Waziri mpya wa Mawasiliano, anza kazi na Azam Media. Wamepanga kutupiga kwenye vifurushi vipya

Wamenitumia ujumbe ni wahuni sn, sababu za kupandisha ni nini?
 
Halafu nasikia wenzetu wa nchi jirani, bei ya vifurushi iko chini kuliko hapa kwetu!! Sasa sijui shida iko wapi!!
 
Kwahiyo ulikuwa unataka kwa bei ileile?
 
Lazima kuwe na control, mabasi ya Shabiby, Ngasere, Mtei yanapta ruzuku? mbona nauli inapangwa na LATRA? kuwa na akili kidogo
 
Tokea nimenunua dish la Azam na kujiunga kifurushi kwa mara ya kwanza, sijawahi kununua Tena πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ mipira yote vibanda umiza jero tu inatosha. Kupanga ni kuchagua
Mwenyewe sitanunua tena ni uhuni tupu
 
Upo sawa kichwani kweli? Leo ukiuziwa saruji 100000 mfuko1 kwakuwa ni biashara ya mtu utaona ni Sawa? Nyie ndiyo majinga mliopo nchini. Serikali kazi yake ni ku regulate na ku control inflation ili wananchi wapate huduma kwa bei nafuu.
Muwe mnaelewa huduma mnazozitaka azam TV zinatoka nje ya nchi yeye anauziwa kwa bei ya juu sasa na nyie mnataka muuziwe kwa bei ya chini bado serikali itoze kodi hivi hapa kutakua na biashara au upuuzi? Itumeni serikali yenu ikaombe huko ulaya na marekani azam apunguziwe bei ili msilipie hela nyingi na kodi huyo azam asamehewe asilipe .
 
Upo sawa kichwani kweli? Leo ukiuziwa saruji 100000 mfuko1 kwakuwa ni biashara ya mtu utaona ni Sawa? Nyie ndiyo majinga mliopo nchini. Serikali kazi yake ni ku regulate na ku control inflation ili wananchi wapate huduma kwa bei nafuu.
Hebu mweleze huyu naye. Lazima kuwe na bei elekezi kwani hata hao azam kuna vitu vingi wanapata toka serikalini katafute mambo ya uwekezaji uone. Pili hata urushaji wa matangazo yao kuna frequency ambazo wamepewa na serikali. Azam kama pesa anazipata sana na jeuri hii inakuja baada ya kuona yupo pekee ambaye watu wengi wanatumia service yake kuanzia mpira mpaka zile movie za kibongo,uturuki na kikorea. Ila anachokifanya siyo sawa kabisa maana hata kodi sijaona wapi wameongeza. Nadhani ni wakati sasa wa serikali kumpa nafuu DSTV ili ushindani uwe fair maana jamaa azam anapata favour kama mzawa lakini garama anafukuzana karibu sawa na dstv. Huu ni wizi kwa wananchi kila wakati kuongeza garama pasipo kuwa na sababu zozote za msingi.
 
Azam waje hapa kutoa ufafuzi,wasidhani kuonesha Ligi kuu Bara na kuja na VAR ndio Kihalalisho Cha kutupiga kwenye bei za Vifurushi Vyao kuanzia 1/8/2024.

Waziri wa Mawasiliano Anza na Hili.View attachment 3050740
Wanaonesha La liga , serie A , Bundslesliga , France , baadhi ya match za Epl , afcon na ligi kibao bado mnataka kwa elfu 20 hivi watanzania nani kawaroga ? Na hapo ni full HD aah bana acheni hizo.
 
Azam wapo sahihi kupandisha bei, Mara nyingi inshu ya kodi anayeumia ni mlaji wa mwisho
 
Azam waje hapa kutoa ufafuzi,wasidhani kuonesha Ligi kuu Bara na kuja na VAR ndio Kihalalisho Cha kutupiga kwenye bei za Vifurushi Vyao kuanzia 1/8/2024.

Waziri wa Mawasiliano Anza na Hili.View attachment 3050740
Wanaonesha La liga , serie A , Bundslesliga , France , baadhi ya match za Epl , afcon na ligi kibao bado mnataka kwa elfu 20 hivi watanzania nani kawaroga ? Na hapo ni full HD aah bana acheni hizo.
 
Unajiita Dr Akili lkn Mm nakuambia hv, ww huna akili.

Hao wote uliowaandika hapo kasoro TBC anayelipwa na serikali hao wngn wote ht kulipana mishahara yao wnyw wanashikana mashati ndio waje waweze kuonyesha mechi?
Unajua gharama za kuonyesha mechi au unaongea tuu?

Mwisho wa msimu Azam anatoa 900m+ kwa timu zote na hapo bado anatakiwa kutoa pesa kila mwezi kwa kila timu, haya nambie n Tv station Gani kati ya hizo ulizotaja zinaweza kutoa hy pesa wakati mishahara yao tuu hawawezi kulipana.
 
Hata kama million nalipia tu ila quality na vipindi vinaeleweka sio ao azam matapeli channel kama ukungu vipindi. Vya watu wa buza tu Mpira wa wavunja kuni wa tanzania yaani Mimi niangalie uchafu wa ligi ya tanzania
Wewe kalipie huko kwa milioni sisi wengine uwezo hatuna tutabaki azam kwa bei nafuu
 
Wanaonesha La liga , serie A , Bundslesliga , France , baadhi ya match za Epl , afcon na ligi kibao bado mnataka kwa elfu 20 hivi watanzania nani kawaroga ? Na hapo ni full HD aah bana acheni hizo.
Wazitoe zote hizo wabakize za Bongo tuu na bei irudi ilikokuwa.

Hii ni Nchi ya wanyonge πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Azam wanafanya hivyo kwa sababu hawana mpinzani.
Wenye visambuzi vya Azam WOTE akiacha kulipa kwa miezi miwili atanyooka na kushusha gharama
Tuache kulipia halafu ligi za ulaya tukaangalie wapi?
 
Lazima kuwe na control, mabasi ya Shabiby, Ngasere, Mtei yanapta ruzuku? mbona nauli inapangwa na LATRA? kuwa na akili kidogo
Sababu bei ya mafuta inapangwa na serikali. Ok sasa kwanini wasipange bei za ndege? za hotel? za nyama? wewe umeona mfano Shabiby tu. Kwa hiyo ma bus yote ni bei moja? unaweza kupanda Shabiby la alfu 20 liko 25 yako mpaka 40. Hakuna biashara ya kupangiana bei korosho tu mlitia mkono mkauwa. Biashara ni ushindani huwezi Azam hamia DSTV huko huwezi wako kina Startimes sio kupangiana bei. Lete sehemu ilitolewa wapi bei elekezi ya Ving'amuzi.
 
Sukari mbona wamepangiwa? serikali inaagiza sukari? acha ushamba, sasahivi kuna bidhaa muhimu duniani kama information? na ni haki no 1, kama hataki kupangiwa bei arudi kwao uarabuni akafanye biashara huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…