Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Imefeli vibaya sana... Lakini sometimes tuache haya maneno kuwa alitumwa kwakuwa misukosuko aliyopigia ni zaidi ya kuzuga
Jr[emoji769]
Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA walidai waziri mkuu mstaafu mh Frederick Sumaye alikuwa ametumwa ili kukivuruga chama hicho.Je dhamila yake hiyo imetimia?
Jr[emoji769]