Kama EUROPE watazidi endelêa kukaza kichwa kwa RUSSIA ajira zitazidi wakimbia hasa
Ila wengine akili zinaanza kuwakaa sawa wanaanza kuelekea MOSCOW kupiga goti maana pale kila goti litapigwa
Ndugu
UPOPO sawa inawezekana ikawa athari koronya
Ila pia kunamstari mwembamba sanaaa tena sanaa kama sio zaidi ya sana kumtenganisha PUT IN na RUSSIA yake kwahili linalotokea nalitakaloendelea viongozi wa EU
Kwasababu unajua athari inayoipata nchi inapoekewa vikwazo haswa nahao wanaojiita ama wanaojiona miungu watu wa EU US nashoga zao
Tuseme huzioni TURKEY ZIMBABWE CUBA VENEZUELA N.KOREA na IRAN nk zinavyopitia changamoto za Vikwazo tena walau IRAN hayo mataifa mengne yameoza kabisaaa
Mnajaribu kuukimbia ukweli ila ukweli haujifichi kwamba athari ya vikwazo imewagonga zaidi wawekaji kuliko wawekewaji
Vitu bei ghali pesa zao zinapoteza thamani kila leo
Wakiiondolea vikwazo RUSSIA week tu hali zao zarejelea kama awali
Ngojea niitafte twita ya BIDEN niitumie kama ushahidi
MOSCOW KILA GOTI LITAPIGWA
Sent using
Jamii Forums mobile app