Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Uzungu siyo asili tu bali ni culture. Black America na black wa Uingereza hawana Uafrica, ni wachache Sana wanaojitambuwa.Hawana uzungu wowote hao wote baba zao waarabu toka Turkey walihamia tu France.
Da Vinci siyo genius?Genius halafu shoga haiwezekani
Papa alisharuhusu, mimi ni nani nipinge?
Na Wenda siku mojawakafanya hvyoKwa hiyo balozi wa Ufaransa hapa bongo akiwa basha na akija na mke wake itakuwaje? Wote wawili wataalikwa Ikulu?
So wote bhna Wana kuwa na akili Kuna watatu nawafahamu wote Ni failures hatari ni mmoja tu ndio walikuwa. Na nafu ya maishaHalafu kwanini mara nyingi hawa viumbe huwa wako vizuri darasani? Kuna dogo kahitimu 2019 pale UDSM alikuwa vema sana class ila anapelekewa moto. Kuna yule Frank Maston naye kasoma Bcom UDSM ila shoga ambaye huvaa nguo za kike muda wote. Inashangaza sana.
Wewe ndiyo mwongo mfano hapo Ruth 1:14 haisemi hicho ulichoambiwa hapo; badala yake imeamdika;
βAgain they wept loudly, after which OrΚΉpah kissed her mother-in-law and departed. But Ruth stuck with her.β
Hawana uzungu wowote hao wote baba zao waarabu toka Turkey walihamia tu France.
Sikushangai ikiwa biblia yenu iko hivi na huyo mnayemfanya mungu ndio yuko hivyoAngalia wenzio hao
View attachment 2898207
Halafu na peodophile wenu MKUBWA huyo
View attachment 2898208
Na Viongozi wenu wa sasa Hawa
View attachment 2898209
View attachment 2898210
Dunia ni tambara bovuWaziri Mkuu mpya wa Ufaransa Gabriel Attal ambaye ni shoga amemteua mume wake Stephane Sejourne kuwa waziri wa mambo ya nje, siku chache tu baada ya yeye kuwa shoga wa kwanza aliyejinadi hadharani kushikilia wadhifa wa uwaziri mkuu wa nchi hiyo.
Sejourne, ambaye pia anaongoza chama cha siasa cha Rais Emmanuel Macron cha Renaissance na kundi la Renew katika Bunge la Ulaya, anachukua nafasi ya Catherine Colonna katika mabadiliko ya baraza la mawaziri yaliyofuatia kujiuzulu kwa waziri mkuu wa zamani Elisabeth Borne siku ya Jumatatu.
Waziri huyo mpya wa mambo ya nje mwenye umri wa miaka 38 alikuwa mshauri wa Macron tangu akiwa Waziri wa Uchumi na Fedha, kisha akajiunga na timu yake mwaka 2014 na kubaki naye katika katika kampeni za uchaguzi wa Rais mwaka 2017.
Macron alimteua Attal kuchukua nafasi ya Borne siku ya Jumanne, na kumfanya kuwa waziri mkuu mwenye umri mdogo zaidi kuwahi kutokea nchini Ufaransa na aliyejitangaza hadharani pia kuwa anajihusisha na maingiliano ya kimwili ya watu wa jinsia moja. Kabla ya kuteuliwa kuwa waziri mkuu, Attal aliwahi kuwa Waziri wa Elimu.
Itakumbukwa kuwa baada tu ya kuteuliwa kushika wadhifa huo, alichukua hatua ya kupiga marufuku wanafunzi wasichana Waislamu kuvaa vazi la Abaya maskulini.
Attal na Sejourne walianzisha rasmi mahusiano yao ya kingono mwaka 2017 kupitia 'ufungishaji ndoa' wa kiraia na kuyatangaza hadharani mwaka uliofuata, wakati Attal alipojitokeza hadharani na kujitangaza kuwa ni 'shoga'.
Hata hivyo, mnamo mwezi Oktoba, Attal alidai katika tamko rasmi juu ya migongano ya masilahi kwa Mamlaka ya Juu ya Uwazi katika Maisha ya Umma kwamba hakuwa na mshirika rasmi katika mahusiano ya kingono, ingawa yeye na Sejourne hawajawahi kutangaza hadharani kuwa wametengana kisheria.
Huko nyuma mnamo mwaka 2018, Attal aliwahi kuwa msemaji wa chama cha Macron kwa muda wa miezi 10, wakati huo kikiitwa La Republique en Marche baada ya kukihama Chama cha Kisoshalisti miaka miwili mapema ili kumuunga mkono Macron katika kinyang'anyiro cha kuwania urais.
Mabadiliko ya baraza la mawaziri aliyofanya Emmanul macron siku ya Alhamisi ya wiki iliyopita, yameelezewa kama juhudi za rais huyo wa Ufaransa za kuokoa umashuhuri unaodidimia wa serikali yake.
Kwa hiyo unakubali kuinamishwa Kwa sababu papa ameruhusu?!
Laanatullah
Ufaransa ilikua zamani sasa imekua kama nchi ya Africa,uchafu kila kona,,,kunguni,mbu,,,kazi shida, mpaka wenyeji wanalia wanaandamana wahamiaji haram warudishwe makwao,,,huko Italy ndio hatari boti kama zote za wakimbizi,,,huko UK sasa kama bara la Asia limehamia kule mitaa full kunuka masala kama kisutu,,,video ya mpemba analalamika huko Uk
View: https://x.com/radiogenoa/status/1754745343479067014?s=46 si bora kubaki bongo tu
Ufaransa ilikua zamani sasa imekua kama nchi ya Africa,uchafu kila kona,,,kunguni,mbu,,,kazi shida, mpaka wenyeji wanalia wanaandamana wahamiaji haram warudishwe makwao,,,huko Italy ndio hatari boti kama zote za wakimbizi,,,huko UK sasa kama bara la Asia limehamia kule mitaa full kunuka masala kama kisutu,,,video ya mpemba analalamika huko Uk
View: https://x.com/radiogenoa/status/1754745343479067014?s=46 si bora kubaki bongo tu
Towashi hana maamuzi ni anahasiwa, ushawahi kuhasi mnyama kama ng'ombe au mbwa? Ni huruma kwani anapoteza hisia zote.Mwili unao namna yake ya kujicontrol hata usipofanya ngono,ni uamuzi TU kama matowashi wanavyoamua kutofanya ngono Hadi kifo.
Mimi sio mfuasi wa papa! Wala sio mshabiki wa wayahudi bali napinga ugaidi.kwani wewe humfuati Papa ??, mbona unashabikia sana mashoga ya kiyahudi kama huyo Waziri Mkuu wa Ufaransa??, Unatupa wasiwasi sana kuwa nawe umo kwenye huo mchezo
Mimi sio mfuasi wa papa! Wala sio mshabiki wa wayahudi bali napinga ugaidi.
Huo mchezo huko kwenu Zbar ndio kunaongoza Kwa matukio ya laana
Kanisa lipi hilo?Yaani lile kanisa la mashoga la Kipentekoste huko kwenu mbeya leo ni Zanzibar ??
Mbona umekuwa kipofu mara hii ?? au umesahau kusoma πππKanisa lipi hilo?
Kaa kimya kama huelewi pumbavu we,Wavumao baharini wote sio papa , kuna nyangumi , Jodari na wengineo , TOKEA LINI MTURUKI AKAWA MWARABU ??
au ndiyo mafundisho ya Nabii wenu TITO ??
Ndiyo unajiona umetembea saaana kwa hivyo vijimiji vyako vitatu ? Hayo matusi yako kwangu bado hayamfanyi mturuki kuwa ndiye mwarabu. Kasome tena kwa Nabii wako TIto. Yaani utembee Uturuki na Dubai uone mturuki ni mwarabu ππππKaa kimya kama huelewi pumbavu we,
Hao ni wajinga ndugu zako toka huko,pale ni wahamiaji tu na wanapeleka ufirauni wao huko.
Ushafika Turkey?
Ushafika France
Ushafika hata Dubai?
Km hujafika usiongee na mimi tena.