Waziri Mkuu wa Bangladesh, Sheikh Hasina ajiuzulu kutokana na maandamano Yanayoendelea

Waziri Mkuu wa Bangladesh, Sheikh Hasina ajiuzulu kutokana na maandamano Yanayoendelea

Nipo natazama hapa Al Jazeera News.

Bangladesh Pm Ousted.

Hali si hali
 
Imethibitishwa, kakimbia kwa kutumia helkopta ya kijeshi kwenda India!
Kimsingi ukishaongoza miaka Mingi watu wanakuchoka na wakiliamsha ndio hivyo tena.

But kurudi kwenye siasa Kwa kizazi chake itategemea Hali ya maisha itakavyokuwa Kwa watakaofuata.

Uzoefu Unaonesha Mabadiliko ya ghafla ya Utawala hayajawahi leta nafuu,hapo wengine wataanza kugombania vyeo na mlichoandamania hamkipati 😁😁
 
Uchaguzi ujao CCM mkituibia Kura yatawakuta kama haya ya Bangladesh

Kwa mijoga hii tuliyonayo , kamanda Sirro akijamba wote mnajificha mivunguni mwa vitanda ??
 
Nasisi tunatuma salamu kwa Samia na CCM Uchaguzi ujao mkituibia Kura au mkiwatanganza walioshindwa tunasema hivi safari hiii safari hiii... Hiiiii...mjidanganye...
Kizimkazi atapiga mbizi fasta tu kutokea upande wa pili kikinuka.
 
Kwa mijoga hii tuliyonayo , kamanda Sirro akijamba wote mnajificha mivunguni mwa vitanda ??
Kama wataendelea kutuibia kura kama alivyosema Nape safari hii tunatumia nguvu ya UMMA kuwaondoa Madarakani.
 
Ndio maana mbogamboga hawapendi hata harufu ya haya mambo.... Magogoni sio mbali sana na Jangwani 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Ametorokea kusikojulikana Mitaa yote ya Dhaka Bangladesh ni Nderemo Fivijo na Hoihoi.

People's Power ✌️

Habari zaidi zitawaijia tegeni macho na masikio.

Nasisi tunatuma salamu kwa Samia na CCM Uchaguzi ujao mkituibia Kura au mkiwatanganza walioshindwa tunasema hivi safari hiii safari hiii... Hiiiii...mjidanganye...

=====

Sheikh Hasina’s departure appears to have defused the high tension in Dhaka, where more deadly protests were feared on Monday.

Bangladesh’s Prime Minister Sheikh Hasina has resigned and fled the country in the face of ongoing protests.
The longtime leader of the country has boarded a military helicopter, an aide told Al Jazeera, after crowds ignored a national curfew to storm the prime minister’s palace in Dhaka on Monday.

Close to 300 people have died amid weeks of protest the authorities have sought to crush. Following a night of deadly violence that killed close to 100 on Sunday, tension had remained high on Monday as protesters called for a march on Dhaka and the army prepared to address the nation.

By early afternoon, however, media reported that the mood on the streets had turned to one of celebration after the news of Hasina’s departure spread.

In an address to the nation, General Waker-Uz-Zaman, the Chief of Army Staff, confirmed that the prime minister has resigned and that an interim government will now run the country.

He urged citizens to keep trust in the army, which, he said, would return peace to the country.

“We will also ensure that justice is served for every death and crime that occurred during the protests,” he said, calling on the public to exercise patience and cease any acts of violence and vandalism.

“We have invited representatives from all major political parties, and they have accepted our invitation and committed to collaborating with us,” the general added.

Images on national television showed thousands of people breaking into the prime minister’s official residence. It also showed large crowds of protesters out in the street in scenes of jubilation as the news of the departure of Hasina started spreading.

Al Jazeera’s Tanvir Chowdhury, reporting from Shahbag Square – the epicentre of the student protesters – said he has “never witnessed something like this” in the capital.

“Students and families with their children out celebrating, checking if she has either left the country or resigned,” Chowdhury said. “The government has most likely fallen, and the army will decide what the next step is, which is probably an interim government,” he added.

Protests in the country started a months ago over controversial governmental job quotas. They soon morphed into a nationwide unrest and into an unprecedented uprising against Hasina and her ruling Awami League party.
Kaandamane kwenu utusini
 
Back
Top Bottom