Waziri Mkuu Ufaransa amteua aliyekuwa mume wake kuwa Waziri wa Mambo ya Nje

So wote bhna Wana kuwa na akili Kuna watatu nawafahamu wote Ni failures hatari ni mmoja tu ndio walikuwa. Na nafu ya maisha
 
Wewe ndiyo mwongo mfano hapo Ruth 1:14 haisemi hicho ulichoambiwa hapo; badala yake imeamdika;
β€œAgain they wept loudly, after which OrΚΉpah kissed her mother-in-law and departed. But Ruth stuck with her.”

Unatumia biblia ipi kati ya biblia zaidi ya elfu 10 tofauti??
 
Hawana uzungu wowote hao wote baba zao waarabu toka Turkey walihamia tu France.

Wavumao baharini wote sio papa , kuna nyangumi , Jodari na wengineo , TOKEA LINI MTURUKI AKAWA MWARABU ??

au ndiyo mafundisho ya Nabii wenu TITO ??
 
Dunia ni tambara bovu
 
Kwa hiyo unakubali kuinamishwa Kwa sababu papa ameruhusu?!

Laanatullah

kwani wewe humfuati Papa ??, mbona unashabikia sana mashoga ya kiyahudi kama huyo Waziri Mkuu wa Ufaransa??, Unatupa wasiwasi sana kuwa nawe umo kwenye huo mchezo
 

Aolewa kanisani kupata makaratasi Marekani


View: https://www.youtube.com/watch?v=rndL7rsgmUo
 


Mwengine Huyu Mgalatia aolewa na MUZUNGU kupata makaratasi Marekani


View: https://www.youtube.com/watch?v=LItMDgOogN0
 
Mwili unao namna yake ya kujicontrol hata usipofanya ngono,ni uamuzi TU kama matowashi wanavyoamua kutofanya ngono Hadi kifo.
Towashi hana maamuzi ni anahasiwa, ushawahi kuhasi mnyama kama ng'ombe au mbwa? Ni huruma kwani anapoteza hisia zote.
 
kwani wewe humfuati Papa ??, mbona unashabikia sana mashoga ya kiyahudi kama huyo Waziri Mkuu wa Ufaransa??, Unatupa wasiwasi sana kuwa nawe umo kwenye huo mchezo
Mimi sio mfuasi wa papa! Wala sio mshabiki wa wayahudi bali napinga ugaidi.
Huo mchezo huko kwenu Zbar ndio kunaongoza Kwa matukio ya laana
 
Mimi sio mfuasi wa papa! Wala sio mshabiki wa wayahudi bali napinga ugaidi.
Huo mchezo huko kwenu Zbar ndio kunaongoza Kwa matukio ya laana

Yaani lile kanisa la mashoga la Kipentekoste huko kwenu mbeya leo ni Zanzibar ??
 
Wavumao baharini wote sio papa , kuna nyangumi , Jodari na wengineo , TOKEA LINI MTURUKI AKAWA MWARABU ??

au ndiyo mafundisho ya Nabii wenu TITO ??
Kaa kimya kama huelewi pumbavu we,
Hao ni wajinga ndugu zako toka huko,pale ni wahamiaji tu na wanapeleka ufirauni wao huko.
Ushafika Turkey?
Ushafika France
Ushafika hata Dubai?
Km hujafika usiongee na mimi tena.
 
Kaa kimya kama huelewi pumbavu we,
Hao ni wajinga ndugu zako toka huko,pale ni wahamiaji tu na wanapeleka ufirauni wao huko.
Ushafika Turkey?
Ushafika France
Ushafika hata Dubai?
Km hujafika usiongee na mimi tena.
Ndiyo unajiona umetembea saaana kwa hivyo vijimiji vyako vitatu ? Hayo matusi yako kwangu bado hayamfanyi mturuki kuwa ndiye mwarabu. Kasome tena kwa Nabii wako TIto. Yaani utembee Uturuki na Dubai uone mturuki ni mwarabu 😝😝😝😝
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…