Waziri Mkuu ni lazima awe Mtanganyika?

Waziri Mkuu ni lazima awe Mtanganyika?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Tangu mwaka 1964 Tanganyika na Zanzibar ziungane, ni Salim Ahmed Salim tu aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania.

Zaidi ya Salim Ahmed Salim hakuna mzanzibari mwingine aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania.

Je, cheo cha uwaziri Mkuu ni cha Muungano au ni kwa ajili ya watu wa Tanganyika?

Kama ni kwa ajili ya watu wa Tanganyika, ilikuwaje Salim Ahmed Salim alipata kuwa Waziri Mkuu?

Kuna watu wanadai kuwa waziri Mkuu ni nafasi ya kisiasa kwa ajili ya kulinda maslahi ya Tanganyika ndani ya Serikali ya Muungano. Ni kweli?
 
Tangu mwaka 1964 Tanganyika na Zanzibar ziungane, ni Salim Ahmed Salim tu aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania.

Zaidi ya Salim Ahmed Salim hakuna mzanzibari mwingine aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania.

Je, cheo cha uwaziri Mkuu ni cha Muungano au ni kwa ajili ya watu wa Tanganyika?

Kama ni kwa ajili ya watu wa Tanganyika, ilikuwaje Salim Ahmed Salim alipata kuwa Waziri Mkuu?

Kuna watu wanadai kuwa waziri Mkuu ni nafasi ya kisiasa kwa ajili ya kulinda maslahi ya Tanganyika ndani ya Serikali ya Muungano. Ni kweli?
Tanganyika ilishakufa, unaposema Tanganyika unamaanisha nini?

Huyo Mtanganyika ana legal document gani ya kumtambulisha huyu Mtanganyika? Ana sheria gani? Ana uraia gani? Ana kitambulisho gani cha kisheria kumtambulisha huyu ni Mtanganyika?
 
Tanganyika ilishakufa, unaposema Tanganyika unamaanisha nini?

Huyo Mtanganyika ana legal document gani ya kumtambulisha huyu Mtanganyika? Ana sheria gani? Ana uraia gani? Ana kitambulisho gani cha kisheria kumtambulisha huyu ni Mtanganyika?
Sasa mambo ya Tanganyika (mfu) ndani ya Muungano anayasimamia nani?
 
Sasa mambo ya Tanganyika (mfu) ndani ya Muungano anayasimamia nani?
Mambo ya Tanganyika ipi wakati Tanganyika haipo? Ushasema Tanganyika imekufa. Sasa mambo ya Tanganyika ipi?

Hata ukisema mfu hurithiwa, mambo ya Tanganyika, kwa mfano uraia, yamerithiwa na Ser8kali ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, ambayo pia Wazanzibari wamo na wana haki zayo.

Ndiyo maana uraia wa Mzanzibari ni wa Tanzania.

Kwa hivyo, hayo mambo yanakuwa si ya Tanganyika tena, bali ya Watanzania wote.
 
Mambo ya Tanganyika ipi wakati Tanganyika haipo? Ushasema Tanganyika imekufa. Sasa mambo ya Tanganyika ipi?
Kwa muktadha huu, ni kwamba Muungano uliiua Tanganyika na kuiacha hai Zanzibar.

Na kwa mantiki ya hoja yako, ni kwamba kabla hatujajadili mambo ya Tanganyika ni lazima kwanza tuifufue Tanganyika!
 
Kwa muktadha huu, ni kwamba Muungano uliiua Tanganyika na kuiacha hai Zanzibar.

Na kwa mantiki ya hoja yako, ni kwamba kabla hatujajadili mambo ya Tanganyika ni lazima kwanza tuifufue Tanganyika!
Exactly.

Haki za watu zinadaiwa kwa instruments.

Sheria, katiba, etc. Hizi ni instruments za state.

Bila ya kuwa na hiyo state, huwezi kuwa na hizo state instruments. Sanasana utajikita kwenye Universal Declaration of Human Rights tu (hivi ndivyo watu waliolilia uhuru kutoka kwa wakoloni walivyodai uhuru wao. Ndiyo maana Nyerere alienda Makao Makuu ya UN New York kudai uhuru).

Sasa, Tanzania haitawaliwi na mkoloni. Watu wake wanaoona wana haja ya kuwa na state ya Tanganyika iwe na state instruments za kuwatetea, wadai state yao, wapate state instruments zao, bunge lao, serikali yao, judiciary yao, sheria zao.
 
Exactly.

Haki za watu zinadaiwa kwa instruments.

Sheria, katiba, etc. Hizi ni instruments za state.

Bila ya kuwa na hiyo state, huwezi kuwa na hizo state instruments. Sanasana utajikita kwenye Universal Declaration of Human Rights tu (hivi ndivyo watu waliolilia uhuru kutoka kwa wakoloni walivyodai uhuru wao. Ndiyo maana Nyerere alienda Makao Makuu ya UN New York kudai uhuru).

Sasa, Tanzania haitawaliwi na mkoloni. Watu wake wanaoona wana haja ya kuwa na state ya Tanganyika iwe na state instruments za kuwatetea, wadai state yao, wapate state instruments zao, bunge kao, serikaki yao, judiciary yao, sheria zao.
Sawa kabisa.

Hoja ya G55 inakuwa na mashiko zama hizi. Pia harakati za Christopher Mtikila zinatakiwa zifufuliwe...

Tatizo nani muanzisha mwendo?
 
T
Tangu mwaka 1964 Tanganyika na Zanzibar ziungane, ni Salim Ahmed Salim tu aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania.

Zaidi ya Salim Ahmed Salim hakuna mzanzibari mwingine aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania.

Je, cheo cha uwaziri Mkuu ni cha Muungano au ni kwa ajili ya watu wa Tanganyika?

Kama ni kwa ajili ya watu wa Tanganyika, ilikuwaje Salim Ahmed Salim alipata kuwa Waziri Mkuu?

Kuna watu wanadai kuwa waziri Mkuu ni nafasi ya kisiasa kwa ajili ya kulinda maslahi ya Tanganyika ndani ya Serikali ya Muungano. Ni kweli?
Itabidi baada ya Uchaguzi ateuliwe Waziri Mkuu kutoka Zanzibar this time ! 🙏
 
Tangu mwaka 1964 Tanganyika na Zanzibar ziungane, ni Salim Ahmed Salim tu aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania.

Zaidi ya Salim Ahmed Salim hakuna mzanzibari mwingine aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania.

Je, cheo cha uwaziri Mkuu ni cha Muungano au ni kwa ajili ya watu wa Tanganyika?

Kama ni kwa ajili ya watu wa Tanganyika, ilikuwaje Salim Ahmed Salim alipata kuwa Waziri Mkuu?

Kuna watu wanadai kuwa waziri Mkuu ni nafasi ya kisiasa kwa ajili ya kulinda maslahi ya Tanganyika ndani ya Serikali ya Muungano. Ni kweli?
Mnaanza kampeni ili mchukue vyeo vyote!!!!???
 
Back
Top Bottom