Waziri Mkuu Majaliwa yupo kimya sana Juu ya mauaji na utekaji

Waziri Mkuu Majaliwa yupo kimya sana Juu ya mauaji na utekaji

Gabeji

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
1,530
Reaction score
1,903
Salamu zangu zikufikie Mh. Majaliwa, pole na kazi, ningependa kujua ni nini kimekusibu, kutoka mbele na kukemea suala la mauaji na utekaji ndani ya inchi yetu?

Mbona mwanafunzi akipotea huwa utoa magizo mazito ndani ya siku moja anapatikana.

Wewe ndio mtendaji mkuu wa shughuli za Serikali za kila siku. Taifa bado lina imani na wewe. Toa neno kwa ajili maslahi ya taifa.

Mungu ibariki Tanzania

By mwinjilist wenu Gabeji.
 
Unaweza kusukuma gari ukiwa ndani?

Samia yupo Zanzibar na mkuu wa majeshi eti wanadiscuss mambo ya mkutano wa nchi za kusini mwa afrika duh😀😀😀

CCM tatizo kinachowaponza makundi ya kutafuta madaraka (teams)

Toka wamkate lowassa CCM haitakaa itulie mpaka kianguke
 
Unaweza kusukuma gari ukiwa ndani?

CCM tatizo kinachowaponza makundi ya kutafuta madaraka teams

Toka wamkate lowassa CCM haitakaa itulie mpaka kianguke
MH Majaliwa kaamua kufanya kazi aliyopewa na mkuu wa nchi,hataki kujifanya msemaji kumpita au kwenda kinyume na BOSI mkuu wa nchi.
Anfuata msemo bwa Residence Magistrate of Masasi Court Mh Kashushu.

" A talkative person can not be nominated to hold out big office, he will come to reveal top secret of big institution,and create chaos...."

Aksante sana Mzee wa bonde la NANDITI kwa kuchagua kukaa kimyaa kwa vitu tata.

Unless mkuu wa nchi anaamua kulisemea, huna haja ya kujifanya Kimbele Front.

🙏🙏🙏

Ulipoongea kauli ya kidiplomasia nkuwan"Rais yupo anachapa kazi" zama za jiwe, walikunanga sana.

Katika haya mwachie mkuu wa nchi, usiwape faida watu.

Nandagala one,

Mpumalanga South Africa.
 
MH Majaliwa kaamua kufanya kazi aliyopewa na mkuu wa nchi,hataki kujifanya msemaji kumpita au kwenda kinyume na BOSI mkuu wa nchi.
Anfuata msemo bwa Residence Magistrate of Masasi Court Mh Kashushu.

" A talkative person can not be nominated to hold out big office, he will come to reveal top secret of big institution,and create chaos...."

Aksante sana Mzee wa bonde la NANDITI kwa kuchagua kukaa kimyaa kwa vitu tata.

Unless mkuu wa nchi anaamua kulisemea, huna haja ya kujifanya Kimbele Front.

🙏🙏🙏

Ulipoongea kauli ya kidiplomasia nkuwan"Rais yupo anachapa kazi" zama za jiwe, walikunanga sana.

Katika haya mwachie mkuu wa nchi, usiwape faida watu.

Nandagala one,

Mpumalanga South Africa.
Lakin alipaswa kusema hata kwa kuzuga,I'li kuonesha hana baraka zake
 
Salamu zangu zikufikie Mh. Majaliwa, pole na kazi, ningependa kujua ni nini kimekusibu, kutoka mbele na kukemea suala la mauaji na utekaji ndani ya inchi yetu?

Mbona mwanafunzi akipotea huwa utoa magizo mazito ndani ya siku moja anapatikana.

Wewe ndio mtendaji mkuu wa shughuli za Serikali za kila siku. Taifa bado lina imani na wewe. Toa neno kwa ajili maslahi ya taifa.

Mungu ibariki Tanzania

By mwinjilist wenu Gabeji.
Hata VP Dr Philip Mpango huwezi kumsikia.

Huyu Mkatoliki Mwenzangu amenivunja moyo sana. Mama kanisa hajatufundisha kukalia kimya udhalimu
 
Unaweza kusukuma gari ukiwa ndani?

CCM tatizo kinachowaponza makundi ya kutafuta madaraka teams

Toka wamkate lowassa CCM haitakaa itulie mpaka kianguke
KWA kweli ni shida sana ,nchi haina waziri mkuu
 
Hata VP Dr Philip Mpango huwezi kumsikia.

Huyu Mkatoliki Mwenzangu amenivunja moyo sana. Mama kanisa hajatufundisha kukalia kimya udhalimu
Huyo mzee ndo hawezi , labda majaliwa angeweza kidogo, ila kuna shida juu kubwa sana
 
Salamu zangu zikufikie Mh. Majaliwa, pole na kazi, ningependa kujua ni nini kimekusibu, kutoka mbele na kukemea suala la mauaji na utekaji ndani ya inchi yetu?

Mbona mwanafunzi akipotea huwa utoa magizo mazito ndani ya siku moja anapatikana.

Wewe ndio mtendaji mkuu wa shughuli za Serikali za kila siku. Taifa bado lina imani na wewe. Toa neno kwa ajili maslahi ya taifa.

Mungu ibariki Tanzania

By mwinjilist wenu Gabeji.
Yeye mwenyewe akiongea yatamkuta.
 
Mfumo ni hovyo sana, ndani ya ccm ina maana hayupo hata mmoja anaye weza kukemea mauwaji, utekaji, ukimtoa walioba
Hakuna Braza.....Hata watuchinje nchi nzima tukaisha ndani ya ccm hakuna atakayetutetea.
 
Salamu zangu zikufikie Mh. Majaliwa, pole na kazi, ningependa kujua ni nini kimekusibu, kutoka mbele na kukemea suala la mauaji na utekaji ndani ya inchi yetu?

Mbona mwanafunzi akipotea huwa utoa magizo mazito ndani ya siku moja anapatikana.

Wewe ndio mtendaji mkuu wa shughuli za Serikali za kila siku. Taifa bado lina imani na wewe. Toa neno kwa ajili maslahi ya taifa.

Mungu ibariki Tanzania

By mwinjilist wenu Gabeji.
Yeye mwenyewe aliteka mgombea wa Chadema wa jimboni kwake ili apite bila kupingwa,huyo ni shetani tu
 
Back
Top Bottom