Waziri mkuu wa israel benjamin netanyahu asitisha kuachiwa kwa magaidi 620

Waziri mkuu wa israel benjamin netanyahu asitisha kuachiwa kwa magaidi 620

Wewe ndio akili yako umeifungia ndani box!Watu wako under occupation for decades,wamepitia mateso ya kila aina!Magaidi namba moja ni serikali ya Israel kwa maana hakuna zaidi wanachofanya zaidi ya terror!
zaidi ya 70% waliouwawa ni wanawake na watoto,unaua raia zaidi ya 200 kisa unamlenga kamanda mmoja,kama jumuiya za kimataifa ziliona hakuna justification hiyo,wewe ni nani?Hata vita ina sheria zake,kuna proportionality!
The rule of proportionality requires that the anticipated incidental loss of human life and damage to civilian objects should not be excessive in relation to the concrete and direct military advantage expected from the destruction of a military objective.Israel haijazingatia hayo,wanachofanya ni Indiscriminate bombings!
Unaongelea udhalilishaji wa kupunga mkono tu,vipi raia wa palestina waliokuwa wanavuliwa nguo na kuamrishwa kupiga magoti huko gaza?Mnapata wapi ujasiri huo?View attachment 3246292
Hizi akili bora kodishie watu wafanyie kazi siyo hivyo unavyozitumia
 
Wewe ni KILAZA kweli unataka wafungwa waliobaka,wauaji na Magaidi watoke jela wakiwa na VITAMBI? Ni ujinga kufikiri hivyo
kilaza ni baba yako, Wafungwa wapalestina walio katika jela za Israel ni watu walichukuliwa na kusekwa ndani bila makosa yoyote, bila ya makosa yoyote
 
Raia wa kawaida unaita magaidi wewe kafiri mkubwa, na ili uwe kafir ulie kamili cha kwanza ni lazima uwe na chuki na waislam
 
Ofisi ya Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu imetangaza kuwa magaidi 600+ ambao walikuwa wamepangwa kuachiliwa leo kutoka magereza nchini Israel, badala ya mateka 6 walioachiliwa leo asubuhi kutoka Gaza, hawataachiliwa kutokana na kuendelea kwa Hamas "ukiukaji na udhalilishaji" wa mateka. Kuachiliwa kwa magaidi hao kutacheleweshwa hadi kuachiliwa kwa mateka wengine kutakapothibitishwa, na bila sherehe za udhalilishaji.
Huyu anatafuta sababu za kuanzisha upya vita.
 
Wewe ndio akili yako umeifungia ndani box!Watu wako under occupation for decades,wamepitia mateso ya kila aina!Magaidi namba moja ni serikali ya Israel kwa maana hakuna zaidi wanachofanya zaidi ya terror!
zaidi ya 70% waliouwawa ni wanawake na watoto,unaua raia zaidi ya 200 kisa unamlenga kamanda mmoja,kama jumuiya za kimataifa ziliona hakuna justification hiyo,wewe ni nani?Hata vita ina sheria zake,kuna proportionality!
The rule of proportionality requires that the anticipated incidental loss of human life and damage to civilian objects should not be excessive in relation to the concrete and direct military advantage expected from the destruction of a military objective.Israel haijazingatia wapate,wanachofanya ni Indiscriminate bombings!
Unaongelea udhalilishaji wa kupunga mkono tu,vipi raia wa palestina waliokuwa wanavuliwa nguo na kuamrishwa kupiga magoti huko gaza?Mnapata wapi ujasiri huo?View attachment 3246292
Usiwe mjinga na mpumbavu hao waliovulishwa nguo ni magaidi waliojisalimisha kwenye uwanja wa mapigano raia hawawezi kuwa kwenye eneo la vita na akiweko basi anahesabika kama adui na sheria lazima zichukue mkono wake. Unaongelea Occupation naamini hujui hata maana ya Neno hilo au kwa sababu waarabu wanasema kila mara? Hujui maana yake hivyo acha kufuata mkumbo usiwe zuzu. Umeongelea waliouwawa ni zaidi ya 70% ni wanawake na watoto hizo takwimu umezipata wapi? Mmezoea kupika data ili muonewe huruma na kuficha mauaji ya kutisha waliyofanya Oct 07,2023? Umesema tena kuwa wanaua watu 200 Wakimtafuta Gaidi mmoja kisha ukaongelea proportionality kwa taarifa yako mimi nimepigana vita najua kila kitu kinachotokea mstari wa mbele. Oct 07,2023 Hamas na wafuasi wao walivyamia na kuua watu 1,200 na kuteka nyara watu 251 sasa Israel imeamua kujibu mapigo na kukomboa watu wake harafu wewe unaleta mambo ya proportionality kwanza uelewe vita si Siasa na proportionality ni siasa tu hakuna nchi yoyote ikivamiwa itafuata hiyo proportionality maana ni ujinga na Upumbavu mtupu. Mfano Israel ilichokozwa wakaua watu wake,wakateka nyara,Wakabaka watu harafu unakuja na Taarabu za kusema Proportionality na excessive in relation Jiulize magaidi hao wakati wanavamia Oct 07,2023 kulikuwa na Proportionality kwenye uvamizi wao huo?.Tatizo lako wewe ni zuzu kila magaidi wanachokisema wewe unaona ni kweli wakati ni uongo mtupu hao unaosema ni raia ni magaidi waliojisalimisha.
 
kilaza ni baba yako, Wafungwa wapalestina walio katika jela za Israel ni watu walichukuliwa na kusekwa ndani bila makosa yoyote, bila ya makosa yoyote
Acha ujinga Baba yangu kaingiaje hapo? Hao ni wafungwa waliofanya Makosa mbalimbali ikiwemo Ubakaji,Wizi,Mauaji na Ugaidi nakushangaa wewe unayewatetea na kudai hawana Makosa yoyote. Au kwako wewe makosa hayo akifanyiwa Muyahudi ni halali yake? Tumieni akili zako vizuri!!!
 
Dah! Hakuna kusherehekea ushindi, au mimi ndiye sijamwelewa Trump wa Israeli - aka Israili Mtoa Roho?
Hamas wanalazimisha kuppgwa busu na mmateka kuonyesha wanapendawa na kuwapandisha majukwaani.ila walipommwachia mateka mwislam mwisrael hawakumpandisha jukwaan walkabith tu kwa red cros ambao ndo utaratibu wakubadilishana syo kupga nao picha jukwaan. Benja anasema huo niiuthalilishaji
 
Kafiri mkubwa ni wewe ambaye huoni udhalilishwaji unaofanywa na magaidi hao kwa Mateka wanaoachiliwa!!
Lakini kusema ukweli hapa hamas wanazidi haikutakiwa kufanya vile ile sio sherehe one day mmoja huko Israel watajitoa ufahamu watupe kiazi pale makamanda wengi watakufa waache kila kitu ni kuonyesha ushujaa
 
Hamas wanalazimisha kuppgwa busu na mmateka kuonyesha wanapendawa na kuwapandisha majukwaani.ila walipommwachia mateka mwislam mwisrael hawakumpandisha jukwaan walkabith tu kwa red cros ambao ndo utaratibu wakubadilishana syo kupga nao picha jukwaan. Benja anasema huo niiuthalilishaji
Hapa nau gana kidg na benja
 
Acha ujinga Baba yangu kaingiaje hapo? Hao ni wafungwa waliofanya Mąkosa mbalimbali ikiwemo Ubakaji,Wizi,Mauaji na Ugaidi nakushangaa wewe unayewatetea na kudai hawana Makosa yoyote. Au kwako wewe makosa hayo akifanyiwa Muyahudi ni halali yake? Tumieni akili zako vizuri!!!
Wengi ni mateka wa vita...wafungwa ni wachache but muda wa kurelease wanawatoa wafungwa wa makosa tofauti tofauti na mateka wa vita
 
Wengi ni mateka wa vita...wafungwa ni wachache but muda wa kurelease wanawatoa wafungwa wa makosa tofauti tofauti na mateka wa vita
Kulingana na Mkataba wa kubadirishana wafungwa waliokamatwa kama magaidi Oct 07,2023 hawahusiki wanaoachiwa ni wale wahalifu kabla ya Oct 07;2023
 
Back
Top Bottom