Waziri mkuu wa Bulgaria akiri kuwa maelfu ya wanajeshi wa Ukraine wamekufa vitani

Waziri mkuu wa Bulgaria akiri kuwa maelfu ya wanajeshi wa Ukraine wamekufa vitani

Muda ni kila kitu. Jana Ukraine wamepewa muda kuondoa raia kiev. Kitakachofuata sisi hatumo.

Aendelee na comedy zake ku.
Nashindwa kuelewa inawezekanaje hii ya raia wote kuondoka . Anyway ngoja tusubiri kuona itatekelezekaje hii.
 
Nashindwa kuelewa inawezekanaje hii ya raia wote kuondoka . Anyway ngoja tusubiri kuona itatekelezekaje hii.
Wanatakiwa waondoke kiev. Kama Ukraine hataki kuwaondoa basi ni yeye lakini kapewa warning.
 
Mtazamo wangu:

Ingekuwa ni USA angekuwa na mkakati wa muda mrefu sana ambapo angehakikisha anafanya Propaganda kumchonganisha Rais kwa wananchi wake ili wakose imani naye, na iwapo hiyo ingeshindikana nadhani wangefanya kila namna kumuondoa Rais kimafya hata kwa kumpandikizia Ugonjwa. Mwisho anapatikana Rais nwingine Pandikizi atakayelinda maslahi yao.

Na katika Ku maintain trust angekuwa anatetea demokrasia na haki za binadamu kwa wananchi na kutoa misaada. Yaani full kujipendekeza na unafiki.

Tofauti na alichofanya Putin na hatua aliyochukuwa ambayo inamgharimu vibaya Kiuchumi, Mahusiano na hata Mahusiano yake ndani ya nchi , pia heshima yake imeshuka sana. Nadhani Russia haogopwi kama awali na nchi zingine zinaweza kumtunishia kifua kuwa HATISHI KIHIIIVYO

Marekani wapo vizuri sana katika Mikakati ya muda mrefu.
 
Lengo la Putin ni kuiondoa serekali ya Ukraine na kupandikiza kibaraka wake mfano wa lukashenko unafikiri we ndo mjinga ambaye mpaka sahivi hujui Lengo la putin

Sergey lavrov na Putin wameshaongea sana lengo lao la Vita lakin Cha ajabu wewe ndo hujui

Unahisi kwanini wanataka kufanya hivyo?
 
Wanajeshi 5000 wa Russia wamekufa vitani
 
Source ya hii habari sababu hakuna sehemu yeyote imeripotiwa, Ukraine waondoke waende wapi Ile ni nchi yao

Mtu aje Tanzania atuambie ondoken Tanzania kirahisi rahisi tumtii maisha sio marahisi hivyo
Nimeona kasema kyiev..yaani mji siyo nchi
 
wana sema kuna msafara wa vyombo hatari vya Russia wenye urefu wa 3. 5km una karibia Tuwaombeya Ukraine wanaenda kuumia!! kibaya zaidi ni Raia kupewa silaha majengo yata shushwa vibaya sana!
Mkuu ni msafara wa urefu wa kilomita 64 (maili 40, yaani urefu wake ni sawa na umbali toka Dar es Salaam hadi Mlandizi)

Acha tuwaoneshe makali kwanza ili tuheshimiane.
=======

SmartSelect_20220301-110914_Chrome.jpg
 
Mtazamo wangu:

Ingekuwa ni USA angekuwa na mkakati wa muda mrefu sana ambapo angehakikisha anafanya Propaganda kumchonganisha Rais kwa wananchi wake ili wakose imani naye, na iwapo hiyo ingeshindikana nadhani wangefanya kila namna kumuondoa Rais kimafya hata kwa kumpandikizia Ugonjwa. Mwisho anapatikana Rais nwingine Pandikizi atakayelinda maslahi yao.
Na katika Ku maintain trust angekuwa anatetea demokrasia na haki za binadamu kwa wananchi na kutoa misaada. Yaani full kujipendekeza na unafiki.

Tofauti na alichofanya Putin na hatua aliyochukuwa ambayo inamgharimu vibaya Kiuchumi, Mahusiano na hata Mahusiano yake ndani ya nchi , pia heshima yake imeshuka sana. Nadhani Russia haogopwi kama awali na nchi zingine zinaweza kumtunishia kifua kuwa HATISHI KIHIIIVYO

Marekani wapo vizuri sana katika Mikakati ya muda mrefu.
Akili kiduchu.. umeanza kufuatilia matukio ya vita jana? Mbona huyo USA hakufanya hizo mbinu kule Iraq, afghanistan, libya nk... iliingiza jeshi mazima..
 
Swala sio majeshi ya Ukraine kuzidiwa nguvu, swala ni kwamba Putin hapa amewaka na anajichimbia kaburi.

Russia hawawezi kuwa na akili kushinda nchi za magharibi, hilo halipo kabisa na mlifutilie mbali. Putin ameweka rehani utawala wake. Time will prove me right.
 
Swala sio majeshi ya Ukraine kuzidiwa nguvu, swala ni kwamba Putin hapa amewaka na anajichimbia kaburi.

Russia hawawezi kuwa na akili kushinda nchi za magharibi, hilo halipo kabisa na mlifutilie mbali. Putin ameweka rehani utawala wake. Time will prove me right.
Mbulula kweli yani ao marekani wanasubiri nini kuwaasave Ukraine ,,, Hivii Russia aende kuweka nguvu kwa nchi jirani na Marekani unafikiri Nini kingetokea, ndo hatua anazochukuwa Russia,
 
Mbulula kweli yani ao marekani wanasubiri nini kuwaasave Ukraine ,,, Hivii Russia aende kuweka nguvu kwa nchi jirani na Marekani unafikiri Nini kingetokea, ndo hatua anazochukuwa Russia,
Ndugu kuna watu wanalopoka kwa kitu wasichokuwa na uelewa nacho
 
Pamoja na jitihada kubwa za makusudi zinazofanywa na Ukraine, NATO na US kudogesha idadi ya wanajeshi wa Ukraine waliouawa na majeshi ya Russia nchini Ukraine, Waziri Mkuu wa Bulgaria kaamua kusema ukweli kuwa maelfu ya wanajeshi wa Ukraine wameuawa mpaka sasa.

Ufafanuzi huo wa idadi ya vifo toka kwa Waziri huyo wa nchi mwanachama wa NATO, Bulgaria, umejiri baada ya waziri wa Ulinzi wa Bulgaria
Mbona hakuna sehemu aliyosema maelfu ya wanajeshi wa Ukraine wameuawa? mbona habari inaandikwa kishabiki sana
 
Back
Top Bottom