Waziri mkuu wa israel benjamin netanyahu asitisha kuachiwa kwa magaidi 620

Waziri mkuu wa israel benjamin netanyahu asitisha kuachiwa kwa magaidi 620

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
875
Reaction score
633
Ofisi ya Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu imetangaza kuwa magaidi 600+ ambao walikuwa wamepangwa kuachiliwa leo kutoka magereza nchini Israel, badala ya mateka 6 walioachiliwa leo asubuhi kutoka Gaza, hawataachiliwa kutokana na kuendelea kwa Hamas "ukiukaji na udhalilishaji" wa mateka. Kuachiliwa kwa magaidi hao kutacheleweshwa hadi kuachiliwa kwa mateka wengine kutakapothibitishwa, na bila sherehe za udhalilishaji.
 

Attachments

  • IMG_1640.jpeg
    IMG_1640.jpeg
    77 KB · Views: 1
Ofisi ya Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu imetangaza kuwa magaidi 600+ ambao walikuwa wamepangwa kuachiliwa leo kutoka magereza nchini Israel, badala ya mateka 6 walioachiliwa leo asubuhi kutoka Gaza, hawataachiliwa kutokana na kuendelea kwa Hamas "ukiukaji na udhalilishaji" wa mateka. Kuachiliwa kwa magaidi hao kutacheleweshwa hadi kuachiliwa kwa mateka wengine kutakapothibitishwa, na bila sherehe za udhalilishaji.
ndivyo mayahudi na makafiri hila zao, ni wanafiki sana, wao kuvunja ahadi ni jambo la kawaida
 
Dah! Hakuna kusherehekea ushindi, au mimi ndiye sijamwelewa Trump wa Israeli - aka Israili Mtoa Roho?
 
ndivyo mayahudi na makafiri hila zao, ni wanafiki sana, wao kuvunja ahadi ni jambo la kawaida

ndivyo mayahudi na makafiri hila zao, ni wanafiki sana, wao kuvunja ahadi ni jambo la kawaida
Kafiri mkubwa ni wewe ambaye huoni udhalilishwaji unaofanywa na magaidi hao kwa Mateka wanaoachiliwa!!
 
Kafiri mkubwa ni wewe ambaye huoni udhalilishwaji unaofanywa na magaidi hao kwa Mateka wanaoachiliwa!!
Kinachomuuma Netanyahu ni kuona jinsi ambavyo Hamas walivyo intact,aliambulia kuua wanawake na watoto!Hakuna war goal hata moja aliyofanikiwa!
Unaongelea udhalilishaji,vipi kuhusu mateso wanayopitia mateka wa kipalestina katika magereza ya Israel na ushahidi ukiwa wazi?Shame
 
Kafiri mkubwa ni wewe ambaye huoni udhalilishwaji unaofanywa na magaidi hao kwa Mateka wanaoachiliwa!!
Je wafungwa wanaoachiliwa na mayahudi hali zao zinaridhisha? Jibu
Wale mateka wanaoachiliwa na hamas wana afya zao wanacheka na kukenua saa zote na kupunga mikono
 
Ofisi ya Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu imetangaza kuwa magaidi 600+ ambao walikuwa wamepangwa kuachiliwa leo kutoka magereza nchini Israel, badala ya mateka 6 walioachiliwa leo asubuhi kutoka Gaza, hawataachiliwa kutokana na kuendelea kwa Hamas "ukiukaji na udhalilishaji" wa mateka. Kuachiliwa kwa magaidi hao kutacheleweshwa hadi kuachiliwa kwa mateka wengine kutakapothibitishwa, na bila sherehe za udhalilishaji.
Netanyahu ni mwendawazimu kabisa
Kichaa!!!
 
Magaidi hayatakiwi kubembelezwa. Mashetani haya yalitenda ushetani wao ile mwakajana, halafu yanataka Ulimwengu wa wastaarabu uone kuwa yana ustaarabu.

Haya yaendelee kujengewa mazingira ya kulazimishwa kuwaachia mateka kama inavyofanyika. Yakikiuka hata kidogo sana, yatandikwe tena mpaka akili ziwarudi kiasi.

Uzuri, Israel imesema wazi kuwa baada ya mkataba wa usitishaji mapigano na uachiliaji mateka kukamilika, magaidi yataendelea kusakwa.

Na juzi wakuu wa nchi za kiarabu, kwenye kikao chao wametamka wazi kuwa, hawaoni uwezekano wa jumuia ya kimataifa kusaidia kuijenga upya Gaza kama Hamas wataendelea kuwepo.
 
Kinachomuuma Netanyahu ni kuona jinsi ambavyo Hamas walivyo intact,aliambulia kuua wanawake na watoto!Hakuna war goal hata moja aliyofanikiwa!
Unaongelea udhalilishaji,vipi kuhusu mateso wanayopitia mateka wa kipalestina katika magereza ya Israel na ushahidi ukiwa wazi?Shame
Hapo ndipo umeonyesha ni jinsi gani ulivyo KILAZA magaidi hao si intact kama unavyodai na ndiyo maana wanawatumia Mateka kufanya Propaganda zao ili kuwapumbaza wajinga kama wewe uwaone kuwa wako intact wakati sivyo kabisa.. Ni ujinga na Upumbavu kufikiri kuwa Israel inaua wanawake na watoto utadhani mabomu yao yanabagua watu wazima na wanaume tu na wanawake na watoto ndiyo pekee yanawauwa huo ni Ujinga uliopitiliza.. Kumbuka pia magaidi uwapendao wanawatumia watoto na wanawake kama kinga (Human-Shield) na wana exaggerate namba za watoto kufa ili tu wapate huruma kutoka jumuia za kimataifa.. kuhusu udhalilishwaji nashangaa sana wewe kutokuuona!! Yaani wewe huoni Mateka wanavyodhalilishwa kuwekwa jukwaani na kulazimishwa kutabasamu na kuwapungia mkono magaidi wenye silaha wanaowazunguka pandę zote wewe huoni udhalilishwaji huo. Sishangai sana maana wewe ni Terrorist Sympathizer
 

Attachments

  • 0222(1).mp4
    30.6 MB
Ofisi ya Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu imetangaza kuwa magaidi 600+ ambao walikuwa wamepangwa kuachiliwa leo kutoka magereza nchini Israel, badala ya mateka 6 walioachiliwa leo asubuhi kutoka Gaza, hawataachiliwa kutokana na kuendelea kwa Hamas "ukiukaji na udhalilishaji" wa mateka. Kuachiliwa kwa magaidi hao kutacheleweshwa hadi kuachiliwa kwa mateka wengine kutakapothibitishwa, na bila sherehe za udhalilishaji.
Alizania chadema hao? Hao ni Hamas
 
Hapo ndipo umeonyesha ni jinsi gani ulivyo KILAZA magaidi hao si intact kama unavyodai na ndiyo maana wanawatumia Mateka kufanya Propaganda zao ili kuwapumbaza wajinga kama wewe uwaone kuwa wako intact wakati sivyo kabisa.. Ni ujinga na Upumbavu kufikiri kuwa Israel inaua wanawake na watoto utadhani mabomu yao yanabagua watu wazima na wanaume tu na wanawake na watoto ndiyo pekee yanawauwa huo ni Ujinga uliopitiliza.. Kumbuka pia magaidi uwapendao wanawatumia watoto na wanawake kama kinga (Human-Shield) na wana exaggerate namba za watoto kufa ili tu wapate huruma kutoka jumuia za kimataifa.. kuhusu udhalilishwaji nashangaa sana wewe kutokuuona!! Yaani wewe huoni Mateka wanavyodhalilishwa kuwekwa jukwaani na kulazimishwa kutabasamu na kuwapungia mkono magaidi wenye silaha wanaowazunguka pandę zote wewe huoni udhalilishwaji huo. Sishangai sana maana wewe ni Terrorist Sympathizer
Wewe ndio akili yako umeifungia ndani box!Watu wako under occupation for decades,wamepitia mateso ya kila aina!Magaidi namba moja ni serikali ya Israel kwa maana hakuna zaidi wanachofanya zaidi ya terror!
zaidi ya 70% waliouwawa ni wanawake na watoto,unaua raia zaidi ya 200 kisa unamlenga kamanda mmoja,kama jumuiya za kimataifa ziliona hakuna justification hiyo,wewe ni nani?Hata vita ina sheria zake,kuna proportionality!
The rule of proportionality requires that the anticipated incidental loss of human life and damage to civilian objects should not be excessive in relation to the concrete and direct military advantage expected from the destruction of a military objective.Israel haijazingatia hayo,wanachofanya ni Indiscriminate bombings!
Unaongelea udhalilishaji wa kupunga mkono tu,vipi raia wa palestina waliokuwa wanavuliwa nguo na kuamrishwa kupiga magoti huko gaza?Mnapata wapi ujasiri huo?
images (2).jpeg
 
Je wafungwa wanaoachiliwa na mayahudi hali zao zinaridhisha? Jibu
Wale mateka wanaoachiliwa na hamas wana afya zao wanacheka na kukenua saa zote na kupunga mikono
Wewe ni KILAZA kweli unataka wafungwa waliobaka,wauaji na Magaidi watoke jela wakiwa na VITAMBI? Ni ujinga kufikiri hivyo
 
Back
Top Bottom