Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Tangu mwaka 1964 Tanganyika na Zanzibar ziungane, ni Salim Ahmed Salim tu aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania.
Zaidi ya Salim Ahmed Salim hakuna mzanzibari mwingine aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania.
Je, cheo cha uwaziri Mkuu ni cha Muungano au ni kwa ajili ya watu wa Tanganyika?
Kama ni kwa ajili ya watu wa Tanganyika, ilikuwaje Salim Ahmed Salim alipata kuwa Waziri Mkuu?
Kuna watu wanadai kuwa waziri Mkuu ni nafasi ya kisiasa kwa ajili ya kulinda maslahi ya Tanganyika ndani ya Serikali ya Muungano. Ni kweli?
Zaidi ya Salim Ahmed Salim hakuna mzanzibari mwingine aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania.
Je, cheo cha uwaziri Mkuu ni cha Muungano au ni kwa ajili ya watu wa Tanganyika?
Kama ni kwa ajili ya watu wa Tanganyika, ilikuwaje Salim Ahmed Salim alipata kuwa Waziri Mkuu?
Kuna watu wanadai kuwa waziri Mkuu ni nafasi ya kisiasa kwa ajili ya kulinda maslahi ya Tanganyika ndani ya Serikali ya Muungano. Ni kweli?