Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana usiwa label hivyo. Huwezi jua Katiba inasemajeMaana yake wote ni waovu, ni wauwaji, Mungu afanye jambo
Anachojua ni maafa ya kutumbukia ziwani na ndege au mafurikoSalamu zangu zikufikie Mh. Majaliwa, pole na kazi, ningependa kujua ni nini kimekusibu, kutoka mbele na kukemea suala la mauaji na utekaji ndani ya inchi yetu?
Mbona mwanafunzi akipotea huwa utoa magizo mazito ndani ya siku moja anapatikana.
Wewe ndio mtendaji mkuu wa shughuli za Serikali za kila siku. Taifa bado lina imani na wewe. Toa neno kwa ajili maslahi ya taifa.
Mungu ibariki Tanzania
By mwinjilist wenu Gabeji.
Comments zingine unapoanza kuisoma unategemea kukutana na madini ukimaliza unajuta kwanini umesoma kaka ule niukoo wa panya kama tatizo lilikuwa kumkata lowasa mbona alilejea tena pale pale na maisha yakaendelea😂😂😂😂✋🏻✋🏻Unaweza kusukuma gari ukiwa ndani?
CCM tatizo kinachowaponza makundi ya kutafuta madaraka teams
Toka wamkate lowassa CCM haitakaa itulie mpaka kianguke
IComments zingine unapoanza kuisoma unategemea kukutana na madini ukimaliza unajuta kwanini umesoma kaka ule niukoo wa panya kama tatizo lilikuwa kumkata lowasa mbona alilejea tena pale pale na maisha yakaendelea😂😂😂😂✋🏻✋🏻
Ni hatari 😂😂😂II
Ukoo wa panya wanakula mpaka mtumbwi WALIO panda
Siyo kweliWaziri mkuu wa hovyo kabisa
Nina "Baltazar" zako na "on my own behalf", njoo hapa Kilimani tuelewane.MH Majaliwa kaamua kufanya kazi aliyopewa na mkuu wa nchi,hataki kujifanya msemaji kumpita au kwenda kinyume na BOSI mkuu wa nchi.
Anfuata msemo bwa Residence Magistrate of Masasi Court Mh Kashushu.
" A talkative person can not be nominated to hold out big office, he will come to reveal top secret of big institution,and create chaos...."
Aksante sana Mzee wa bonde la NANDITI kwa kuchagua kukaa kimyaa kwa vitu tata.
Unless mkuu wa nchi anaamua kulisemea, huna haja ya kujifanya Kimbele Front.
🙏🙏🙏
Ulipoongea kauli ya kidiplomasia nkuwan"Rais yupo anachapa kazi" zama za jiwe, walikunanga sana.
Katika haya mwachie mkuu wa nchi, usiwape faida watu.
Nandagala one,
Mpumalanga South Africa.
Bila shaka anakubaliana nao.Salamu zangu zikufikie Mh. Majaliwa, pole na kazi, ningependa kujua ni nini kimekusibu, kutoka mbele na kukemea suala la mauaji na utekaji ndani ya inchi yetu?
Mbona mwanafunzi akipotea huwa utoa magizo mazito ndani ya siku moja anapatikana.
Wewe ndio mtendaji mkuu wa shughuli za Serikali za kila siku. Taifa bado lina imani na wewe. Toa neno kwa ajili maslahi ya taifa.
Mungu ibariki Tanzania
By mwinjilist wenu Gabeji.
Zimwage mkuu itakuwa safi sana wakati nakula "MBUNYYE "🤣🤣🤣Nina "Baltazar" zako na "on my own behalf", njoo hapa Kilimani tuelewane.
Nimeipenda hiiMH Majaliwa kaamua kufanya kazi aliyopewa na mkuu wa nchi,hataki kujifanya msemaji kumpita au kwenda kinyume na BOSI mkuu wa nchi.
Anfuata msemo bwa Residence Magistrate of Masasi Court Mh Kashushu.
" A talkative person can not be nominated to hold out big office, he will come to reveal top secret of big institution,and create chaos...."
Aksante sana Mzee wa bonde la NANDITI kwa kuchagua kukaa kimyaa kwa vitu tata.
Unless mkuu wa nchi anaamua kulisemea, huna haja ya kujifanya Kimbele Front.
🙏🙏🙏
Ulipoongea kauli ya kidiplomasia nkuwan"Rais yupo anachapa kazi" zama za jiwe, walikunanga sana.
Katika haya mwachie mkuu wa nchi, usiwape faida watu.
Nandagala one,
Mpumalanga South Africa.
Bado nipo Mpumalanga!!! South Africa, usijali nikirudi nitakuwa na zaidi ya majuma mawili hapo jirani na kilimani.Nina "Baltazar" zako na "on my own behalf", njoo hapa Kilimani tuelewane.