Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Sana sana wanaona mtu mweusi Sawa na nyani tu.Jamaa unavyojipendekeza utafikiri kuna mrusi hata mmoja anaekujua, kweli ujinga ni kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana sana wanaona mtu mweusi Sawa na nyani tu.Jamaa unavyojipendekeza utafikiri kuna mrusi hata mmoja anaekujua, kweli ujinga ni kazi
Wewe ukienda hapo moscow unaonekana nyani tu hamna mtu atakua na muda na wewe! Huu muda unaopoteza kuleta habari zako uchwara ni bora ufanye issue ya maana ikuingizie kipatoWewe utakuwa ni mzito sana kuelewa aisee, huwezi kuchambua vitu mwenyewe ila mpaka utafuniwe kila kitu (spoon feeding).
Ngoja nikutafunie kila kitu sasa ili upate faida kulingana na upeo wako wa akili.
Ni hivi kwa mujibu wa Ukraine na vyombo vya magharibi wao wanadai kuwa wanajeshi wa Ukraine waliouawa ni kiduchu kwa maana hawafiki hata 500 (kama wewe mjuvi una data zozote zinazoripoti tofauti na hivyo ziweke hapa chini).
Izo stori za wanajeshi wa Russia waliokufa sio lengo langu kuleta huu uzi (rudia tena kusoma topic ya uzi huu), kwani vyombo vya magharibi na Ukraine vimedai kuwa ni zaidi ya wanajeshi 5000 wa Russia wamekufa (sitaki kujadili hizo data za kupika). Ila wakati huo huo rais wa Ukraine alitaka msaada wa raia wa kawaida waingie kusaidia jeshi kupambana na majeshi ya Russia. Si hivyo tu akawaomba raia wa nchi hadi za duniani kote hadi Afrika wafafiri wakapewe bunduki wapigane na Russia (hapa napo kwa akili yako ilivyo mpaka nikutafunie i.e. nikuchambulie kuwa hali hiyo yaonesha majeshi ya Ukraine yalizidiwa nguvu).
Alisikika mUkraine mmoja wa Tandahimba baada ya mada kumchoma moyoni, ambaye yeye akisoma au kokoment mada hapa JF a analipwa pesaWewe ukienda hapo moscow unaonekana nyani tu hamna mtu atakua na muda na wewe! Huu muda unaopoteza kuleta habari zako uchwara ni bora ufanye issue ya maana ikuingizie kipato
Wanajeshi kufa vitani ni jambo la kawaida.Wanajeshi 5000 wa Russia wamekufa vitani
Nakushangaa unavyohangaika na vithread vyako uchwara utadhani putin ameoa kwenye ukoo wenu🤣🤣Alisikika mUkraine mmoja wa Tandahimba baada ya mada kumchoma moyoni, ambaye yeye akisoma au kokoment mada hapa JF a analipwa pesa
Mkuu mbona wateseka sana? Kama kweli waumia sana si usafiri uende Ukraine ukakabidhiwe bunduki ulisaidie jeshi la Ukraine kupambana na majeshi ya Russia? Au hujaona wito wa rais wa Ukraine akiwataka muende huko? Visa hutaulizwa.Nakushangaa unavyohangaika na vithread vyako uchwara utadhani putin ameoa kwenye ukoo wenu🤣🤣
Hili nalo linafikirisha sana!Source ya hii habari sababu hakuna sehemu yeyote imeripotiwa, Ukraine waondoke waende wapi Ile ni nchi yao
Mtu aje Tanzania atuambie ondoken Tanzania kirahisi rahisi tumtii maisha sio marahisi hivyo
Hata Mimi sijasema ni ajabu.Wanajeshi kufa vitani ni jambo la kawaida.
Kumbuka Ukrainian na wao wanapambana mzee.
Haya chukua source ya habari uliyouliziaSource ya hii habari sababu hakuna sehemu yeyote imeripotiwa, Ukraine waondoke waende wapi Ile ni nchi yao
Mtu aje Tanzania atuambie ondoken Tanzania kirahisi rahisi tumtii maisha sio marahisi hivyo
😂😂😂Hahahah 😁😁😁😁😁😂😂😂😂, kwa hiyo hivyo vistiki vya kutuulia sisi? Ngoja tudondoshe kitu hapo kinachoitwa GLORY TO GOD ile inatembeaga chini ya maji tu
sisi leo tutapeleka moto wa ajabu pale KIEV watajijua wenyewe kutapokucha maana wanaongozwa na rais wa hovyo kuwahi kutokeaMuda ni kila kitu. Jana Ukraine wamepewa muda kuondoa raia kiev. Kitakachofuata sisi hatumo.
Aendelee na comedy zake ku.
anaeweza kumtunishia RUSSIA kifua akapeleke majeshi kumsaidia UKRAINE mnaongea kama mna njaa eeh[emoji848]Mtazamo wangu:
Ingekuwa ni USA angekuwa na mkakati wa muda mrefu sana ambapo angehakikisha anafanya Propaganda kumchonganisha Rais kwa wananchi wake ili wakose imani naye, na iwapo hiyo ingeshindikana nadhani wangefanya kila namna kumuondoa Rais kimafya hata kwa kumpandikizia Ugonjwa. Mwisho anapatikana Rais nwingine Pandikizi atakayelinda maslahi yao.
Na katika Ku maintain trust angekuwa anatetea demokrasia na haki za binadamu kwa wananchi na kutoa misaada. Yaani full kujipendekeza na unafiki.
Tofauti na alichofanya Putin na hatua aliyochukuwa ambayo inamgharimu vibaya Kiuchumi, Mahusiano na hata Mahusiano yake ndani ya nchi , pia heshima yake imeshuka sana. Nadhani Russia haogopwi kama awali na nchi zingine zinaweza kumtunishia kifua kuwa HATISHI KIHIIIVYO
Marekani wapo vizuri sana katika Mikakati ya muda mrefu.
[emoji2][emoji2][emoji2]Sisi vijana wa MEMKWA tunahusikaje hapo? Au sisi vijana wa MEMKWA ni tusi la kuwachapia wengine? Imeniuma sana yaani!!!
wajiombee wenyewe waliyataka acha wapigike
watajijua wenyewe sisi tunajua kupeleka moto tuuuuUkraine hawakujipanga kujilinda Ni Kama Urusi walishtukiza.
Dua muhim mkuuwajiombee wenyewe waliyataka acha wapigike
Lengo halijatimia? Unafikiri PUTIN plan yake ni kutimiza malengo kwa mda gan? Au amekuteua uwe msemaji wake otherwise tulia majibu atatupatia PUTIN mwenyewKwenye vita lazima wanajeshi watakufa hakuna ajabu apo, swali la kujiuliza Lengo la Putin limetimia jibu ni kwamba halijatimia
Lengo halijatimia? Unafikiri PUTIN plan yake ni kutimiza malengo kwa mda gan? Au amekuteua uwe msemaji wake otherwise tulia majibu atatupatia PUTIN mwenyewKwenye vita lazima wanajeshi watakufa hakuna ajabu apo, swali la kujiuliza Lengo la Putin limetimia jibu ni kwamba halijatimia