Waziri Mkuu Majaliwa, Wahudumu wa Ndege ya Precision Air wanasema Wao ndiyo Walifungua Mlango. Huyu Muokoaji ‘Majaliwa’ aliufungua upi?

Waziri Mkuu Majaliwa, Wahudumu wa Ndege ya Precision Air wanasema Wao ndiyo Walifungua Mlango. Huyu Muokoaji ‘Majaliwa’ aliufungua upi?

Huoni amenijalia Elimu ya kuelimisha watu kama wewe.
Mwendawazimu na Mpumbavu wa aina yako huwa anakuwa na Elimu ya kuweza Kuelimishia Watu tena "Brainy' kama Mimi GENTAMYCINE wa hapa JamiiForums?
 
Mwendawazimu na Mpumbavu wa aina yako huwa anakuwa na Elimu ya kuweza Kuelimishia Watu tena "Brainy' kama Mimi GENTAMYCINE wa hapa JamiiForums?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila nashukru nimeanza kuona mabadiliko slowly utakuwa Raia mwema hapa JF na Tz. Na utapewa ubalozi wa kupinga matusi hapa JF
 
Wewe huo Uchafu ( Maji Taka ) yaliyojazana Ubongoni mwako una uhakika umeshayatoa?
Polepole na kusafisha. Mambo ya matusi, ww ni mtu mzima. Haipendizi. Kwanza ni dhambi. Daily matusi, au ww una dhani ni sifa nzuri?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila nashukru nimeanza kuona mabadiliko slowly utakuwa Raia mwema hapa JF na Tz. Na utapewa ubalozi wa kupinga matusi hapa JF
Nilipojiunga JamiiForums nilisema nataka Ubalozi?

Nilikuonya kuwa kwa Vita ya Maneno na Majibizano ( Mubashara ) bado hajatokea wa Kupambana nami hapa hata mkiwa 500 na Mimi peke yangu.

Twende Kazi..!!!!!!
 
Nilipojiunga JamiiForums nilisema nataka Ubalozi?

Nilikuonya kuwa kwa Vita ya Maneno na Majibizano ( Mubashara ) bado hajatokea wa Kupambana nami hapa hata mkiwa 500 na Mimi peke yangu.

Twende Kazi..!!!!!!
Unaona ulivyo litoto kichwani? Sifa za kijinga tu.
Mm sija choka, mm nakupa shule tu[emoji1787][emoji1787]
 
Polepole na kusafisha. Mambo ya matusi, ww ni mtu mzima. Haipendizi. Kwanza ni dhambi. Daily matusi, au ww una dhani ni sifa nzuri?
Anza Kwanza Kuusafisha Upumbavu na Utaahira ulionao na ukimaliza Kawasafishe na Waliokuzaa sawa?
 
Unaona ulivyo litoto kichwani? Sifa za kijinga tu.
Mm sija choka, mm nakupa shule tu[emoji1787][emoji1787]
Nina Doctorate ya Vita ya Maneno na Majibizano na Wapumbavu na Mataahira kama Wewe.
 
Anza Kwanza Kuusafisha Upumbavu na Utaahira ulionao na ukimaliza Kawasafishe na Waliokuzaa sawa?
Asiye funzwa na ***** hufunzwa na Ulimwengu....sisi ndio ulimwengu. Hatuwezi kukuacha uwe kichaa hapa JF wakati tupo. Tuta kunyoosha tu
 
Wivu Ni sawa na uchawi...watz mna wivu Sana..maaanyugusi
 
Asiye funzwa na ***** hufunzwa na Ulimwengu....sisi ndio ulimwengu. Hatuwezi kukuacha uwe kichaa hapa JF wakati tupo. Tuta kunyoosha tu
Huo Ukichaa nilionao 'aliyekuzaa' alipona lini?
 
Najua shule nayo kupa ina ingia. Japo una rukaruka kama maharage. Soon utakuwa member mwema.
Taahira kama Wewe unaweza Kunifundisha 'Kipanga' Mimi hapa JamiiForums? Huna Akili.
 
Back
Top Bottom