samakiurembo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2021
- 445
- 689
Sasa hivi western media zinamwaga SUMUKUVU kila konaSasahivi wamezifungia channels zote za Russia ili tubugie matangopoli ya upande mmoja
Asichotaka Russia NATO kuja kuweka kambi zao na makombora ya USA Ukraine kwa usalama wa nchi yake na sababu hyo ndio iliyomfanya usa akatae pia Russia pia kuweka makombora yake Cuba na mgogoro ulikuwa mkubwa hila ulitatuliwa kabla ya vita kuanzaHili baba linaogopa nini wenzie wasijiunge na nato
Mkuu upo mjini Moscow katika kitongoji gani hapo, wenye akili wanajua NATO ndio kuna usalama.Waziri Mkuu wa Sweden Magdalena Andersson amekataa wito wa upinzani wa kuitaka Sweden kufikiria jambo la kujiunga NATO. Waziri Mkuu huyo amesema kufanya maombi ya kujiunga NATO kwa sasa kutaleta taharuki zaidi ktk eneo la Europe na kuhatarisha amani zaidi.
Sweden kwa mara ya mwisho ilikuwa vitani mwaka 1814 na imekuwa na sera yake ya mambo ya nje ya kutoshiriki au kujiunga na mashirikisho ya kujihami kijeshi (kama shirikisho la Umoja wa NATO), lakini ktk miaka ya hivi karibu imekuwa na ukaribu na NATO kutokana na mivutano iliyojiri kati ya Sweden na Russia ktk eneo la Baltic.
Ikumbukwe kuwa Russia hataki Sweden wala Finland zijiunge NATO, na mwishoni mwa mwezi uliopita Russia ilizionya nchi hizo mbili kuwa zikijiunga NATO zitegemee matokeo mabaya kijeshi na kisiasa.
============
Swedish PM rejects opposition calls to consider joining NATO
By Simon Johnson, Reuters
March 9, 2022
Swedish Prime Minister Magdalena Andersson speaks during a news conference regarding the security situation in Europe, at Rosenbad in Stockholm, Sweden on February 27, 2022. (Jessica Gow / TT News Agency via Reuters)
STOCKHOLM — Swedish Prime Minister Magdalena Andersson on Tuesday rejected opposition calls to consider joining NATO following Russia’s invasion of Ukraine, saying an application now would destabilize security in Europe.
Sweden has not been in a war since 1814 and has built its foreign policy on non-participation in military alliances, but it has forged ever closer ties to NATO in recent years as tensions with Russia in the Baltic region have risen.
Russia’s invasion, which it calls a “special military operation,” has renewed calls for Sweden to join NATO, alongside Finland, which has also remained outside the bloc.
“If Sweden were to choose to send in an application to join NATO in the current situation, it would further destabilize this area of Europe and increase tensions,” Andersson told reporters.
“I have been clear during this whole time in saying that what is best for Sweden’s security and for the security of this region of Europe is that the government has a long-term, consistent and predictable policy and that is my continued belief.”
Russia does not want Finland or Sweden to join NATO and late last month, Moscow made its latest warning of “serious military-political consequences” if they did.
Andersson was speaking after meeting opposition party leaders to discuss the worsening security situation.
A poll on Friday by Demoskop and commissioned by Aftonbladet newspaper showed 51 percent of Swedes were in favor of NATO membership, up from 42 percent in January. People against joining fell to 27 percent from 37 percent. It’s the first time such a poll has shown a majority in favor.
Ulf Kristersson, the leader of the Moderates, called on the government to begin broad domestic political discussions about NATO membership, a debate that has already started in Finland.
Finland and Sweden have close military ties and a move by one to join NATO would put added pressure on the other to apply.
“It is urgent,” Kristersson told news agency TT.
“We can’t get behind a wind-break and hope that it all blows over and then be surprised by a Finnish decision in a month or two.”
Sweden wanapaswa kujiamini kwa hali ya sasa ya NATO ni kimbilio, Ukrain sasa wanapiga mzigo wakishinda vita watakuwa wamejikombo kutoka kwa dikteta Putini, nchi yao itakuwa huru zaidi na watakuwa na uwezo wote kujilinda kwa amani zaidWaziri Mkuu wa Sweden Magdalena Andersson amekataa wito wa upinzani wa kuitaka Sweden kufikiria jambo la kujiunga NATO. Waziri Mkuu huyo amesema kufanya maombi ya kujiunga NATO kwa sasa kutaleta taharuki zaidi ktk eneo la Europe na kuhatarisha amani zaidi.
Sweden kwa mara ya mwisho ilikuwa vitani mwaka 1814 na imekuwa na sera yake ya mambo ya nje ya kutoshiriki au kujiunga na mashirikisho ya kujihami kijeshi (kama shirikisho la Umoja wa NATO), lakini ktk miaka ya hivi karibu imekuwa na ukaribu na NATO kutokana na mivutano iliyojiri kati ya Sweden na Russia ktk eneo la Baltic.
Ikumbukwe kuwa Russia hataki Sweden wala Finland zijiunge NATO, na mwishoni mwa mwezi uliopita Russia ilizionya nchi hizo mbili kuwa zikijiunga NATO zitegemee matokeo mabaya kijeshi na kisiasa.
============
Swedish PM rejects opposition calls to consider joining NATO
By Simon Johnson, Reuters
March 9, 2022
Swedish Prime Minister Magdalena Andersson speaks during a news conference regarding the security situation in Europe, at Rosenbad in Stockholm, Sweden on February 27, 2022. (Jessica Gow / TT News Agency via Reuters)
STOCKHOLM — Swedish Prime Minister Magdalena Andersson on Tuesday rejected opposition calls to consider joining NATO following Russia’s invasion of Ukraine, saying an application now would destabilize security in Europe.
Sweden has not been in a war since 1814 and has built its foreign policy on non-participation in military alliances, but it has forged ever closer ties to NATO in recent years as tensions with Russia in the Baltic region have risen.
Russia’s invasion, which it calls a “special military operation,” has renewed calls for Sweden to join NATO, alongside Finland, which has also remained outside the bloc.
“If Sweden were to choose to send in an application to join NATO in the current situation, it would further destabilize this area of Europe and increase tensions,” Andersson told reporters.
“I have been clear during this whole time in saying that what is best for Sweden’s security and for the security of this region of Europe is that the government has a long-term, consistent and predictable policy and that is my continued belief.”
Russia does not want Finland or Sweden to join NATO and late last month, Moscow made its latest warning of “serious military-political consequences” if they did.
Andersson was speaking after meeting opposition party leaders to discuss the worsening security situation.
A poll on Friday by Demoskop and commissioned by Aftonbladet newspaper showed 51 percent of Swedes were in favor of NATO membership, up from 42 percent in January. People against joining fell to 27 percent from 37 percent. It’s the first time such a poll has shown a majority in favor.
Ulf Kristersson, the leader of the Moderates, called on the government to begin broad domestic political discussions about NATO membership, a debate that has already started in Finland.
Finland and Sweden have close military ties and a move by one to join NATO would put added pressure on the other to apply.
“It is urgent,” Kristersson told news agency TT.
“We can’t get behind a wind-break and hope that it all blows over and then be surprised by a Finnish decision in a month or two.”
Na kwa nini tanganyika tunaogopa kuvunja muungano wa tanganyika na zanzibarAsichotaka Russia NATO kuja kuweka kambi zao na makombora ya USA Ukraine kwa usalama wa nchi yake na sababu hyo ndio iliyomfanya usa akatae pia Russia pia kuweka makombora yake Cuba na mgogoro ulikuwa mkubwa hila ulitatuliwa kabla ya vita kuanza
Wana hadi ndegevita zao kitambo hawategemei USA wala RussiaWatengeneza scania na volvo kumbe wanaogopa makombora.
Hata watengeneza Nokia finland nao wapo kwenye kitimoto.
Mi naona hapo ulaya wangeunda umoja wao wa kujihami bila kuwepo marekani maana marekani ndo mrusi hamtaki
Nimesikia umasema "Ukraine akishinda vita" au?Sweden wanapaswa kujiamini kwa hali ya sasa ya NATO ni kimbilio, Ukrain sasa wanapiga mzigo wakishinda vita watakuwa wamejikombo kutoka kwa dikteta Putini, nchi yao itakuwa huru zaidi na watakuwa na uwezo wote kujilinda kwa amani zaid
Mwanzoni wananchi walikuwa hawapendi kujiunga na NATO, ila kwa sasa wanaona kujiunga NATO ndio salama yao.
Unaishi huko?'Wananchi' hao ni kwa mujibu wa BBC na CNN
Unaishi huko?
Kiusalama itambanaHili baba linaogopa nini wenzie wasijiunge na nato
C alitaka kujiunga wakamkatalia au hukumsikia Vladmir Putin?Wivu wa nini?! Kama vipi Russia naye ajiunge NATO aache wivu wa kike.
Sweden wanapaswa kujiamini kwa hali ya sasa ya NATO ni kimbilio, Ukrain sasa wanapiga mzigo wakishinda vita watakuwa wamejikombo kutoka kwa dikteta Putini, nchi yao itakuwa huru zaidi na watakuwa na uwezo wote kujilinda kwa amani zaid
Atapigana na Nchi ngapi¿????????Marekani kamwambia sweden Bonyeza *100*01# kujiunga na NATO[emoji23][emoji23]
Russia Kamtumia sms sweden kamwambia hio huduma itakugharimu[emoji12][emoji12]Jiunge nikupasue