Waziri Mkuu ndiye msimamizi wa shughuli zote za serikali, inakuwaje taarifa ya CAG inasema 'tumepigwa'? Usimamizi wake ni hafifu?

Waziri Mkuu ndiye msimamizi wa shughuli zote za serikali, inakuwaje taarifa ya CAG inasema 'tumepigwa'? Usimamizi wake ni hafifu?

Okay.....

Kwenye huu Usimamizi Rais hausiki ?
 
Jamani huwezi kuwa perfect kwenye kila jambo,kama huelewi namna ambavyo Serikali inafanya kazi ni bora usemenuelezewe.
1.Mtendaji Mkuu wa Serikali ni Katibu Mkuu kiongozi ndio anayesimamia Makatibu wakuu wote wa Wizara.
2.Kila Taasisi ya Serikali/shirika la Umma au Mamlaka zipo chini ya Wizara za kisekta na zinaripoti kazi zao kwa Katibu Mkuu wa Wizara husika.
3.Report za kiutendaji zinaandaliwa na Katibu Wakuu wa Ma Wizara kisha kuwasilishwa kwenye Kikao chao zinajafiliwa na badaye kupelekwa kwenye Kikao cha Baraza la Mawaziri.
4.Wakaguzi wa ndani wapo kwenye kila Ofisi ya Serikali,kazi yao ni kumsaidia Mkuu wa Taasisi au Ofisi kwenye matumizi ya mafungu.
5.Hesabu za Serikali zinakaguliwa kwa kila Mwaka wa Fedha ubapokwisha,sababu zoezi hilo nalo ni gharama-kwa kuwa Wakaguzi wa Mkoa A huchukuliwa na kupelekwa Mkoa B.

By the way,jambo ambalo unatakiwa ulielewe ni kuwa report ya CAG inatoa viashiria vya tatizo sio necessary kuwepo na tatizo ndio maana taarifa hizo kupelekwa Bungeni kisha Wahusika waliotajwa katika report huitwa kutoka ufafanuzi unaombatana na nyaraka.

Ikigundulika kuna ubadhilifu hapo ndipo TAKUKURU wanaingia kuanza uchunguzi kabla ya mhusika kupelekwa Mahakamani.
 
Jamani huwezi kuwa perfect kwenye kila jambo,kama huelewi namna ambavyo Serikali inafanya kazi ni bora usemenuelezewe.
1.Mtendaji Mkuu wa Serikali ni Katibu Mkuu kiongozi ndio anayesimamia Makatibu wakuu wote wa Wizara.
2.Kila Taasisi ya Serikali/shirika la Umma au Mamlaka zipo chini ya Wizara za kisekta na zinaripoti kazi zao kwa Katibu Mkuu wa Wizara husika.
3.Report za kiutendaji zinaandaliwa na Katibu Wakuu wa Ma Wizara kisha kuwasilishwa kwenye Kikao chao zinajafiliwa na badaye kupelekwa kwenye Kikao cha Baraza la Mawaziri.
4.Wakaguzi wa ndani wapo kwenye kila Ofisi ya Serikali,kazi yao ni kumsaidia Mkuu wa Taasisi au Ofisi kwenye matumizi ya mafungu.
5.Hesabu za Serikali zinakaguliwa kwa kila Mwaka wa Fedha ubapokwisha,sababu zoezi hilo nalo ni gharama-kwa kuwa Wakaguzi wa Mkoa A huchukuliwa na kupelekwa Mkoa B.

By the way,jambo ambalo unatakiwa ulielewe ni kuwa report ya CAG inatoa viashiria vya tatizo sio necessary kuwepo na tatizo ndio maana taarifa hizo kupelekwa Bungeni kisha Wahusika waliotajwa katika report huitwa kutoka ufafanuzi unaombatana na nyaraka.

Ikigundulika kuna ubadhilifu hapo ndipo TAKUKURU wanaingia kuanza uchunguzi kabla ya mhusika kupelekwa Mahakamani.
Mtendaji Mkuu wa serikali ni Waziri Mkuu(Kusimamia sera).Katibu Mkuu Kiongozi ni Mkuu wa Utumishi serikalini.
Na ndiyo maana kwa mfumo wetu serikali ikizingua,Bunge linaanza na Waziri Mkuu kumuwajibisha.
 
Back
Top Bottom