Waziri mkuu wa Bulgaria akiri kuwa maelfu ya wanajeshi wa Ukraine wamekufa vitani

Waziri mkuu wa Bulgaria akiri kuwa maelfu ya wanajeshi wa Ukraine wamekufa vitani

mbona hakuna sehemu aliyosema maelfu ya wanajeshi wa Ukraine wameuawa? mbona habari inaandikwa kishabiki sana
Mkiu sasa kama umeshindwa kung'amua hata hilo hiyo kauli ya waziri huyo mkuu kuwa maelfu ya wanajeshi wa Ukraine wameuawa na majeshi ya Russia, mie nitakusaidie vipi?

Mbona jambo hilo lipo wazi, au umezoea kutafuniwa na kumezeshwa?

Anyway jaribu kusoma tena (kwa kushughulisha bongo) maelezo hasa maneno ya waziri mkuu huyo.
 
Pamoja na jitihada kubwa za makusudi zinazofanywa na Ukraine, NATO na US kudogesha idadi ya wanajeshi wa Ukraine waliouawa na majeshi ya Russia nchini Ukraine, Waziri Mkuu wa Bulgaria kaamua kusema ukweli kuwa maelfu ya wanajeshi wa Ukraine wameuawa mpaka sasa.

Ufafanuzi huo wa idadi ya vifo toka kwa Waziri huyo wa nchi mwanachama wa NATO, Bulgaria, umejiri baada ya waziri wa Ulinzi wa Bulgaria kutumia neno 'oparesheni ya kivita' akielezea mapigano ya Russia nchini Ukraine ambapo Waziri Mkuu ameng'aka kuwa hilo si neno sahihi kutumika kwani maelfu ya wanajeshi wa pande zote mbili (wanajeshi wa Ukraine na wa Russia) wameuawa na hivyo hiyo ni vita kamili sio operesheni ya kijeshi.

Kauli ya Waziri Mkuu huyo juu ya maelfu ya wanajeshi wa Ukraine kuuawa kwenye vita hivyo inatiwa nguvu na kile Rais wa Ukraine, Ze Comedian Zelensky, alichokifanya kuwapa silaha raia wa kawaida wa Ukraine wasio na ujuzi wowote wa mapigano ya vitani na kuwataka wasaidie jeshi la nchi hiyo kupambana na majeshi ya Russia huku raia hao wakijificha kwenye mavazi ya kiraia. Rais huyo akaenda mbali zaidi kwa kuwaomba hata raia kwenye nchi nyinginezo duniani, ikiwemo Afrika, wasafiri kwenda kupewa bunduki wasaidie jeshi la nchi hiyo llilozidiwa nguvu na majeshi ya Urusi.

======


"My defence minister cannot use the word operation instead of the word war. You cannot call it an operation when thousands of soldiers from the one and the other side are already killed," Petkov said in a televised statement.



View attachment 2134769View attachment 2134770

Zelensky jana katanda idadi halisi ya wanajeshi wa Russia wapatao 4600 pia wamekwenda na maji ni vizuri kubalance hizi story ili watu wakaelewa kwa pande zote jumla jumla, huyu waziri wa bulgaria ana sumu ya Putini kichwani mwake inamuenenda
 
Zelensky jana katanda idadi halisi ya wanajeshi wa Russia wapatao 4600 pia wamekwenda na maji ni vizuri kubalance hizi story ili watu wakaelewa kwa pande zote jumla jumla, huyu waziri wa bulgaria ana sumu ya Putini kichwani mwake inamuenenda
Hizo stori za kutunga z Zelensky ambaye kila wakati adanganya danganya utazichukua wewe
 
Hahahah 😁😁😁😁😁😂😂😂😂, kwa hiyo hivyo vistiki vya kutuulia sisi? Ngoja tudondoshe kitu hapo kinachoitwa GLORY TO GOD ile inatembeaga chini ya maji tu
 
Mkuu ukisema hiyo quotation aliyonukuu ni wazi askari wa pande zote mbili wamefakiri,yeye alichokieleza sijui kakikwapua wapi. Jamii forums kuna wakati mtu unapaswa kupotezea baadhi ya watu, unaweza kuta unabishana na vijana wa MEMKWA.
Sisi vijana wa MEMKWA tunahusikaje hapo? Au sisi vijana wa MEMKWA ni tusi la kuwachapia wengine? Imeniuma sana yaani!!!
 
Wewe una tatizo la kuelewa Kiingereza na ndio maana huelewi kinachosemwa. Alichokisema ni kuwa, "You cannot call it an operation when thousands of soldiers from the ONE side and the OTHER side are already killed". Maana yake ni maelfu ya askari kutoka pande zote wamekufa, hii ya kusema ni askari wa Ukraine pekee ndio waliokufa imetoka wapi?
Tumia muda wako kujifunza zaidi kuliko kusema vitu usivyovijua.
Si ndio alichokisema!!?
 
View attachment 2134789
wana sema kuna msafara wa vyombo hatari vya Russia wenye urefu wa 3. 5km una karibia Tuwaombeya Ukraine wanaenda kuumia!! kibaya zaidi ni Raia kupewa silaha majengo yata shushwa vibaya sana!
Watu wengi hawataki kuona kuwa vikosi vya kwanza vilienda kuudhibiti mji hivi vya saivi ndio vinaeenda Sasa kumaliza kazi.
 
Watu wengi hawataki kuona kuwa vikosi vya kwanza vilienda kuudhibiti mji hivi vya saivi ndio vinaeenda Sasa kumaliza kazi.
Tuwaombeye Ukraine!

20220301_190557.jpg
 

Attachments

  • Airborne_footage_shows_Mi-35M_transport_and_combat_helicopters,_Mi-28UB_Night_Hunter_attack_he...mp4
    6 MB
Pamoja na jitihada kubwa za makusudi zinazofanywa na Ukraine, NATO na US kudogesha idadi ya wanajeshi wa Ukraine waliouawa na majeshi ya Russia nchini Ukraine, Waziri Mkuu wa Bulgaria kaamua kusema ukweli kuwa maelfu ya wanajeshi wa Ukraine wameuawa mpaka sasa.

Ufafanuzi huo wa idadi ya vifo toka kwa Waziri huyo wa nchi mwanachama wa NATO, Bulgaria, umejiri baada ya waziri wa Ulinzi wa Bulgaria kutumia neno 'oparesheni ya kivita' akielezea mapigano ya Russia nchini Ukraine ambapo Waziri Mkuu ameng'aka kuwa hilo si neno sahihi kutumika kwani maelfu ya wanajeshi wa pande zote mbili (wanajeshi wa Ukraine na wa Russia) wameuawa na hivyo hiyo ni vita kamili sio operesheni ya kijeshi.

Kauli ya Waziri Mkuu huyo juu ya maelfu ya wanajeshi wa Ukraine kuuawa kwenye vita hivyo inatiwa nguvu na kile Rais wa Ukraine, Ze Comedian Zelensky, alichokifanya kuwapa silaha raia wa kawaida wa Ukraine wasio na ujuzi wowote wa mapigano ya vitani na kuwataka wasaidie jeshi la nchi hiyo kupambana na majeshi ya Russia huku raia hao wakijificha kwenye mavazi ya kiraia. Rais huyo akaenda mbali zaidi kwa kuwaomba hata raia kwenye nchi nyinginezo duniani, ikiwemo Afrika, wasafiri kwenda kupewa bunduki wasaidie jeshi la nchi hiyo llilozidiwa nguvu na majeshi ya Urusi.

======


"My defence minister cannot use the word operation instead of the word war. You cannot call it an operation when thousands of soldiers from the one and the other side are already killed," Petkov said in a televised statement.



View attachment 2134769View attachment 2134770


Ninefuatilia taarifa zako Ni za upande mmoja. Yani waziri wa Bulgaria anatoa taarifa za uwanja wa Vita, akiwa Bulgaria
 
Wewe utakuwa ni mzito sana kuelewa aisee, huwezi kuchambua vitu mwenyewe ila mpaka utafuniwe kila kitu (spoon feeding).

Ngoja nikutafunie kila kitu sasa ili upate faida kulingana na upeo wako wa akili.

Ni hivi kwa mujibu wa Ukraine na vyombo vya magharibi wao wanadai kuwa wanajeshi wa Ukraine waliouawa ni kiduchu kwa maana hawafiki hata 500 (kama wewe mjuvi una data zozote zinazoripoti tofauti na hivyo ziweke hapa chini).

Izo stori za wanajeshi wa Russia waliokufa sio lengo langu kuleta huu uzi (rudia tena kusoma topic ya uzi huu), kwani vyombo vya magharibi na Ukraine vimedai kuwa ni zaidi ya wanajeshi 5000 wa Russia wamekufa (sitaki kujadili hizo data za kupika). Ila wakati huo huo rais wa Ukraine alitaka msaada wa raia wa kawaida waingie kusaidia jeshi kupambana na majeshi ya Russia. Si hivyo tu akawaomba raia wa nchi hadi za duniani kote hadi Afrika wafafiri wakapewe bunduki wapigane na Russia (hapa napo kwa akili yako ilivyo mpaka nikutafunie i.e. nikuchambulie kuwa hali hiyo yaonesha majeshi ya Ukraine yalizidiwa nguvu).

Unachobisha Nini? Umenukuu taarifa mwenyewe halafu unaipinga. Waziri kasema soldiers from both sides wewe unakataa unataka ionekane Ni Ukraine ndio wanakufa tuu. Namshukuru Mungu kuruhusu Soviet kuanguka.
 
Unachobisha Nini? Umenukuu taarifa mwenyewe halafu unaipinga. Waziri kasema soldiers from both sides wewe unakataa unataka ionekane Ni Ukraine ndio wanakufa tuu. Namshukuru Mungu kuruhusu Soviet kuanguka.

Ni hivi kwa mujibu wa Ukraine na vyombo vya magharibi wao wanadai kuwa wanajeshi wa Ukraine waliouawa ni kiduchu kwa maana hawafiki hata 500. Kama wewe mjuvi una data zozote zinazoripoti tofauti na hivyo ziweke hapa chini
 
Ninefuatilia taarifa zako Ni za upande mmoja. Yani waziri wa Bulgaria anatoa taarifa za uwanja wa Vita, akiwa Bulgaria
Bulgaria ni memba wa NATO, wanatumia akili zaidi yako na ndio maana wanaelewa fika kuwa maelfu ya wanajeshi wa Ukraine wanaendelea kufa vitani.

Wewe slow learner umeshindwa hata kung'amua mtiririko wa matukio kuwa inawezekanaje rais wa nchi awaombe raia wasio na ujuzi wa mapambano ya vita washike silaha wakasaidie wanajeshi wa Ukraine kupambana na majeshi ya Russia (hapo hujiongezi tu kuwa jeshi limeelemewa kwa kipigo?)

Haitoshi hata wewe mUkraine wa Tanzania umeombwa uende, hakuna habari ya viza, ukasaidie jeshi hilo bado huelewi tu?!
 
Back
Top Bottom