Waziri Mkuu: Tumesikia mijadala, hofu kuhusu makubaliano ya Bandari. Tumeanza kutoa elimu ya kuwapa faraja Watanzania

Waziri Mkuu: Tumesikia mijadala, hofu kuhusu makubaliano ya Bandari. Tumeanza kutoa elimu ya kuwapa faraja Watanzania

Waziri Mkuu Kassimu Majaliwa amekiri kuwa ni kweli tangu Bunge la Tanzania liliporidhia azimio la Nchi ya Tanzania kuimarisha mahusiano yake Nchi ya Tanzania na Nchi ya Dubai hasa katika maeneo ya Kiuchumi na Kijamii, kumekuwa na mijadala mingi, maoni, ushauri na hofu za Uwekezaji nchini

Amesema “Nataka niwahakikishie Serikali yenu makini tumesikia hili na tunaendelea kufuatilia mijadala hiyo na hasa zile hofu na kwa kweli tumeanza kutoa elimu za kuwapa faraja Watanzania”
View attachment 2672919
Labda elimu ya kimagumashi kama ile aliyoitoa chakubanga Polepole ya magazijuto kuhusiana ile 1.5tri

NENO ELIMU LINA MAANA PANA SANA
 
Utetezi Wa DP World Wapiga Hodi Msikitini Kupata Huruma Yao
Ccm Kweli Imejaa Makandokando Tele
 
Waziri Mkuu Kassimu Majaliwa amekiri kuwa ni kweli tangu Bunge la Tanzania liliporidhia azimio la Nchi ya Tanzania kuimarisha mahusiano yake Nchi ya Tanzania na Nchi ya Dubai hasa katika maeneo ya Kiuchumi na Kijamii, kumekuwa na mijadala mingi, maoni, ushauri na hofu za Uwekezaji nchini

Amesema “Nataka niwahakikishie Serikali yenu makini tumesikia hili na tunaendelea kufuatilia mijadala hiyo na hasa zile hofu na kwa kweli tumeanza kutoa elimu za kuwapa faraja Watanzania”
View attachment 2672919
Watanzania hawakuamini
 
1686257367156.jpg
 
Waziri Mkuu Kassimu Majaliwa amekiri kuwa ni kweli tangu Bunge la Tanzania liliporidhia azimio la Nchi ya Tanzania kuimarisha mahusiano yake Nchi ya Tanzania na Nchi ya Dubai hasa katika maeneo ya Kiuchumi na Kijamii, kumekuwa na mijadala mingi, maoni, ushauri na hofu za Uwekezaji nchini

Amesema “Nataka niwahakikishie Serikali yenu makini tumesikia hili na tunaendelea kufuatilia mijadala hiyo na hasa zile hofu na kwa kweli tumeanza kutoa elimu za kuwapa faraja Watanzania”
View attachment 2672919
Hii Elimu ingetolewa kabla yakusaini mktaba . Professional rabish at work.

Kizuri cha jiuza . Kibaya cha jitembeza
 
Waziri Mkuu Kassimu Majaliwa amekiri kuwa ni kweli tangu Bunge la Tanzania liliporidhia azimio la Nchi ya Tanzania kuimarisha mahusiano yake Nchi ya Tanzania na Nchi ya Dubai hasa katika maeneo ya Kiuchumi na Kijamii, kumekuwa na mijadala mingi, maoni, ushauri na hofu za Uwekezaji nchini

Amesema “Nataka niwahakikishie Serikali yenu makini tumesikia hili na tunaendelea kufuatilia mijadala hiyo na hasa zile hofu na kwa kweli tumeanza kutoa elimu za kuwapa faraja Watanzania”
View attachment 2672919
Hakunaga NCHI YA DUBAI, Unadanganya waumini MAJALIWA😳
 
Waziri Mkuu Kassimu Majaliwa amekiri kuwa ni kweli tangu Bunge la Tanzania liliporidhia azimio la Nchi ya Tanzania kuimarisha mahusiano yake Nchi ya Tanzania na Nchi ya Dubai hasa katika maeneo ya Kiuchumi na Kijamii, kumekuwa na mijadala mingi, maoni, ushauri na hofu za Uwekezaji nchini

Amesema “Nataka niwahakikishie Serikali yenu makini tumesikia hili na tunaendelea kufuatilia mijadala hiyo na hasa zile hofu na kwa kweli tumeanza kutoa elimu za kuwapa faraja Watanzania”
View attachment 2672919
Kuna mambo mageni sana awamu 6

1. Mikataba ni mingi sana na nchi za kiaarabu

2. Mitaala ya elimu imebadirishwa na kutoa kozi nyingi za kislam hasa Alevel na hakuna kozi hizo kwa wakristo

3. Raslimali za nchi zinapelekwa uarabuni, walianza na Loliondo tikanyamza, wamekuja na bandari zote , hatuwezi nyanaza
 

Attachments

  • 78A94F0B-929C-4930-8FCE-F41915E11A94.jpeg
    78A94F0B-929C-4930-8FCE-F41915E11A94.jpeg
    50.6 KB · Views: 2
  • IMG_0804.MP4
    5.4 MB
  • 9F9C7573-D066-4A73-A5EE-0B750754BAF2.jpeg
    9F9C7573-D066-4A73-A5EE-0B750754BAF2.jpeg
    51.3 KB · Views: 4
  • 2267D5BE-4FC5-42AC-93BC-4737FD7B704D.jpeg
    2267D5BE-4FC5-42AC-93BC-4737FD7B704D.jpeg
    140.9 KB · Views: 1
  • 596B9D0B-D0A5-4736-8952-F14CE408BD57.jpeg
    596B9D0B-D0A5-4736-8952-F14CE408BD57.jpeg
    32 KB · Views: 4
  • 86DD8902-C84A-4E78-BC5D-627527B72EDD.jpeg
    86DD8902-C84A-4E78-BC5D-627527B72EDD.jpeg
    55.3 KB · Views: 1
  • 1BF16948-F4BF-4C1B-B253-D522DC6A7E3F.jpeg
    1BF16948-F4BF-4C1B-B253-D522DC6A7E3F.jpeg
    150.5 KB · Views: 2
  • C8DD092F-CB35-4089-9FAA-3E3B7035DDC2.jpeg
    C8DD092F-CB35-4089-9FAA-3E3B7035DDC2.jpeg
    131.1 KB · Views: 3
  • F8A22AAB-57EB-4075-B332-E17B73B1E737.jpeg
    F8A22AAB-57EB-4075-B332-E17B73B1E737.jpeg
    75.7 KB · Views: 1
  • 6E96C242-927D-4276-B29D-2ED5E58D246E.jpeg
    6E96C242-927D-4276-B29D-2ED5E58D246E.jpeg
    23.3 KB · Views: 1
  • 7CF0E23B-85FE-44C6-8B69-67D95B851884.jpeg
    7CF0E23B-85FE-44C6-8B69-67D95B851884.jpeg
    37.8 KB · Views: 1
  • DA97BCBB-6DED-4AE6-996C-7F0984234446.jpeg
    DA97BCBB-6DED-4AE6-996C-7F0984234446.jpeg
    55 KB · Views: 1
  • 7B76F51F-1957-4709-9308-EE35DFCA0AD1.jpeg
    7B76F51F-1957-4709-9308-EE35DFCA0AD1.jpeg
    62 KB · Views: 1
  • 8E1AC31F-BF3B-4245-A5C1-7449F6765B5B.jpeg
    8E1AC31F-BF3B-4245-A5C1-7449F6765B5B.jpeg
    55.5 KB · Views: 1
  • 9F3EA6D8-8E42-448C-BD12-B8DF6A61E23B.jpeg
    9F3EA6D8-8E42-448C-BD12-B8DF6A61E23B.jpeg
    71.8 KB · Views: 1
  • EFC8D7DF-BAE8-4EBC-851E-96473C60B680.jpeg
    EFC8D7DF-BAE8-4EBC-851E-96473C60B680.jpeg
    58.4 KB · Views: 1
  • CD7E8164-CDF6-4FF5-9882-46EB90CEA2FF.jpeg
    CD7E8164-CDF6-4FF5-9882-46EB90CEA2FF.jpeg
    57 KB · Views: 1
  • 5096775E-68BE-4F6F-BDBB-B8C4B03854D1.jpeg
    5096775E-68BE-4F6F-BDBB-B8C4B03854D1.jpeg
    35.5 KB · Views: 1
  • E8525058-89CF-4AF3-BC9C-8D1AAD41C7BB.jpeg
    E8525058-89CF-4AF3-BC9C-8D1AAD41C7BB.jpeg
    58 KB · Views: 1
  • 2D717809-2B97-4243-86DB-5823B64364BA.jpeg
    2D717809-2B97-4243-86DB-5823B64364BA.jpeg
    115.9 KB · Views: 1
  • 4EB3F724-1194-478B-BEBE-5604093027C3.jpeg
    4EB3F724-1194-478B-BEBE-5604093027C3.jpeg
    4.3 KB · Views: 1
  • 3B75B3E1-B64A-442E-AFE6-8AC05DE727B2.jpeg
    3B75B3E1-B64A-442E-AFE6-8AC05DE727B2.jpeg
    55.1 KB · Views: 1
"RAIS MAGUFULI YUKO SALAMA NA ANAENDELEA KUCHAPA KAZI KAMA KAWAIDA." alisema kwa umaridadi wa sauti, Akaendelea kufafanua "Unataka Rais aonekane Kariakoo anazurura?, huko sio mahala pake, mahala pake ni Ikulu, Watanzania tuwabeze wanaoliombea mabaya Taifa letu" alimaliza huku akinyoosha kidole na kukemea vikali wanaotaka kupiga maombi kuombea Afya ya Kiongozi wao JPM!
Tangu siku hiyo alipo sema uwongo ndani ya msikiti huwa simuamini
 
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Mimi wakijibu swali lako No.1 tu nitaridhika wakinifafanulia tofauti Kati ya Mkataba na makubaliano. Na je kama ni makubaliano tu siyo Mkataba hawaoni kuwa Bunge limevunja Katiba maana Ibara 63(3)(e) inalitaka Bunge kujadili na kupitisha mikataba na siyo makubaliano?
 
Hatuutaki faraja ndugu majaliwa,Ila tuuvunje mkataba kwanza hiyo ndo itakuwa faraja yetu
 
Waziri Mkuu Kassimu Majaliwa amekiri kuwa ni kweli tangu Bunge la Tanzania liliporidhia azimio la Nchi ya Tanzania kuimarisha mahusiano yake Nchi ya Tanzania na Nchi ya Dubai hasa katika maeneo ya Kiuchumi na Kijamii, kumekuwa na mijadala mingi, maoni, ushauri na hofu za Uwekezaji nchini

Amesema “Nataka niwahakikishie Serikali yenu makini tumesikia hili na tunaendelea kufuatilia mijadala hiyo na hasa zile hofu na kwa kweli tumeanza kutoa elimu za kuwapa faraja Watanzania”
View attachment 2672919
Hivi kumbe Dubai ni nchi eenh?!

Halafu, hivi ni kweli Watanzania tunahitaji faraja au tunachotaka ni kuondokana na mikataba ya hovyo inayoturudisha utumwani?!

Hawa viongozi wetu sijui wakati mwingine huwa wanafikiria kwa kutumia nini!
 
Back
Top Bottom