ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Mimi nasikia kama wewe na sijui kama sababu ndio hizo unazosema wewe.Watu hasa wapinzani na wakosaoji kupotea au kupotezwa.
Mwisho kwani Mimi sikosoi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nasikia kama wewe na sijui kama sababu ndio hizo unazosema wewe.Watu hasa wapinzani na wakosaoji kupotea au kupotezwa.
Vuguvugu lilianza miezi 9 iliyopita yaani November 2023
View: https://m.youtube.com/watch?v=X9en6WDBDso
Nini kinatokea Bangladesh? Watu wametoka barabarani wakimtaka Waziri Mkuu Sheikha Hasina ajiuzulu. Wiki iliyopita, kiongozi wao mkuu wa Upinzani Mirza Fakhrul Islam Alamgir alizuiliwa baada ya maandamano kuwa ghasia. Nini kinasababisha machafuko haya na watu wamepoteza imani na waziri mkuu wao?
Sawa, mwanamke hawezi kuwa sheikh Bali sheikha,hiyo ni sawa na mwanamke kumuita nasri badala ya nasraHilo jina sio cheo
Naongelea BangladeshMimi nasikia kama wewe na sijui kama sababu ndio hizo unazosema wewe.
Mwisho kwani Mimi sikosoi?
Amejiudhuru au amepinduliwa na Waandamanaji wenye hasira???Waziri Mkuu Sheikh Hasina ameripotiwa kujiuzulu na kuondoka katika mji mkuu wa Dhaka wakati kukiwa na maandamano makali ya kumtaka ajiuzulu
Uamuzi huo umekuja ikiwa ni muda mfupi tangu Umoja wa Mataifa uitake serikali kusitisha mara moja machafuko yanayoendelea nchini humo ambayo yamesababisha vifo vya takriban watu 200, wakiwemo maafisa wa Polisi.
-------
Umoja wa Mataifa umeitaka Serikali ya Bangladesh kumaliza machafuko yaliyosababisha vifo vya raia zaidi 90, wakiwemo polisi 13, kufuatia vurugu za Agosti 4, 2024.
Maandamano hayo yalianza Julai 2024 juu ya malalamiko kuhusu mgawo wa nafasi za kazi serikalini na kutaka Waziri Mkuu Sheikh Hasina ajiuzulu.
Ghasia hizo zimepelekea takriban watu 11,000 kuwekwa jela, huku shule na vyuo vikifungwa na upatikanaji wa huduma za intaneti kuzuiwa toka Julai 2024.
Bi Mkubwa kakimbilia India.Waziri Mkuu Sheikh Hasina ameripotiwa kujiuzulu na kuondoka katika mji mkuu wa Dhaka wakati kukiwa na maandamano makali ya kumtaka ajiuzulu
Uamuzi huo umekuja ikiwa ni muda mfupi tangu Umoja wa Mataifa uitake serikali kusitisha mara moja machafuko yanayoendelea nchini humo ambayo yamesababisha vifo vya takriban watu 200, wakiwemo maafisa wa Polisi.
-------
Umoja wa Mataifa umeitaka Serikali ya Bangladesh kumaliza machafuko yaliyosababisha vifo vya raia zaidi 90, wakiwemo polisi 13, kufuatia vurugu za Agosti 4, 2024.
Maandamano hayo yalianza Julai 2024 juu ya malalamiko kuhusu mgawo wa nafasi za kazi Serikalini na kutaka Waziri Mkuu Sheikh Hasina ajiuzulu.
Ghasia hizo zimepelekea takriban watu 11,000 kuwekwa jela, huku shule na vyuo vikifungwa na upatikanaji wa huduma za intaneti kuzuiwa toka Julai 2024.
Soma pia: Maandamano ya Bangladesh yalivyogeuka kuwa mauti, takribani Watu 150 wauawa
Hicho kimama kilikuwa ki dictator. We mshukuru Samia Tanzania mnaota kama mtapata Rais kama Samia. Yule Magufuli alikuwa mzuri kwenye media na mtetea haki kwenye media na mchapa kazi lakini nyuma kwa nyuma kuna watu aliwapoteza hawajulikani wako wapi mpa mda hu.Ametorokea kusikojulikana Mitaa yote ya Dhaka Bangladesh ni Nderemo Fivijo na Hoihoi.
People's Power ✌️
Habari zaidi zitawaijia tegeni macho na masikio.
Nasisi tunatuma salamu kwa Samia na CCM Uchaguzi ujao mkituibia Kura au mkiwatanganza walioshindwa tunasema hivi safari hiii safari hiii... Hiiiii...mjidanganye...
=====
Sheikh Hasina’s departure appears to have defused the high tension in Dhaka, where more deadly protests were feared on Monday.
Bangladesh’s Prime Minister Sheikh Hasina has resigned and fled the country in the face of ongoing protests.
The longtime leader of the country has boarded a military helicopter, an aide told Al Jazeera, after crowds ignored a national curfew to storm the prime minister’s palace in Dhaka on Monday.
Close to 300 people have died amid weeks of protest the authorities have sought to crush. Following a night of deadly violence that killed close to 100 on Sunday, tension had remained high on Monday as protesters called for a march on Dhaka and the army prepared to address the nation.
By early afternoon, however, media reported that the mood on the streets had turned to one of celebration after the news of Hasina’s departure spread.
In an address to the nation, General Waker-Uz-Zaman, the Chief of Army Staff, confirmed that the prime minister has resigned and that an interim government will now run the country.
He urged citizens to keep trust in the army, which, he said, would return peace to the country.
“We will also ensure that justice is served for every death and crime that occurred during the protests,” he said, calling on the public to exercise patience and cease any acts of violence and vandalism.
“We have invited representatives from all major political parties, and they have accepted our invitation and committed to collaborating with us,” the general added.
Images on national television showed thousands of people breaking into the prime minister’s official residence. It also showed large crowds of protesters out in the street in scenes of jubilation as the news of the departure of Hasina started spreading.
Al Jazeera’s Tanvir Chowdhury, reporting from Shahbag Square – the epicentre of the student protesters – said he has “never witnessed something like this” in the capital.
“Students and families with their children out celebrating, checking if she has either left the country or resigned,” Chowdhury said. “The government has most likely fallen, and the army will decide what the next step is, which is probably an interim government,” he added.
Protests in the country started a months ago over controversial governmental job quotas. They soon morphed into a nationwide unrest and into an unprecedented uprising against Hasina and her ruling Awami League party.
Wamefanya kaso huyo wangempeleka jela akale dali na pili pili, hiyo kukimbia ameondaka na mamillion faida yake nini.Bi Mkubwa kakimbilia India.
View: https://x.com/ajenglish/status/1820444971717009560?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Abdul anapita akinunua kila mtu. Inasemekana hata Wenje keshapata mgao wake na tayari ametangaza kugombea nafasi ya Lissu ya umakamu wa mwenyekiti. Nia ni kuwa mama yake asipate upinzani wowote wa maana 2025 wakati wa kupiga kura. Ngoja tu mwenzake mwenye kuvaa ma-ushungi na miwani kama yeye keshavurumushwa na waandamanaji wamelala mpaka kwenye kitanda chakeAmetorokea kusikojulikana Mitaa yote ya Dhaka Bangladesh ni Nderemo Fivijo na Hoihoi.
People's Power ✌️
Habari zaidi zitawaijia tegeni macho na masikio.
Nasisi tunatuma salamu kwa Samia na CCM Uchaguzi ujao mkituibia Kura au mkiwatanganza walioshindwa tunasema hivi safari hiii safari hiii... Hiiiii...mjidanganye...
=====
Sheikh Hasina’s departure appears to have defused the high tension in Dhaka, where more deadly protests were feared on Monday.
Bangladesh’s Prime Minister Sheikh Hasina has resigned and fled the country in the face of ongoing protests.
The longtime leader of the country has boarded a military helicopter, an aide told Al Jazeera, after crowds ignored a national curfew to storm the prime minister’s palace in Dhaka on Monday.
Close to 300 people have died amid weeks of protest the authorities have sought to crush. Following a night of deadly violence that killed close to 100 on Sunday, tension had remained high on Monday as protesters called for a march on Dhaka and the army prepared to address the nation.
By early afternoon, however, media reported that the mood on the streets had turned to one of celebration after the news of Hasina’s departure spread.
In an address to the nation, General Waker-Uz-Zaman, the Chief of Army Staff, confirmed that the prime minister has resigned and that an interim government will now run the country.
He urged citizens to keep trust in the army, which, he said, would return peace to the country.
“We will also ensure that justice is served for every death and crime that occurred during the protests,” he said, calling on the public to exercise patience and cease any acts of violence and vandalism.
“We have invited representatives from all major political parties, and they have accepted our invitation and committed to collaborating with us,” the general added.
Images on national television showed thousands of people breaking into the prime minister’s official residence. It also showed large crowds of protesters out in the street in scenes of jubilation as the news of the departure of Hasina started spreading.
Al Jazeera’s Tanvir Chowdhury, reporting from Shahbag Square – the epicentre of the student protesters – said he has “never witnessed something like this” in the capital.
“Students and families with their children out celebrating, checking if she has either left the country or resigned,” Chowdhury said. “The government has most likely fallen, and the army will decide what the next step is, which is probably an interim government,” he added.
Protests in the country started a months ago over controversial governmental job quotas. They soon morphed into a nationwide unrest and into an unprecedented uprising against Hasina and her ruling Awami League party.
SizaniHilo jina sio cheo
Sijakuelewa ndugu naona nlichokisema ndio ulokileta au sijaelewa mimi?Sizani
Sheikh Hasina WazedSheikh Hasina - Wikipedia (born 28 September 1947) is a Bangladeshi politician[2] who served as the tenth prime minister of Bangladesh from June 1996 to July 2001 and later from January 2009 to 5th August 2024. She is the daughter of Sheikh Mujibur Rahman, the founding father and first president of Bangladesh. Having served for a combined total of over 20 years, she is the longest serving prime minister in the history of Bangladesh. Before leaving office in 2024, she was the world's longest-serving female head of government.[3]
Sijakuelewa ndugu naona nlichokisema ndio ulokileta au sijaelewa mimie