Waziri Mkuu Ufaransa amteua aliyekuwa mume wake kuwa Waziri wa Mambo ya Nje

Tasfiri ya towashi ni mseja,sasa mseja sio shoga.
Maisha ya useja ni maisha ya kutopenda au kutofanya ngono
 
labda imeandika biblia yako
Ndio nakusikia wewe kuna maisha ya kitowashi ambayo wanaishi mapadri😝😝😝
Ubishi wako nini sasa kwani padri anaruhusiwa kuoa? Wao uishi maisha ya useja
 
Ulaya watamalizana baada ya miaka 200 watoto wengi watakuwa mixed, weusi na wengine kutoka asia, kama hata hao weusi hawatageuka kuwa mashoga.
 
Sio udhaifu huwezi shindana na asili
Sio kweli.
Ngono ni maamuzi ya akili na sio mwili,mbona jela watu wanakaa hata miaka bila ngono Wala kujichua.
Ni vile TU akili ulivyoiseti.
Maana mwili unayo namna yake ya kujicontrol bila kuingiza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…