Lengo halijatimia? Unafikiri PUTIN plan yake ni kutimiza malengo kwa mda gan? Au amekuteua uwe msemaji wake otherwise tulia majibu atatupatia PUTIN mwenyew
Kiongozi niwie radhi sikudhamiria kuwa offensive kwa vijana husika, ni vile mtu anaweza sema anabishana na watoto wa primary au secondary, huo ulikuwa ni mfano tu.