Waziri mkuu wa Urusi Dmitry Medvedev amewasilisha barua yake ya kujiuzulu kwa rais

Waziri mkuu wa Urusi Dmitry Medvedev amewasilisha barua yake ya kujiuzulu kwa rais

Wachambuzi mbalimbali wa siasa hususani za nchini Urusi wanadai kuwa huenda mpango huo ni mbinu ya Vladimir Putin kuidhoofisha nguvu ya rais atakayefuata baada ya yeye kumaliza muda wake panapo 2024, huku Putin akiwa na uwezekano wa kurejea kama Waziri Mkuu, na hivyo kuendela kuwa mtu mwenye nguvu zaidi nchini Urusi.
 
Aah kumbe jamaa haondoki hapo basi ni usalama wa taifa asiyetaka kujiuzulu
Asante Mkuu nimekuelewa vizuri


Sent from my iPhone using Tapatalk
Katiba ya Urusi inasema rais atatawala kwa vipindi viwili kama atachaguliwa, haisemi kama inamkataza baada hivyo vipindi viwili akakaa pembeni halafu akarudi tena kugombea

Hivyo Putin alitumia loophole hiyo ya katiba kutosema chochote kumlataza rais anayemaliza vipindi vyake viwili akakaa pembeni na baadaye kurudi tena kugombea.
Kipindi kile akamuandaa Dmitry Medvedev kuwa rais lakini kabla akahamishia nguvu na mamlaka kubwa kwa waziri mkuu halafu yeye akaenda kuwa Waziri mkuu halafu Dmitry Medvedev akawa rais lakini asiye na nguvu, hata wakuu wa nchini walipotaka kukutana na mkuu wa nchi ya Russia, walikutana na Waziri mkuu Putin.

Wakati Dmitry Medvedev anaelekea ukjngoni mwa utawala wake, Putin akaenda tena Bungeni kuhamisha madaraka kutoka kwa waziri kwenda kaa rais akijua atashinda tu.
Hivyo anachokifanya hivi sasa ni marudio tu na binafsi nilikitarajia sana.
NDIYO MAANA NIKASEMA PUTIN HAIVUNJI KATIBA BALI ANAIPIGA CHENGA.
 
Katiba ya Urusi inasema rais atatawala kwa vipindi viwili kama atachaguliwa, haisemi kama inamkataza baada hivyo vipindi viwili akakaa pembeni halafu akarudi tena kugombea

Hivyo Putin alitumia loophole hiyo ya katiba kutosema chochote kumlataza rais anayemaliza vipindi vyake viwili akakaa pembeni na baadaye kurudi tena kugombea.
Kipindi kile akamuandaa Dmitry Medvedev kuwa rais lakini kabla akahamishia nguvu na mamlaka kubwa kwa waziri mkuu halafu yeye akaenda kuwa Waziri mkuu halafu Dmitry Medvedev akawa rais lakini asiye na nguvu, hata wakuu wa nchini walipotaka kukutana na mkuu wa nchi ya Russia, walikutana na Waziri mkuu Putin.

Wakati Dmitry Medvedev anaelekea ukjngoni mwa utawala wake, Putin akaenda tena Bungeni kuhamisha madaraka kutoka kwa waziri kwenda kaa rais akijua atashinda tu.
Hivyo anachokifanya hivi sasa ni marudio tu na binafsi nilikitarajia sana.
Umetoa uchambuzi mzuri sana. Shida ya serikali ya Urusi sioni kama ina juhudi sana za kukuza uchumi. Wanapiga kazi sana lakini bado.
 
Katiba ya Urusi inasema rais atatawala kwa vipindi viwili kama atachaguliwa, haisemi kama inamkataza baada hivyo vipindi viwili akakaa pembeni halafu akarudi tena kugombea

Hivyo Putin alitumia loophole hiyo ya katiba kutosema chochote kumlataza rais anayemaliza vipindi vyake viwili akakaa pembeni na baadaye kurudi tena kugombea.
Kipindi kile akamuandaa Dmitry Medvedev kuwa rais lakini kabla akahamishia nguvu na mamlaka kubwa kwa waziri mkuu halafu yeye akaenda kuwa Waziri mkuu halafu Dmitry Medvedev akawa rais lakini asiye na nguvu, hata wakuu wa nchini walipotaka kukutana na mkuu wa nchi ya Russia, walikutana na Waziri mkuu Putin.

Wakati Dmitry Medvedev anaelekea ukjngoni mwa utawala wake, Putin akaenda tena Bungeni kuhamisha madaraka kutoka kwa waziri kwenda kaa rais akijua atashinda tu.
Hivyo anachokifanya hivi sasa ni marudio tu na binafsi nilikitarajia sana.
Hahahaha dah Putin putting Putin
 
Katiba ya Urusi inasema rais atatawala kwa vipindi viwili kama atachaguliwa, haisemi kama inamkataza baada hivyo vipindi viwili akakaa pembeni halafu akarudi tena kugombea

Hivyo Putin alitumia loophole hiyo ya katiba kutosema chochote kumlataza rais anayemaliza vipindi vyake viwili akakaa pembeni na baadaye kurudi tena kugombea.
Kipindi kile akamuandaa Dmitry Medvedev kuwa rais lakini kabla akahamishia nguvu na mamlaka kubwa kwa waziri mkuu halafu yeye akaenda kuwa Waziri mkuu halafu Dmitry Medvedev akawa rais lakini asiye na nguvu, hata wakuu wa nchini walipotaka kukutana na mkuu wa nchi ya Russia, walikutana na Waziri mkuu Putin.

Wakati Dmitry Medvedev anaelekea ukjngoni mwa utawala wake, Putin akaenda tena Bungeni kuhamisha madaraka kutoka kwa waziri kwenda kaa rais akijua atashinda tu.
Hivyo anachokifanya hivi sasa ni marudio tu na binafsi nilikitarajia sana.
Putin kwa sanaa....halafu waafrika tunashangaliwa...
 
Back
Top Bottom