Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson aamua Lockdown sasa basi

Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson aamua Lockdown sasa basi

Ka kolona ni kaugonjwa ka wazungu
Afrika huku hakawezi kutusumbua maana sisi tunategemea nyungu na mizimu ya mababu zetu.
 
emoji3.png
emoji3.png
Magu baba laooo
Kwan walikuambia lockdown itakaa milele
 
Sky with this corona, watarudi kule kule. Time will tell! Labda kama ameamua kusema indirectly kuwa atakayekufa afe atakaye pona apone! Let natural selection take its course!
 
Mi nadhani Borris hajaiga magu

Njia bora walioiona akina Borris ni lockdown ila magu akaona lockdown haifai

Borris amegundua njia nzuri zaidii si lockdown (baada ya kuitumia) nakuamua kutoa elimu kwa umma kuchukua tahadhari njia ambayo magu aliibaini mapema zaidi

I think JPM is an extremely Genius
Yani sisi watanzania sijui tuna akili gani,Rais Magufuli hakuwa wa kwanza kutoruhusu lockdown kuna nchi nyingi zaidi ya 100+ duniani zilisitisha shuguli zinazohusu mkusanyiko kama shule,mchezo n.k but shughuli zingine zote za kiuchumi zilikuwa zinaendelea kama kawaida.

Nchi nyingi za ulaya zilichukua hatua za lockdown baada ya maambukizi kuwa mengi,walitambua maambukizi yanaongezeka kila kukicha-na njia pekee ni lockdown.sasa maambukizi yameanza kupungua Katika nchi nyingi wamisha zalisha vifaa vya kujikinga sasa bado mnataka waendelee kukaa majumbani ili iweje??.

Eti bado tunajifananisha na nchi kama hizo,nchini kwetu vipimo venyewe ni taabu kupatikana huwezi jua wangapi wanaumwa-hivi mnavyofikiria tungekuwa na vipimo kila Wilaya kama Idadi ya wagonjwa wangeongezeka siku hadi siku kusingekuwepo na lockdown??.
 
Yale yale ya nyumbani ila ndio vile tunasifia sababu kafanya mzungu,ila akifanya bwana mbonde wa huku dunia ya tatu tunaponda.
Elewa tofauti. Hawa wamekwenda hatua hiyo baada ya kuona hospitalization, positives,and intubations zimepungua kiasi kwamba their health care system can handle the volume of patients thast might arise. Their health indicators are in the negetives
 
Sky with this corona, watarudi kule kule. Time will tell! Labda kama ameamua kusema indirectly kuwa atakayekufa afe atakaye pona apone! Let natural selection take its course!
Kuna research kubwa inaendeles Oxford University na mpaka sasa hivi wanaomba wote waliopona corona watoe damu ili ifanyiwe uchunguzi.

Tafiti moja waliyogundua ni kuwa watu wanene kupita kiasi (obese) hawawezi kuhimili kishindo cha korona.

Hata mlipuko mpya ukitokea sasa hivi una uzoefu. Ingawa wengi wamekufa lakini waliopona ni wengi zaidi.
 
Kuna research kubwa inaendeles Oxford University na mpaka sasa hivi wanaomba wote waliopona corona watoe damu ili ifanyiwe uchunguzi.

Tafiti moja waliyogundua ni kuwa watu wanene kupita kiasi (obese) hawawezi kuhimili kishindo cha korona.

Hata mlipuko mpya ukitokea sasa hivi una uzoefu. Ingawa wengi wamekufa lakini waliopona ni wengi zaidi.
That is true lkn...... ngoja tuone. USA baadhi ya majimbo yamelegeza masharti na tayari number of infections zimeanza kupanda. Naangali CCN muda mwingi
 
Lockdown ilikuwa in ngumu sana kikubwa walau effort za kuzuia gathering ingepunguza vifo vingi sana..

Kweli waTZ waliopoteza maisha na bado wanaendelea kufa kwa ili janga ni wengi sana kazini tu tumepoteza watu 4, achilia mbali mtaani, juzi m/kiti wa mtaa kaaga dunia.. Hivi ninavyoandika kuna wafanyakazi wawili wamelazwa kwa case hiyohiyo..

Kumpongeza JPM wakati bado janga limetapakaa ni uzwazwa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Elewa tofauti. Hawa wamekwenda hatua hiyo baada ya kuona hospitalization, positives,and intubations zimepungua kiasi kwamba their health care system can handle the volume of patients thast might arise. Their health indicators are in the negetives
Zimepunguza kasi wakati new cases zipo kila siku,leo tu mpaka sasa kuna kesi zaidi ya 3800 vifo 210 hapo bado siku haijaisha.
 
Zimepunguza kasi wakati new cases zipo kila siku,leo tu mpaka sasa kuna kesi zaidi ya 3800 vifo 210 hapo bado siku haijaisha.
Nimesema indcators zao zinaonyesha a declining trend na NHS can handle the volume of new patients. Uelewe, new cases zipo lakini RATE imepungua.. mind RATE not absolute numbers
 
Nimesema indcators zao zinaonyesha a declining trend na NHS can handle the volume of new patients. Uelewe, new cases zipo lakini RATE imepungua.. mind RATE not absolute numbers
Indicator zipi,huu ugonjwa hautaji watu milion moja kusambaa,mtu mmoja anaweza ambukiza watu mia.
 
Ni kweli mkuu hawa wanaotunyanyapaa haiyumkiniki ni kutumiwa na mabeberu.

Kwanza kwetu hata vifo vya ajabu ajabu hakuna kabisa. Ni malaria malaria na changamoto za kupumua tu.
Your r just sarcastically telling yourself, thank you !!!!
 
Hivi ni kwanini watu wapo lockdown lakini maambukizi yanaendelea ?
 
Back
Top Bottom