Waziri Mkuu Majaliwa yupo kimya sana Juu ya mauaji na utekaji

Waziri Mkuu Majaliwa yupo kimya sana Juu ya mauaji na utekaji

Vipi kama 'amepigwa pingu' na mfumo dhalimu? Vipi kama Serikali yenyewe ndio wahusika? Vipi kama kuna genge lina nguvu kubwa kuliko Serikali?
Unenikumbusha kutesa kwa zamu hadi kuteseka mwenyewe ama kuwatesa wasio na hekima
 
Salamu zangu zikufikie Mh. Majaliwa, pole na kazi, ningependa kujua ni nini kimekusibu, kutoka mbele na kukemea suala la mauaji na utekaji ndani ya inchi yetu?

Mbona mwanafunzi akipotea huwa utoa magizo mazito ndani ya siku moja anapatikana.

Wewe ndio mtendaji mkuu wa shughuli za Serikali za kila siku. Taifa bado lina imani na wewe. Toa neno kwa ajili maslahi ya taifa.

Mungu ibariki Tanzania

By mwinjilist wenu Gabeji.
Iko siku atakuja kusema, hasa yakimfika
 
Cheo kipya cha Naibu Waziri mkuu nacho mkifikilia kilivyokuja. Mchezo mgumu sana kwake.
Ila hiki cheo ni fikirishi, lakini changamoto husababisha binadamu afikiri nje ya sanduku na huibuka na fikra chanya zikiambatana na ubunifu, kumbe hakuna haja ya kumlaumu tuna vyeo viwili kwenye jukumu moja
 
Sasa Majaliwa afanyeje na Bosi wake yuko kimya. Unataka wam NDUGAI?
 
Ila hiki cheo ni fikirishi, lakini changamoto husababisha binadamu afikiri nje ya sanduku na huibuka na fikra chanya zikiambatana na ubunifu, kumbe hakuna haja ya kumlaumu tuna vyeo viwili kwenye jukumu moja
Si anhemua kujiuzuru tu
 
Salamu zangu zikufikie Mh. Majaliwa, pole na kazi, ningependa kujua ni nini kimekusibu, kutoka mbele na kukemea suala la mauaji na utekaji ndani ya inchi yetu?

Mbona mwanafunzi akipotea huwa utoa magizo mazito ndani ya siku moja anapatikana.

Wewe ndio mtendaji mkuu wa shughuli za Serikali za kila siku. Taifa bado lina imani na wewe. Toa neno kwa ajili maslahi ya taifa.

Mungu ibariki Tanzania

By mwinjilist wenu Gabeji.
Bosi keshasema ni DRAMA, yeye afanyeje sasa..!!??
 
Back
Top Bottom