Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kwanini Wazanzibar mnatamaa hivi? Rais katoka kwenu na PM mnataka lakini hamchangii chochote kwenye budget ya nchi, watanganyika hata kuwa Mwenyekiti wa mtaa Zanzibar haiwezekani nyie mnataka vyote.