Wazolee
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 3,183
- 3,660
Mlisha mshauri raisi kipindi ugonjwa haujaingia kuwa asifanye lockdown na raisi akasikiliza ushauri wenu hakufunga mipaka wala hakufanya lockdown kwa jiji la Dar sasa mnahangaikana niniTutaelewana tu! Watanzania tupige Kazi!
Maana kwa sasa lockdown kwa Tanzania haiwezekani tena ugonjwa umeshafika kila sehemu hadi katika mapapai na mbuzi
Sent using Jamii Forums mobile app