Waziri mkuu wa India asherehekea na kufanya ibada kuzaliwa kwa ndama katika makazi yake

Waziri mkuu wa India asherehekea na kufanya ibada kuzaliwa kwa ndama katika makazi yake

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Waziri mkuu wa India, Narendra Modi amesherehekea pamoja na kufanya ibada baada ya kuzaliwa ndama wa ng'ombe mwenye alama nyeupe kichwani katika makazi yake ya 7, Lok Kalyan Marg. Modi alisema makazi hayo yamebarikiwa kwa ujio wa ndama huyo aliyempa jina la Deepjyoti(mwali wa moto).

Katika dini ya Kihindu ambayo Modi ni mfuasi wake kindakindaki ng'ombe anachakuliwa kama mama wa dunia na ubinadamu na anapewa hadhi ya juu pamoja na heshima kubwa ikiewemo pamoja na marufuku ya kuliwa.

 
20240914_192945.jpg
 
Waziri mkuu wa India Narendra Modi amesherehekea pamoja na kufanya ibada baada ya kuzaliwa ndama wa ng'ombe mwenye alama nyeupe kichwani katika makazi yake ya 7, Lok Kalyan Marg. Modi alisema makazi hayo yamebarikiwa kwa ujio wa ndama huyo aliyempa jina la Deepjyoti(mwali wa moto).

Katika dini ya Kihindu ambayo Modi ni mfuasi wake kindakindaki ng'ombe anachakuliwa kama mama wa dunia na ubinadamu na anapewa hadhi ya juu pamoja na heshima kubwa ikiewemo pamoja na marufuku ya kuliwa.

View attachment 3096044
Swafi sana tunadumisha mila 😂😂
 
Unazifahu nguzo za Hija ?! Kama ndio je kubusu jiwe ni moja ya kitendo katika hizo nguzo za Hija?! Kama hujui sema usomeshwe..usikaririri bwana mdogo ...kwamba kitendo akifanya fulani basi ndio utaratibu wa dini yao huo ... Uislamu haupo hivyo sio kama ukafiri .. uislamu una principles na mafunzo yake ..
Alimaanisha kumpiga shetani/jiwe mkubwa kwa vijiwe vidogo huku umevaa lubega bila bukta.
 
Waziri mkuu wa India Narendra Modi amesherehekea pamoja na kufanya ibada baada ya kuzaliwa ndama wa ng'ombe mwenye alama nyeupe kichwani katika makazi yake ya 7, Lok Kalyan Marg. Modi alisema makazi hayo yamebarikiwa kwa ujio wa ndama huyo aliyempa jina la Deepjyoti(mwali wa moto).

Katika dini ya Kihindu ambayo Modi ni mfuasi wake kindakindaki ng'ombe anachakuliwa kama mama wa dunia na ubinadamu na anapewa hadhi ya juu pamoja na heshima kubwa ikiewemo pamoja na marufuku ya kuliwa.

View attachment 3096044
Tutampeleka Vingunguti akaone wanavyochinjwa
 
Unazifahu nguzo za Hija ?! Kama ndio je kubusu jiwe ni moja ya kitendo katika hizo nguzo za Hija?! Kama hujui sema usomeshwe..usikaririri bwana mdogo ...kwamba kitendo akifanya fulani basi ndio utaratibu wa dini yao huo ... Uislamu haupo hivyo sio kama ukafiri .. uislamu una principles na mafunzo yake ..
Ingia YouTube kama huwezi fika uone wenzako wanavyotimiza nguzo ya kubusu jiwe.
 
Unazifahu nguzo za Hija ?! Kama ndio je kubusu jiwe ni moja ya kitendo katika hizo nguzo za Hija?! Kama hujui sema usomeshwe..usikaririri bwana mdogo ...kwamba kitendo akifanya fulani basi ndio utaratibu wa dini yao huo ... Uislamu haupo hivyo sio kama ukafiri .. uislamu una principles na mafunzo yake ..
Hizo ni ibada za sanamu full stop.
 
Back
Top Bottom