Waziri Mkuu wa Bangladesh, Sheikh Hasina ajiuzulu kutokana na maandamano Yanayoendelea

Kakimbilia India,lakini katafuna sana miaka ishirini madarakani si haba.
 
Nadhani maelezo sahihi ni kafurumushwa.

Hajajiuzulu kwa hiari yake.

Leo waandamanaji walikuwa wamepanga kwenda kwenye ikulu yao ili wakamtoe kwa nguvu.

Ndo naye akaamua kukimbia nchi.
 
Sheikh Hasina Wazedhttps://en.m.wikipedia.org/wiki/Sheikh_Hasina#cite_note-3 (born 28 September 1947) is a Bangladeshi politician[2] who served as the tenth prime minister of Bangladesh from June 1996 to July 2001 and later from January 2009 to 5th August 2024. She is the daughter of Sheikh Mujibur Rahman, the founding father and first president of Bangladesh. Having served for a combined total of over 20 years, she is the longest serving prime minister in the history of Bangladesh. Before leaving office in 2024, she was the world's longest-serving female head of government.[3]
 
Vuguvugu lilianza miezi 9 iliyopita yaani November 2023


View: https://m.youtube.com/watch?v=X9en6WDBDso
Nini kinatokea Bangladesh? Watu wametoka barabarani wakimtaka Waziri Mkuu Sheikha Hasina ajiuzulu. Wiki iliyopita, kiongozi wao mkuu wa Upinzani Mirza Fakhrul Islam Alamgir alizuiliwa baada ya maandamano kuwa ghasia. Nini kinasababisha machafuko haya na watu wamepoteza imani na waziri mkuu wao?
 
Matatizo ya ajira na mfumuko wa bei uliopindukia yataichafua sana dunia kwa siku nyingi zijazo. Watawala wengi hawana solutions za maana kuhusu haya mambo.
 
Pigia mstari KUTOWEKA KWA WATU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…