Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye arejea CCM, alijiengua CHADEMA baada ya kuambiwa na Mbowe 'Sumu haionjwi kwa kuilamba'

Mkuu;
Sentensi yako ya kwanza kwenye thread imeonyesha huijua hata historia ya Sumaye katika siasa!

Mtu aliyekuwa Waziri Mkuu kwa miaka 10 ulitaka awe waziri tena kwenye serikali ya Awamu ya nne?
 
Yaani hana tofauti na Ibrahim Ajibu kwenye soka
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana SI hasa! Ni kama vile "visungura tope". Havieleweki, leo hapa kesho kule, na huwa havina hata chembe moja ya aibu.
Hapo ndipo ujue hakuna anayepigania masrahi ya wananchi ila kila mtu anapigania ulaji wake na familia yake. Uisubiri mwanasiasa akuletee maendelea utasubiri mpaka unakufa
 
Haya yametimia Mimi nilikuwa ni mmoja ambaye sikuamini waziri mkuu mstaafu kuingia upinzani Tena nchi hii.cdm bwana hivi mliamini kweli .karibu home mzee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CC :Kipara Kipya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…