mapesa yamejaa
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 1,412
- 3,419
Yah ni Jambo la kawaida Ila si Kwa mfululizo ivihalafu viongozi kujiuzulu kwa western ni jambo la kawaida sana
Sawa ,mimi naona kwa.mtazamo tofauti ugumu wa maisha sio.kwamba umeletwa.na Putin tu ila.ameongezea bali adhari za miaka.miwili za.Covid ambapo watu hawakuwa.wanafanya uzalishaji.wa asilia 100 na sasa kina uhaba mkubwa wa rasilimali
Pro Russia mnasemaje? Figisu za dikteta Putin zimepelekea Italian PM kujiuzulu au sio? Hiyo sasa ndio demokrasia sio mtu mmoja anaongoza nchi tangu mtoto anazaliwa hadi naye anakuwa kiongozi rais ni yule yule.
... kumbe siku hizi Russia ni ufalme na mfalme ni dikteta Putin na baada yake atamrithisha mwanae wa kumzaa au nduguye wa damu ufalme. Asante kwa ufafanzi.Kama malkia elizabeth kule UK
[emoji106]Viva Putin [emoji1787][emoji1787]
... kumbe siku hizi Russia ni ufalme na mfalme ni dikteta Putin na baada yake atamrithisha mwanae wa kumzaa au nduguye wa damu ufalme. Asante kwa ufafanzi.
Uko sawa mkuu nashangaa wanaousisha kujiuzulu kwake na Putin is just coincidence.
Kazua wako basi ,otherwise wewe si risky kwa tabua ulionayoAcha kukaza ubongo dada
Hapana,Swala ni kuwa Maisha yamekuwa magumu sana baada ya Russia kuanzisha Operesheni maalumu.Niwaulize swali general.
Hawa viongozi wa hizi nchi wanajizulu Kwa sabab ya kuidhinisha Fedha kwenda Ukraine au Kuna shida nyingine.
Mjuzi yoyote tafadhali Msaada waufahamu kwenye hili.
Hyo akiba waliyotumia walimpa nani hadi uchumi uanguke?? Nilitarajia kuwe kuna nchi iliyopaa juu ningesema hawa ndio wenye pesa za wenzao, leo dunia nzima uchumi umeshuka halafu pesa zetu tumetumia hapa hapa duniani kwanini tusizione popote? Kama sijui nijuzeni nijue uchumi unaangukaje dunia nzima??Ugumu wa maisha umgetokea tu kwa sababu ya Covid pia,kitu pekee dunia ya sasa haikuangalia ni nini kingefuata baada ya miaka miwili mfululizo wa adhari za covid ambapo watu wengi hawakufanya kazi ipasavyo na serikali nyingi ikiwemo watu binafsi kutumia akiba yao hila uszalishaji .