ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
JinaHilo Sheikh ni jina au wadhifa ninaoufahamu mimi kwenye dini na hii imekaaje wajuzi wa mambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JinaHilo Sheikh ni jina au wadhifa ninaoufahamu mimi kwenye dini na hii imekaaje wajuzi wa mambo
3.Ridhwani KikweteHata hapa kwetu bado watoto wa vigogo wanapewa kipaumbele.
1. January Makamba
2. Nape
Acha ujinga,kule ilikuwa ni sera rasmi kama ilivyo Zimbabwe ya maveterensHata hapa kwetu bado watoto wa vigogo wanapewa kipaumbele.
1. January Makamba
2. Nape
Kule ni nafasi za kazi sio hizo za kisiasa3.Ridhwani Kikwete
4. Vita Kawawa.
5. Hussein Mwinyi
6. Mtoto wa Mizengo Pinda (sikumbuki Jina lake)
7. ..,......
Wapo wengi sana
Alaah tumeanza matusi Tena? Kwani January sio mtoto wa mstaafu mkubwa?Acha ujinga,kule ilikuwa ni sera rasmi kama ilivyo Zimbabwe ya maveterens
Kimsingi ukishaongoza miaka Mingi watu wanakuchoka na wakiliamsha ndio hivyo tena.Imethibitishwa, kakimbia kwa kutumia helkopta ya kijeshi kwenda India!
![]()
Bangladesh's prime minister flees country and resigns after deadly protest
Sheikh Hasina has flown to India on a military helicopter as protesters in Bangladesh have stormed her official residence. It follows the death of almost 300 people during weeks-long protests.news.sky.com
Uchaguzi ujao CCM mkituibia Kura yatawakuta kama haya ya Bangladesh
Kizimkazi atapiga mbizi fasta tu kutokea upande wa pili kikinuka.Nasisi tunatuma salamu kwa Samia na CCM Uchaguzi ujao mkituibia Kura au mkiwatanganza walioshindwa tunasema hivi safari hiii safari hiii... Hiiiii...mjidanganye...
Kizimkazi atapiga mbizi fasta tu kutokea upande wa pili kikinuka.
Kama wataendelea kutuibia kura kama alivyosema Nape safari hii tunatumia nguvu ya UMMA kuwaondoa Madarakani.Kwa mijoga hii tuliyonayo , kamanda Sirro akijamba wote mnajificha mivunguni mwa vitanda ??
Kaandamane kwenu utusiniAmetorokea kusikojulikana Mitaa yote ya Dhaka Bangladesh ni Nderemo Fivijo na Hoihoi.
People's Power ✌️
Habari zaidi zitawaijia tegeni macho na masikio.
Nasisi tunatuma salamu kwa Samia na CCM Uchaguzi ujao mkituibia Kura au mkiwatanganza walioshindwa tunasema hivi safari hiii safari hiii... Hiiiii...mjidanganye...
=====
Sheikh Hasina’s departure appears to have defused the high tension in Dhaka, where more deadly protests were feared on Monday.
Bangladesh’s Prime Minister Sheikh Hasina has resigned and fled the country in the face of ongoing protests.
The longtime leader of the country has boarded a military helicopter, an aide told Al Jazeera, after crowds ignored a national curfew to storm the prime minister’s palace in Dhaka on Monday.
Close to 300 people have died amid weeks of protest the authorities have sought to crush. Following a night of deadly violence that killed close to 100 on Sunday, tension had remained high on Monday as protesters called for a march on Dhaka and the army prepared to address the nation.
By early afternoon, however, media reported that the mood on the streets had turned to one of celebration after the news of Hasina’s departure spread.
In an address to the nation, General Waker-Uz-Zaman, the Chief of Army Staff, confirmed that the prime minister has resigned and that an interim government will now run the country.
He urged citizens to keep trust in the army, which, he said, would return peace to the country.
“We will also ensure that justice is served for every death and crime that occurred during the protests,” he said, calling on the public to exercise patience and cease any acts of violence and vandalism.
“We have invited representatives from all major political parties, and they have accepted our invitation and committed to collaborating with us,” the general added.
Images on national television showed thousands of people breaking into the prime minister’s official residence. It also showed large crowds of protesters out in the street in scenes of jubilation as the news of the departure of Hasina started spreading.
Al Jazeera’s Tanvir Chowdhury, reporting from Shahbag Square – the epicentre of the student protesters – said he has “never witnessed something like this” in the capital.
“Students and families with their children out celebrating, checking if she has either left the country or resigned,” Chowdhury said. “The government has most likely fallen, and the army will decide what the next step is, which is probably an interim government,” he added.
Protests in the country started a months ago over controversial governmental job quotas. They soon morphed into a nationwide unrest and into an unprecedented uprising against Hasina and her ruling Awami League party.
Ilitakiwa iwe sheikha,ndiyo inakua mwanamkeKumbe kuna masheikh wa kike
Runzewe kwetu.Kaandamane kwenu utusini
Nilitaka kulijua hili piaKumbe kuna masheikh wa kike