Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyau kulihutubia Bunge la Marekani muda wowote

Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyau kulihutubia Bunge la Marekani muda wowote

Ukisema muda wowote its mean huna uhakika na unajiweka kwenye akili za kungojea Mvua n.k Marekani hawana akili kama za masika au za kungojea mwezi uandame.. kila kitu kinapangwa
 
Putin hawezi kukanyaga Washington Ila Netanyahu anaenda taifa lolote
 
Hii ni breaking news kwa mndengereko aishie maneromango ambae hata usiku hajui atakula nini

Watu wengine ni real hasara aisee
 
Israel wameambiwa wasimamishe hiyo operation yao huko rafah
 
Wasipotekeleza hayo ni kesi nyingine ya genocide : ICJ
 
Ukisema muda wowote its mean huna uhakika na unajiweka kwenye akili za kungojea Mvua n.k Marekani hawana akili kama za masika au za kungojea mwezi uandame.. kila kitu kinapangwa
Kama ungekuwa mfuatiliaji wa tv za kimataifa wala usingeuliza hili!! Kwani ndio taarifa rasmi kuwa atahutubia ila bado tarehe haijaeekwa wazi.
 
Back
Top Bottom