Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyau kulihutubia Bunge la Marekani muda wowote

Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyau kulihutubia Bunge la Marekani muda wowote

Wadau hamjamboni nyote?

Taarifa rasmi kutoka Congress

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyau atahutumia bunge la Marekani Congress hivi karibuni.


Mungu ibariki Israel
Republican wanampa kiburi sana huyu jamaa. Hii itakuwa ni mara ya pili Republiucab kumpa platform ya kuhutubia Bunge akiwa Waziri Mkuu bila kufuata diplomatic protocols, na mara nyingine ataatakuja kuwaambia uwongo mtupu kama alivyowaambia miaka 22 iliyopita hivi
View: https://www.youtube.com/watch?v=PHzSr52fZLQ


View: https://www.youtube.com/watch?v=rVPauUOVrmk
 
😄 Taifa fake la Mungu wa Paulo na wavaa misalaba karibu linakata roho.

Wakristo wangekuwa na akili wangeisga fahamu Mungu alimbarikia Yakobo na kizazi chake sio taifa liloundwa na Muingeteza 1948.

Unamkuta mkristo kasoma mpaa PhD anamini ujinga wa Paulo eti Yesu ni Mungu na Israel taifa la Mungu 😄
 
😄 Taifa fake la Mungu wa Paulo na wavaa misalaba karibu linakata roho.

Wakristo wangekuwa na akili wangeisga fahamu Mungu alimbarikia Yakobo na kizazi chake sio taifa liloundwa na Muingeteza 1948.

Unamkuta mkristo kasoma mpaa PhD anamini ujinga wa Paulo eti Yesu ni Mungu na Israel taifa la Mungu 😄
Siri ya ukristo ni kwamba Yesu ni Mungu
 
Mahakama ijiandae kwasasa kunyimwa hela
Haiwezekani tuifandi harafu ,washirika wetu waanze kuingizwa kwenye mafaili ya mahakama
 
Magaidi wadhibitiwe bila huruma. Netanyahu shikilia hapo hapo. Hamna kurudi nyuma
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Benjamin mabange amechanganyikiwa kila kona anayogeukia anakumbana na kiwiko.
 
😄 Taifa fake la Mungu wa Paulo na wavaa misalaba karibu linakata roho.

Wakristo wangekuwa na akili wangeisga fahamu Mungu alimbarikia Yakobo na kizazi chake sio taifa liloundwa na Muingeteza 1948.

Unamkuta mkristo kasoma mpaa PhD anamini ujinga wa Paulo eti Yesu ni Mungu na Israel taifa la Mungu 😄
Ndio ni MUNGU, hivyo ni vigumu kwako kuelewa hilo kwasababu watu wengi ni wadini napia dini sio njia ya k kujiunganisha na MUNGU, ndio maana hata warumi kuamua kuanzisha dini ya uislamu ujue waliona mbali sana.

DINI na SPRITUALITY ni vitu viwili vina uhusiano lakini pia vina utofautii. DINI ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu; SPRITUALITY ni njia ambayo Mungu aliiweka ili tuweze kuitumia kujiunganisha naye. Si lazima kila dini iwe ime-conform kwenye njia ile aliyoiweka Mungu kwa ajili ya sisi kumtafuta yeye.

Tatizo tulilonalo ni kwamba makanisa na misikiti yetu yalishavamiwa, lakini kwa Afrika bado angalau tuna kitu kikubwa sana kwenye ulimwengu wa roho ukilinganisha na wenzetu Western ambao wengi wao wako taabani kabisa na possibly wengine tayari wapo kaburini kabisa.

Hivyo ni vigumu watu kuamini kuwa hawa wayahudi wa Leo wa kizungu ni feki na sio uzao pure wa Abraham,isaka na Jacob na tafiti zishafanyika na kuonesha wabantu wa Africa ndio wayahudi original.
 
Back
Top Bottom