Swafi sana tunadumisha mila 😂😂Waziri mkuu wa India Narendra Modi amesherehekea pamoja na kufanya ibada baada ya kuzaliwa ndama wa ng'ombe mwenye alama nyeupe kichwani katika makazi yake ya 7, Lok Kalyan Marg. Modi alisema makazi hayo yamebarikiwa kwa ujio wa ndama huyo aliyempa jina la Deepjyoti(mwali wa moto).
Katika dini ya Kihindu ambayo Modi ni mfuasi wake kindakindaki ng'ombe anachakuliwa kama mama wa dunia na ubinadamu na anapewa hadhi ya juu pamoja na heshima kubwa ikiewemo pamoja na marufuku ya kuliwa.
View attachment 3096044
Asante kwa kunikumbusha mkuuNi dini, sio mila.
Ndiyo maana wamekatazwa kumla kama wahindu walivyokstazwa kumla ng'ombe
Alimaanisha kumpiga shetani/jiwe mkubwa kwa vijiwe vidogo huku umevaa lubega bila bukta.Unazifahu nguzo za Hija ?! Kama ndio je kubusu jiwe ni moja ya kitendo katika hizo nguzo za Hija?! Kama hujui sema usomeshwe..usikaririri bwana mdogo ...kwamba kitendo akifanya fulani basi ndio utaratibu wa dini yao huo ... Uislamu haupo hivyo sio kama ukafiri .. uislamu una principles na mafunzo yake ..
Tutampeleka Vingunguti akaone wanavyochinjwaWaziri mkuu wa India Narendra Modi amesherehekea pamoja na kufanya ibada baada ya kuzaliwa ndama wa ng'ombe mwenye alama nyeupe kichwani katika makazi yake ya 7, Lok Kalyan Marg. Modi alisema makazi hayo yamebarikiwa kwa ujio wa ndama huyo aliyempa jina la Deepjyoti(mwali wa moto).
Katika dini ya Kihindu ambayo Modi ni mfuasi wake kindakindaki ng'ombe anachakuliwa kama mama wa dunia na ubinadamu na anapewa hadhi ya juu pamoja na heshima kubwa ikiewemo pamoja na marufuku ya kuliwa.
View attachment 3096044
Ingia YouTube kama huwezi fika uone wenzako wanavyotimiza nguzo ya kubusu jiwe.Unazifahu nguzo za Hija ?! Kama ndio je kubusu jiwe ni moja ya kitendo katika hizo nguzo za Hija?! Kama hujui sema usomeshwe..usikaririri bwana mdogo ...kwamba kitendo akifanya fulani basi ndio utaratibu wa dini yao huo ... Uislamu haupo hivyo sio kama ukafiri .. uislamu una principles na mafunzo yake ..
Umesahau wale wa maji ya upako?Hana tofauti na waabudu na wabusu jiwe wa Makkah
Wahindi wanamuheshimu ng'ombe sio Mungu wao Mungu wao wanaomuabudu ni huyu huyu yehovaHana tofauti na waabudu masanamu ... Wakatoliki
Hizo ni ibada za sanamu full stop.Unazifahu nguzo za Hija ?! Kama ndio je kubusu jiwe ni moja ya kitendo katika hizo nguzo za Hija?! Kama hujui sema usomeshwe..usikaririri bwana mdogo ...kwamba kitendo akifanya fulani basi ndio utaratibu wa dini yao huo ... Uislamu haupo hivyo sio kama ukafiri .. uislamu una principles na mafunzo yake ..