Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Haya yamesemwa na Waziri mkuu mstaafu Ehud Barak:
1. Kumbe mabomu ya vifaru Waisrael wanapewa na Mmarekani.
2. Mabomu ya ndege, Jamaa wanapewa na Mmarekani
3. Mabomu ya iron dome jamaa wanapewa na mmarekani.
4. Kulindwa kwenye maamuzi ya kimataifa ya UN
5. Na pia kumbe wanategemea walindwe na Marekani katika kesi dhidi yao kwenye mahakama ya kimataifa.
Huu ni ushahidi kuwa hawa jamaa bila backup ya Superpower, mapema sana wangekuwa wameshasanda.
Video hii hapa:
View: https://m.youtube.com/watch?v=XjND7gI3XIc
1. Kumbe mabomu ya vifaru Waisrael wanapewa na Mmarekani.
2. Mabomu ya ndege, Jamaa wanapewa na Mmarekani
3. Mabomu ya iron dome jamaa wanapewa na mmarekani.
4. Kulindwa kwenye maamuzi ya kimataifa ya UN
5. Na pia kumbe wanategemea walindwe na Marekani katika kesi dhidi yao kwenye mahakama ya kimataifa.
Huu ni ushahidi kuwa hawa jamaa bila backup ya Superpower, mapema sana wangekuwa wameshasanda.
Video hii hapa:
View: https://m.youtube.com/watch?v=XjND7gI3XIc