Waziri Mkuu ndiye msimamizi wa shughuli zote za serikali, inakuwaje taarifa ya CAG inasema 'tumepigwa'? Usimamizi wake ni hafifu?

Waziri Mkuu ndiye msimamizi wa shughuli zote za serikali, inakuwaje taarifa ya CAG inasema 'tumepigwa'? Usimamizi wake ni hafifu?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Mzee wetu Majaliwa kwa kweli ndio C.E.O, kwa maana ya mtendaji mkuu wa serikali. Kwa nini madudu haya yanatokea na yeye akiwepo? Ameshindwa kusimamia shughuli za serikali?

Bunge linatakiwa limuhoji yeye kwa kuwa Yuko Bungeni kwa niaba ya serikali, na ndiye mtendaji mkuu. Kama hana majibu, walioegesha miti ili jumba bovu lisianguke, wakaitoe.

Hivi anashindwa kuigawa nchi katika Kanda, na Kila Kanda ikawa na usimamizi wake wa moja kwa moja kutoka kwa kikosi kazi Cha kusimamia halmashauri za Kanda hiyo? Kama Hela inatoka, wanachunguza risiti kabisa mapema.

Kama CAG ana Ofisi Kila Mkoa, kwa nini Mkaguzi wa ndani hana?

Kwanini CAG asubiri mwaka mzima ndio atoe ripoti? Kwa nini asifanye hivyo Kila miezi mitatu? Hivyo ya mwaka iwe ya majumuisho?

Kwanini baadhi ya halmashauri na taasisi, kiuhasibu, zisiwekwe karantini ya kiuhasibu, kwa maana kuwa chini ya uangalizi maalum kwa kila wanachofanya? Inaweza kuwa uangalizi wa miaka mitano, mitatu, miwili.

Kwanini shirika na NHIF lisisaidiwe kwa mkakati maalum kuondoa hasara?

Kwanini huwa tunasikia taarifa za Mkaguzi wa nje wa mahesabu (CAG), lakini hatujawahi kumuona Mkaguzi wa ndani akatuambia ilikuwaje malipo fulani akayaidhinisha?
 
Mzee wetu Majaliwa kwa kweli ndio C.E.O, kwa maana ya mtendaji mkuu wa serikali. Kwa nini madudu haya yanatokea na yeye akiwepo? Ameshindwa kusimamia shughuli za serikali?

Bunge linatakiwa limuhoji yeye kwa kuwa Yuko Bungeni kwa niaba ya serikali, na ndiye mtendaji mkuu. Kama hana majibu, walioegesha miti ili jumba bovu lisianguke, wakaitoe.

Hivi anashindwa kuigawa nchi katika Kanda, na Kila Kanda ikawa na usimamizi wake wa moja kwa moja kutoka kwa kikosi kazi Cha kusimamia halmashauri za Kanda hiyo? Kama Hela inatoka, wanachunguza risiti kabisa mapema.

Kama CAG ana Ofisi Kila Mkoa, kwa nini Mkaguzi wa ndani hana?

Kwa nini CAG asubiri mwaka mzima ndio atoe ripoti? Kwa nini asifanye hivyo Kila miezi mitatu? Hivyo ya mwaka iwe ya majumuisho?

Kwa nini baadhi ya halmashauri na taasisi, kiuhasibu, zisiwekwe karantini ya kiuhasibu, kwa maana kuwa chini ya uangalizi maalum kwa kila wanachofanya? Inaweza kuwa uangalizi wa miaka mitano, mitatu, miwili.

Kwa nini shirika na NHIF lisisaidiwe kwa mkakati maalum kuondoa hasara?

Kwa nini huwa tunasikia taarifa za Mkaguzi wa nje wa mahesabu (CAG), lakini hatujawahi kumuona Mkaguzi wa ndani akatuambia ilikuwaje malipo fulani akayaidhinisha?
umekurupuka wewe. kasome tena katiba, CEO wa nchi ni rais. PM ni msimamizi wa shughuli za serikali bungeni.
angekuwa msimamizi mkuu wa serikali angekuwa mwenyekiti wa vikao vya baraza la mawaziri lakini siyo.
 
.
JamiiForums-490802408.jpg
 
pole. siku nyingine usidandie hoja kwa mbele. isome uielewe kwanza
Nyie ndio mlitajwa katika maadui wa Taifa, ulitajwa katika kipengele Cha ujinga
 
Mzee wetu Majaliwa kwa kweli ndio C.E.O, kwa maana ya mtendaji mkuu wa serikali. Kwa nini madudu haya yanatokea na yeye akiwepo? Ameshindwa kusimamia shughuli za serikali?

Bunge linatakiwa limuhoji yeye kwa kuwa Yuko Bungeni kwa niaba ya serikali, na ndiye mtendaji mkuu. Kama hana majibu, walioegesha miti ili jumba bovu lisianguke, wakaitoe.

Hivi anashindwa kuigawa nchi katika Kanda, na Kila Kanda ikawa na usimamizi wake wa moja kwa moja kutoka kwa kikosi kazi Cha kusimamia halmashauri za Kanda hiyo? Kama Hela inatoka, wanachunguza risiti kabisa mapema.

Kama CAG ana Ofisi Kila Mkoa, kwa nini Mkaguzi wa ndani hana?

Kwanini CAG asubiri mwaka mzima ndio atoe ripoti? Kwa nini asifanye hivyo Kila miezi mitatu? Hivyo ya mwaka iwe ya majumuisho?

Kwanini baadhi ya halmashauri na taasisi, kiuhasibu, zisiwekwe karantini ya kiuhasibu, kwa maana kuwa chini ya uangalizi maalum kwa kila wanachofanya? Inaweza kuwa uangalizi wa miaka mitano, mitatu, miwili.

Kwanini shirika na NHIF lisisaidiwe kwa mkakati maalum kuondoa hasara?

Kwanini huwa tunasikia taarifa za Mkaguzi wa nje wa mahesabu (CAG), lakini hatujawahi kumuona Mkaguzi wa ndani akatuambia ilikuwaje malipo fulani akayaidhinisha?
Waziri Mkuu kazi yake ni kumshauri mama yako,kama hamuelewi unataka afanyaje,? afterall rais wako ndio chief accountant,lawama hakwepi,kama mnaona aibu kumueleza uongozi umemshinda kazi kwenu ,msijifichie kwa Majaliwa
 
Mzee wetu Majaliwa kwa kweli ndio C.E.O, kwa maana ya mtendaji mkuu wa serikali. Kwa nini madudu haya yanatokea na yeye akiwepo? Ameshindwa kusimamia shughuli za serikali?

Bunge linatakiwa limuhoji yeye kwa kuwa Yuko Bungeni kwa niaba ya serikali, na ndiye mtendaji mkuu. Kama hana majibu, walioegesha miti ili jumba bovu lisianguke, wakaitoe.

Hivi anashindwa kuigawa nchi katika Kanda, na Kila Kanda ikawa na usimamizi wake wa moja kwa moja kutoka kwa kikosi kazi Cha kusimamia halmashauri za Kanda hiyo? Kama Hela inatoka, wanachunguza risiti kabisa mapema.

Kama CAG ana Ofisi Kila Mkoa, kwa nini Mkaguzi wa ndani hana?

Kwanini CAG asubiri mwaka mzima ndio atoe ripoti? Kwa nini asifanye hivyo Kila miezi mitatu? Hivyo ya mwaka iwe ya majumuisho?

Kwanini baadhi ya halmashauri na taasisi, kiuhasibu, zisiwekwe karantini ya kiuhasibu, kwa maana kuwa chini ya uangalizi maalum kwa kila wanachofanya? Inaweza kuwa uangalizi wa miaka mitano, mitatu, miwili.

Kwanini shirika na NHIF lisisaidiwe kwa mkakati maalum kuondoa hasara?

Kwanini huwa tunasikia taarifa za Mkaguzi wa nje wa mahesabu (CAG), lakini hatujawahi kumuona Mkaguzi wa ndani akatuambia ilikuwaje malipo fulani akayaidhinisha?
 
Back
Top Bottom