mapesa yamejaa
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 1,412
- 3,419
Kwa nini sisi huku Tz viongozi wetu hawataki kujihuzulu kama hawa wa ulaya?wakwetu wanafanya mabaya zaidi lakini wametulia tu kwenye nafasi zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app