Safari hii ashinde kihalali laa sivyo tunamtimua.Kizimkazi atapiga mbizi fasta tu kutokea upande wa pili kikinuka.
Hamisa na domo, komasava ya mondi, mo anapesa kuliko gsm, tarehe 8 msilete timu, na mengine mengi ya hovyo dah.😔Gen Z ya bongo ni Simba na Yanga.
Baaaasi
Hapo ndio utaahira mwingi ulipolala!Gen Z ya bongo ni Simba na Yanga.
Baaaasi
Kwa hali hii taifa linahitaji maombiHamisa na domo, komasava ya mondi, mo anapesa kuliko gsm, tarehe 8 msilete timu, na mengine mengi ya hovyo dah.😔
Waambie ukweli Hawa mapimbi hawaelewi kitu chochote kabisa! Maombi makubwa sana!Kwa hali hii taifa linahitaji maombi
Hakuna hilo jina sio cheoKumbe kuna masheikh wa kike
Hilo jina sio cheoIlitakiwa iwe sheikha,ndiyo inakua mwanamke
Sheikh Hasina Wazedhttps://en.m.wikipedia.org/wiki/Sheikh_Hasina#cite_note-3 (born 28 September 1947) is a Bangladeshi politician[2] who served as the tenth prime minister of Bangladesh from June 1996 to July 2001 and later from January 2009 to 5th August 2024. She is the daughter of Sheikh Mujibur Rahman, the founding father and first president of Bangladesh. Having served for a combined total of over 20 years, she is the longest serving prime minister in the history of Bangladesh. Before leaving office in 2024, she was the world's longest-serving female head of government.[3]Bi Sheikh Hasina amejiuzulu kufuatia Wimbi la Waandamanaji Vijana (Gen Z) lililoanzishwa na Vijana wa Vyuo Vikuu ambao walikuwa wanalalmika kukosoa mfumo unaowapa kazi Watoto wa Vigogo waliopambania uhuru na kuwatenga Watoto wa maskini.
Bi Hasina ambae ametoka kushinda uchaguzi miaka 2 iliyopita amelazimika kujiuzulu licha ya vikosi vya usalama kupambana na waandamanaji lakini havikufaulu kuwarudisha nyuma ambapo zaidi ya watu 150 waliuwawa kwenye maandamano hayo.Ameondoka Nchini humo kwenda kuishi India.
View: https://www.instagram.com/p/C-SL0oMqVg1/?igsh=MXdkdmhkazI4YnM1NQ==
My Take
Kuzuia watu mil.170 sio rahisi,ndio maana Rais msikivu Dkt.Samia aliwatolea uvivu wazalishaji wa Sukari na chakula kwamba bei za vitu hivyo zisipande maana Gen Z hawaeleweki ,wanaweza liamsha.
View: https://twitter.com/MwanzoTvPlus/status/1820404606096048622?t=8x3bUC89ukBd7_I0HrMyWA&s=19
Pia soma Kuelekea 2025 - Rais Samia: Bei ya Sukari Ikiwa Juu Gen Z Wataingia Barabarani
Huwa wanaitwa “Shaykha”Nilitaka kulijua hili pia
Konde mondiGen z bongo wanabishana Mambo ya Simba na yanga tu...
Pigia mstari KUTOWEKA KWA WATU.Bi Sheikh Hasina amejiuzulu kufuatia Wimbi la Waandamanaji Vijana (Gen Z) lililoanzishwa na Vijana wa Vyuo Vikuu ambao walikuwa wanalalmika kukosoa mfumo unaowapa kazi Watoto wa Vigogo waliopambania uhuru na kuwatenga Watoto wa maskini.
Bi Hasina ambae ametoka kushinda uchaguzi miaka 2 iliyopita amelazimika kujiuzulu licha ya vikosi vya usalama kupambana na waandamanaji lakini havikufaulu kuwarudisha nyuma ambapo zaidi ya watu 150 waliuwawa kwenye maandamano hayo.Ameondoka Nchini humo kwenda kuishi India.
----
Waandamanaji vijana wamekuwa wakiimba wakimtaka waziri mkuu wao aondoke madarakani.
Bi Hasina mwenye umri wa miaka 76 ametawala taifa hilo la Asia Kusini lenye watu milioni 170 kwa mkono wa chuma tangu 2009.
Miaka yake 15 madarakani imejawa na shutuma za kutoweka kwa watu, mauaji ya nje ya mahakama, na kukandamizwa kwa watu wa upinzani na wakosoaji wake na anakanusha mashtaka,
Pia soma Kuelekea 2025 - Rais Samia: Bei ya Sukari Ikiwa Juu Gen Z Wataingia Barabarani
Ndio nini?Pigia mstari KUTOWEKA KWA WATU.
Sio kweli.Hapana Viongozi wa Tanzania ni wasikivu na waoga Huwa wanafanya reaction haraka
Watu hasa wapinzani na wakosoaji kupotea au kupotezwa.Ndio nini?
Eleza sio kweli kivipi?Sio kweli.