Waziri Mkuu Majaliwa yupo kimya sana Juu ya mauaji na utekaji

Anachojua ni maafa ya kutumbukia ziwani na ndege au mafuriko
 
Basi ni heri angejizuru kama haungi mkono serikali ya mama ,kukaa kimya inamuua kisiasa
 
Unaweza kusukuma gari ukiwa ndani?

CCM tatizo kinachowaponza makundi ya kutafuta madaraka teams

Toka wamkate lowassa CCM haitakaa itulie mpaka kianguke
Comments zingine unapoanza kuisoma unategemea kukutana na madini ukimaliza unajuta kwanini umesoma kaka ule niukoo wa panya kama tatizo lilikuwa kumkata lowasa mbona alilejea tena pale pale na maisha yakaendeleaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚βœ‹πŸ»βœ‹πŸ»
 
I I
Ukoo wa panya wanakula mpaka mtumbwi WALIO panda
 
Anaogopa kurudishwa huku uzeeni waka ameshafika ujanani
 

Attachments

  • IMG-20220610-WA0004.jpg
    16.9 KB · Views: 1
Ngoja tusubili wapaluane wenyewe
 
Nina "Baltazar" zako na "on my own behalf", njoo hapa Kilimani tuelewane.
 
Bila shaka anakubaliana nao.
 
Nimeipenda hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…