokuwa unapigania maisha lakini hawa wametoka salama lakini utadhani humo ndani walikuwa wanajiokoa huku wanacheka, wahudumu wa ndege ni kazi yao na kama wamefungua ni kazi yao huyu kijana sio kazi yake kajitoa kwenda hata kama kafanya 1% lakini kajitoa kufanya wala hakuna shangazi yake kwenye ndege. Hamjui basi hata kusema Ttunashukuru Mungu maana kuna 19 wamekufa mnaanza wivu. Rizki anatoa Mungu na kijana ndio rizki yake. Swali Majaliwa alikwenda kuokoa au hapana? na yule Mama alisema mvuvi aliingia ndani na kumfungua mkanada kumsukuma nje naye alikuwa muhudumu au?
Rubbish and Nonsense.
 
Kuna story mtu alinipa aliwahi kwenda kuokoa nyumba moja usiku alikuta waizi wanavunja na akaweza kuwashika wale waizi basi akasifiwa sana siku ya pili ila kufika siku ya tatu wakaanza majirani usiku naye alikuwa anafanya nini nadhani alikuwa anamvizia mtoto wa kike alikuwa anamtongoza jamaa badala ya kupongezwa wambea wakaanza kumzushia jamaa alijuta hata kwanini alifanya alilofanya.
 
Ndio nyinyi wachawi hata asubuhi sasa wewe weka story yako unayoijuwa wewe. wavuvi wenzake wamesema ni kweli wewe uko huku unapiga siasa na roho nyeusi.
Kwa Upumbavu ( Upan'gang'a ) huu CCM itaendelea Kuwatawala hadi Siku ya Kiama.
 
Back
Top Bottom