Nandagala One
JF-Expert Member
- Aug 19, 2020
- 1,913
- 2,286
Shukrani MkuuNimeipenda hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani MkuuNimeipenda hii
Unenikumbusha kutesa kwa zamu hadi kuteseka mwenyewe ama kuwatesa wasio na hekimaVipi kama 'amepigwa pingu' na mfumo dhalimu? Vipi kama Serikali yenyewe ndio wahusika? Vipi kama kuna genge lina nguvu kubwa kuliko Serikali?
Ahaa kumbe anjomba a Diblo umo ? JF!!!🤣😀🤣mpali??Nina "Baltazar" zako na "on my own behalf", njoo hapa Kilimani tuelewane.
Iko siku atakuja kusema, hasa yakimfikaSalamu zangu zikufikie Mh. Majaliwa, pole na kazi, ningependa kujua ni nini kimekusibu, kutoka mbele na kukemea suala la mauaji na utekaji ndani ya inchi yetu?
Mbona mwanafunzi akipotea huwa utoa magizo mazito ndani ya siku moja anapatikana.
Wewe ndio mtendaji mkuu wa shughuli za Serikali za kila siku. Taifa bado lina imani na wewe. Toa neno kwa ajili maslahi ya taifa.
Mungu ibariki Tanzania
By mwinjilist wenu Gabeji.
Ila hiki cheo ni fikirishi, lakini changamoto husababisha binadamu afikiri nje ya sanduku na huibuka na fikra chanya zikiambatana na ubunifu, kumbe hakuna haja ya kumlaumu tuna vyeo viwili kwenye jukumu mojaCheo kipya cha Naibu Waziri mkuu nacho mkifikilia kilivyokuja. Mchezo mgumu sana kwake.
Bosi keshasema ni DRAMA, yeye afanyeje sasa..!!??Salamu zangu zikufikie Mh. Majaliwa, pole na kazi, ningependa kujua ni nini kimekusibu, kutoka mbele na kukemea suala la mauaji na utekaji ndani ya inchi yetu?
Mbona mwanafunzi akipotea huwa utoa magizo mazito ndani ya siku moja anapatikana.
Wewe ndio mtendaji mkuu wa shughuli za Serikali za kila siku. Taifa bado lina imani na wewe. Toa neno kwa ajili maslahi ya taifa.
Mungu ibariki Tanzania
By mwinjilist wenu Gabeji.